Semahengere
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,186
- 1,966
- Thread starter
- #21
Mimi ni kijana kuliko hao wa miaka 30 unawasemaDuh si kwa madongo haya, ila naye 44 kijana kweli ama mbaba huyu[emoji23]
Weka picha huku nikuonyeshe
Twende na ushahidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni kijana kuliko hao wa miaka 30 unawasemaDuh si kwa madongo haya, ila naye 44 kijana kweli ama mbaba huyu[emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16]Mimi ni kijana kuliko hao wa miaka 30 unawasema
Weka picha huku nikuonyeshe
Twende na ushahidi
Niweke picha ya nini?, itoshe kusema wewe ni kijana wa miaka 44 na kila rakheriMimi ni kijana kuliko hao wa miaka 30 unawasema
Weka picha huku nikuonyeshe
Twende na ushahidi
Hahaha [emoji119][emoji119]Wachaga oyee[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu kwanini hutaki mchaga?
Nadhani tatizo lilikuwa la mwanamke wako na si la wachagga.
Mbona unaogopa kuweka picha yako hujiamini nini?Niweke picha ya nini?, itoshe kusema wewe ni kijana wa miaka 44 na kila rakheri
Naona wewe unajiamini ndiyo maana hiyo avatar hapo ni picha yako Vandame😜 mimi sijiamini kweliMbona unaogopa kuweka picha yako hujiamini nini?
Ongeza pia asiwe MHAYASalaam! Mimi ni kijana wa 44 years Mjasiriamali
Niko Arusha
Nimekaa kwenye ndoa miaka 16 ila ilikuwa ni ndoa yenye vioja vingi sana
Na hatimaye tukaachana rasmi
Nina watoto 3
Maisha yangu ni ya uchumi wa kati kama Tanzania vile
Nahitaji Dada mzuri wa umri wa si chini ya 30 - 40
Asiwe Mchaga kabisa hili ninasisitiza ASIWE MCHAGA.
Awe mweusi au maji ya kunde
Mrefu au wastani
Mkristo / Akiwa Muslim awe tayari kubadilika.
Mpambanaji(ambae nikimpa mtaji anaweza kufanya biashara)
Asiwe na mambo mengi
NB; Haina maana unakuja kukaa na watoto wangu hapana
Watoto wako na Mama yao.
Aliye serious tuwasiliane PM tafadhali
Sasa ukiona mwanaume wa miaka 44 anakuja kutafuta mke mitandaoni ndio ujue tatizo halikuwa la mwanamke...Wachaga oyee[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu kwanini hutaki mchaga?
Nadhani tatizo lilikuwa la mwanamke wako na si la wachagga.
Wewe utakuwa bado uko kwenye korodani za baba yako....Kijana wa miaka 44 duh, basi huu umri wangu na mimi ni kabinti kijana kabichii😂 kila rakheri naona wachaga wameibuka kidedea tena 🙌
Duuh umetumia maneno mabaya🤔Wewe utakuwa bado uko kwenye korodani za baba yako....
Sasa hapo ndio nimejitahidi kweli kutumia tafsida. Au basi niseme baba yako alikuwa hajamjua mama yako...Duuh umetumia maneno mabaya🤔
Dah bado pia kuna ukakasi, nadhani vitu vya wazazi tuache tu kama hakuna ulazima😒Sasa hapo ndio nimejitahidi kweli kutumia tafsida. Au basi niseme baba yako alikuwa hajamjua mama yako...
Doh basi tufanye walikuwa hawajaoana....Dah bado pia kuna ukakasi, nadhani vitu vya wazazi tuache tu kama hakuna ulazima😒
Achana nao.Kwanza kijana mwisho 45yrs.Mimi ni kijana kuliko hao wa miaka 30 unawasema
Weka picha huku nikuonyeshe
Twende na ushahidi
Miaka 29 unajiita kijana mbichi?Kijana wa miaka 44 duh, basi huu umri wangu na mimi ni kabinti kijana kabichii😂 kila rakheri naona wachaga wameibuka kidedea tena 🙌
Kwamba 29 sio kijana?[emoji848]Miaka 29 unajiita kijana mbichi?
Au ndo umetoka bafuni?
Hi mkuuMiaka 29 unajiita kijana mbichi?
Au ndo umetoka bafuni?