Kwa mtu kama wewe unayejitambua. Wenzako pamoja na umri bado hawajajitambuaSifa ya mwanaume ni Heshima na Uwajibikaji
Urefu, ufupi, wembamba hivo ni vitu extra havina hata thamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mtu kama wewe unayejitambua. Wenzako pamoja na umri bado hawajajitambuaSifa ya mwanaume ni Heshima na Uwajibikaji
Urefu, ufupi, wembamba hivo ni vitu extra havina hata thamani
Mkuu umeolewa?Sifa ya mwanaume ni Heshima na Uwajibikaji
Urefu, ufupi, wembamba hivo ni vitu extra havina hata thamani
Tayari mkuuMkuu umeolewa?
Msalamie sana Shem.Tayari mkuu
Una tako?Habari ya muda huu Mimi ni mwanamke mwenye miaka 32, ninahitaji mwanaume wa kuwa nae katika mahusiano tukielewana tufunge pingu za maisha.
Sifa zangu ni
- Mweusi
- Mkristo
- Ninafanya bihashara
- Nina watoto 2
- Naishi dar es salaam.
SIFA ZA MWANAUME.
- Rangi yoyote
- Awe mrefu, asiwe na kitambi
- Kabila lolote
- Awe na shughuli inayomuingizia kipato
ASANTENI mnakaribishwa pm..
- Awe na miaka 32 na kuendelea.
- Awe mkristo
- Awe na mtoto au asiwe na mtoto sawa.
- Awe mkoa wowote kasoro Moshi.
We mchaga wa kimara nenda sisi wa Uru ndo kipengeleSisi tunaotokea Kilimanjaro tupewe priority. Hao wa Moshi wapite kando.
Habari ya muda huu Mimi ni mwanamke mwenye miaka 32, ninahitaji mwanaume wa kuwa nae katika mahusiano tukielewana tufunge pingu za maisha.
Sifa zangu ni
- Mweusi
- Mkristo
- Ninafanya bihashara
- Nina watoto 2
- Naishi dar es salaam.
SIFA ZA MWANAUME.
ASANTENI mnakaribishwa n
- Rangi yoyote
- Awe mrefu, asiwe na kitambi
- Kabila lolote
- Awe na shughuli inayomuingizia kipato
- Awe na miaka 32 na kuendelea.
- Awe mkristo
- Awe na mtoto au asiwe na mtoto sawa.
- Awe mkoa wowote kasoro Moshi.
Mimi Msiha. Hata hivyo hamtutambui kama Wachagga. Mnasema sisi Wameru.We mchaga wa kimara nenda sisi wa Uru ndo kipengele
Kumbe we kina Kileo, utawakuta mmejazana Sanya juu, Kibongoto sijui MagadiniMimi Msiha. Hata hivyo hamtutambui kama Wachagga. Mnasema sisi Wameru.
Nyie wa Moshi, endeleeni kuchill. Tuchukue chombo.
Soma kwa ufahamu. Hakusema asiwe mchaga. Amesema asiwe anakaa Moshi.Samahani mkuu, mbona kama unachukia wachaga?
Kuna nini?
Uchagani hakuna mwanaume wanawake wameshawastukia. Ni makabila mawili nchi utasikia mwanamke ataliweka wazi kuwa asiwe mchaga au mhaya. Mnajua matatizo yenu myafanyie kaziSamahani mkuu, mbona kama unachukia wachaga?
Kuna nini?
Moshi kuna kabila gani? Makao makuu ya mkoa kuna kabila moja tu?Asiwe mkoan moshi , lakn wachagga ni accepted
Acha aendelee kutafuta, hizi vitu mara nyingi hufanya mtu akose mwenza.Sifa ya mwanaume ni Heshima na Uwajibikaji
Urefu, ufupi, wembamba hivo ni vitu extra havina hata thamani