Nahitaji mwenzi ambaye ni muhimu kuwa na sifa hizi

Nahitaji mwenzi ambaye ni muhimu kuwa na sifa hizi

Yaani pamoja na mleta uzi kutaja vigezo kadhaa kwa mwenza anayemtarajia, lakini ajabu wengi humu tumeshupalia /tumekipatia uzito mkubwa kipengele cha "hips". Inaonekana kuna siri kubwa kwenye mambo ya mahips.
 
Vigezo na masharti kuzingatiwa[emoji4]
Karibu tuyajenge mzee mwenzangu wasikukatishe tamaa
 
Pamoja na degree (shahada) yako uliyoipata miaka 15 iliyopita unaelewa maana ya neno HIPS?

 
1. Leta picha yako. Usije ukawa mfupi Kama liquid halafu unataka dada zetu wenye hips.
2. Kwanini mpaka Sasa huna mwenza, au labda ulikua nae ukamtoa kafara biashara zishamiri.
3. Dini au kabila Ni issue ?
4. Ina maana wewe wote uliosoma nao msingi, sekondari, high sch na chuo na wafanya biashara wenzio ulikua hujaona wakukufaa?
5. Nyege zako ulikua unazituliza kwa mkono (puli), wahaya, changudoa, wanafunzi au wake za watu?
6. Nakutakia mxafanikio katika juhudi zako za kusaka jiko.
 
Tuma picha tukuone na wewe unafanania kuongozana na mtu mwenye mahips yaliotiliwa msisitizo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaani mwanamke huyo huyo mmoja awe na sifa zote hizi :
-hips
-akili
-msafi
-mwaminifu

Mzee baba, hapo labda uongee na BWANA MUNGU akuumbie wa kwako kwa special order.
Daah mkuu nimecheka sana kwa kweli JF ina watu aisee yaani iwe special order kama bidhaa zingine tuu..
 
Wewe una miaka 40+ bado hujapataga manzi mwenye mahips? Mbona wako Wengi tu mzeee baba unafeli wapi?
 
Back
Top Bottom