Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Dogo huna hipsi acha gubu🤣🤣🤣Tuma picha tukuone na wewe unafanania kuongozana na mtu mwenye mahips yaliotiliwa msisitizo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo huna hipsi acha gubu🤣🤣🤣Tuma picha tukuone na wewe unafanania kuongozana na mtu mwenye mahips yaliotiliwa msisitizo?
Udhaifu wako ni upi?Muhimu ni HIPS[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
kila binadamu na udhaifu wake asee!!
Mkiona anatakiwa mwenye dimpozHiyo picha yako inaonyesha pia una hizo hips jamaa alizotia msisitizo...
Me nisha disqualify kitambo, nataka nimuangalizie kwa mashost 🤣🤣Dogo huna hipsi acha gubu🤣🤣🤣
pia kabla ya yote tuweze kubadilishana picha kablaNina miaka 40+, elimu Shahada ya miaka 15 iliyopita. Nina shughuli zangu binafsi, naishi DSM, na wakati mwingine husafiri kwenye shughuli zangu za kikazi.
Nahitaji mwenzi ambaye kadri tutakavyofahamiana ndivyo tutajua kama tunaweza kuwa wachumba au laah. Kwa maana tunahitaji kuamua kwa pamoja.
Awe na angalau elimu ya kidato cha 6 na kuendelea. Au asikose cheti fulani. Awe na ufahamu wa lugha ya Kingereza. Awe msafi wa miguu, mikono, kucha na mwili wote kwa ujumla, rangi yoyote ya asili.
Muhimu awe na hips, napenda mwanamke mwenye hips pana. Hili nasisitiza sababu sipendi nimdanganye au nimpotezee mtu muda.
Umri wake uanzia miake 25-35, akiwa na mtoto ni vyema akaniambia mapema na tukakaa kujadiliana tufanye nini. Sichukii watoto. Awe mwaminifu na anayejiamini. Mwerevu kichwani, mwenye mawazo ya maendeleo na aliyetayari kufanya biashara kama hana kazi, awe na wazo la biashara husika.
Awe tayari kupima afya na pia kabla ya yote tuweze kubadilishana picha kabla ya kufikia hatua ya kuonana. Nasema hivi ili tuepushe kusumbuana.
Mimi ni mtu ninayekuwa bize na sipendi kuhangaika tena na mahusiano. Nahitaji mtu ambaye tutaelewana atanielewa. Kwahiyo nakuwa wazi mapema ili tusipotezeane muda hata kidogo. Nasisitiza awe na umbo zuri lenye nyama, shepu ni muhimu kwangu maana navutiwa na hilo. Sipendi niwe mnafiki.
Wewe unafaa sema ni vile wasomi wetu wana short list nyingi utadhani wamepata tenda ya kutengeneza vichwa vya TRC...wadada kibao huko mtaani mpaka wengine huko sijui bank lakini wanatoa vigezo kama vile wanataka kutengeneza ndege toleo jipya ndio maana unaona umri unaenda na vigezo vyao wanavyotaka havipatikani...Mkiona anatakiwa mwenye dimpoz
Ndo mniite 🤣
Ila hips, sijui matacore.. hivyo nilikosaga 😹
Mbona mimi na wewe tulishalijadili hili. Na upo kwako kwa asilimia 200%[emoji3]Udhaifu wako ni upi?
Jambazi kama jambazi🤣Mbona mimi na wewe tulishalijadili hili. Na upo kwako kwa asilimia 200%[emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3]Jambazi kama jambazi[emoji1787]
Kina Betina imekula kwetuNina miaka 40 plus, Elimu Degree ya miaka 15 iliyopita. Nina shughuli zangu binafsi naishi DSM. na wakati mwingine husafiri kwenye shughuli zangu za kikazi.
Nahitaji Mwenzi ambaye kadri tutakavyofahamiana ndivyo tutajua kama tunaweza kuwa wachumba au laah. Kwa maana tunahitaji kuamua kwa pamoja.
Awe na angalau elimu ya kidato cha 6 na kuendelea. Au asikose Certificate flani. Awe na ufahamu wa Lugha ya kiingereza. Awe msafi wa miguu,mikono,kucha na mwili wote kwa ujumla. Rangi yoyote ya asili.
MUHIMU : AWE NA HIPS. Napenda mwanamke mwenye hips pana. Hili nasisitiza sababu sipendi nimdanganye au nimpotezee mtu muda.
Umri wake uanzia miake 25-35 akiwa na mtoto ni vyema akaniambia mapema na tukakaa kujadiliana tufanye nini. Sichukii watoto. Awe mwaminifu na anayejiamini. Smart upstairs mwenye mawazo ya maendeleo na aliye tayari kufanya biashara kama hana kazi. Awe na idea ya biashara husika.
Awe tayari kupima afya na pia kabla ya yote tuweze kubadilishana picha kabla ya kufikia hatua ya kuonana. Nasema hivi ili tuepushe kusumbuana.
Mimi ni mtu ninayekuwa busy na sipendi kuhangaika tena na mahusiano. Nahitaji mtu ambaye tutaelewana atanielewa. So nakuwa clear mapema ili tusipotezeane muda hata kidogo. Nasisitiza awe na umbo zuri lenye nyama, shape ni muhimu kwangu maana navutiwa na hilo. Sipendi niwe mnafiki naweka kila kitu wazi mapema.
Shouger.. hawa ndio wanatUfanya tukachongeKina Betina imekula kwetu
🤣🤣🤣Sifa zote ninazo isipokuwa hips… jamani muelewe makabila mengine hips kwetu ni mtihani
Daah hii comment imenifanya wanapraise wenzangu wanione boya🤣🤣🤣🤣Sifa zote nnazo najiona mwenye bahati, niko studio natwanga foto nimtumie
Kabisaaaa 😃😃😃Shouger.. hawa ndio wanatUfanya tukachonge