Nahitaji mwenzi ambaye ni muhimu kuwa na sifa hizi

Kuna haja ya kuanzisha goli la kutafutia watu wenzi...
 
pia kabla ya yote tuweze kubadilishana picha kabla


Awe na umbo Xur

Mkuu kama uko bize na biashara zako nadhani hapo tumeelewana
 
Mkiona anatakiwa mwenye dimpoz
Ndo mniite 🤣
Ila hips, sijui matacore.. hivyo nilikosaga 😹
Wewe unafaa sema ni vile wasomi wetu wana short list nyingi utadhani wamepata tenda ya kutengeneza vichwa vya TRC...wadada kibao huko mtaani mpaka wengine huko sijui bank lakini wanatoa vigezo kama vile wanataka kutengeneza ndege toleo jipya ndio maana unaona umri unaenda na vigezo vyao wanavyotaka havipatikani...
 
Kina Betina imekula kwetu
 
Sifa zote ninazo isipokuwa hips… jamani muelewe makabila mengine hips kwetu ni mtihani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…