Nahitaji Mwenza

Kikawaida mke na mme hamtakiwi kulingana umri.kwa umri wako unatakiwa upate mwanaume wa miaka kuanzia 40 na kuendelea.Vipi tako unalo?
 
Una tako?
 

Ntafikisha miaka 32 baada ya miaka 5. Vipi unaweza kunisubiria mpaka nifikishe hiyo miaka?
 
Sifa ya mwanaume ni Heshima na  Uwajibikaji
Urefu, ufupi, wembamba hivo ni vitu extra havina hata thamani
Acha aendelee kutafuta, hizi vitu mara nyingi hufanya mtu akose mwenza.

Yeye ana urefu gani? Maana anaweza taka mtu mrefu kumbe yeye ni kastuli, mwisho wa siku anaumia zaidi maana matolu wa kiume nao hupenda mitolu ya kike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…