Joseph midimu
Senior Member
- Mar 8, 2024
- 141
- 210
- Thread starter
- #41
Mbona umenimaindi sana,, ndugu.?Dogo hataki shule useless government money
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona umenimaindi sana,, ndugu.?Dogo hataki shule useless government money
Ndio imekufanya uache Chuo upite hivi na pesa za Serikali, hivi HESLB wanajua huu usenge mnaofanya?GUNIA MOJA LA MPUNGA LAKI MOJA,, ALAFU MAHINDI NI 75000/-
Maliza skuli kabisa ili uingie mtaani rasmi , don't rush everything begin sweet and turn sour laterNAOMBENI MNISAIDIE KIDOGO MCHANGO WA MAWAZOYENU!
Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 22! Niko chuo mwaka wa pili, nasomea ualimu wa math & physics.
Baada ya kukusanya pesa kidogo kutoka kwenye boom takribani 1M mpaka sasa, hivyo nahitaji nijiengue kutoka kwenye elimu niwe mkulima wa mazao ya mpunga na mahindi.
WENYE UELEWA MNISAIDIE TAFADHARI ILA MSINITUKANE.
Kwann uliacha.?Wasomi bhana
Mimi niliacha chuo mwaka wa tatu semister ya pili.
Lazima nikumind qhmawewe kuna wenzio wamenyimwa mkopo wamekosa kusoma wewe umepewa mkopo unataka ufanye usenge pimbi mmojaMbo
na umenimaindi sana,, ndugu.?
Matakoyako meusitiiAll the Best
Ni ndogo,, ila ni kubwa!1M nayo ni hela ya kukupa kiburi? Ebu jazia jazia hiyo hela dogo
Ulishawahi kupita chuo.?Lazima nikumind qhmawewe kuna wenzio wamenyimwa mkopo wamekosa kusoma wewe umepewa mkopo unataka ufanye usenge pimbi mmoja
Nilikaa nikatafakari ninasoma ili iweje,niweje?Kwann uliacha.?
Kwani mm,, ndy nimekunyima mkopo.?Lazima nikumind qhmawewe kuna wenzio wamenyimwa mkopo wamekosa kusoma wewe umepewa mkopo unataka ufanye usenge pimbi mmoja
Kwahy ukapita,, na boom 💥Nilikaa nikatafakari ninasoma ili iweje,niweje?
Au nasoma ili niwe mvaa tai tu na shuti halafu pesa mfukoni Sina.
Hela ya mkopo HESLB wamekupa wewe usietaka kusomaUlishawahi kupita chuo.?
Qhmamayo wewe na HESLB wote wasengeKwani mm,, ndy nimekunyima mkopo.?
Heslb Tanzania ofisi zao hujui zilipo.? Malalamiko wapelekee hao!
Unahisi wamekosa,, laki sita ya kukupa ww.? Au umekosa sifa za kupata mkopo.?Hela ya mkopo HESLB wamekupa wewe usietaka kusoma
Ila bhana,, bongo kila mtu anachanganyikiwa kwa wakati wake 😁Qhmamayo wewe na HESLB wote wasenge
Mim sikusomeshwa na serikaliKwahy ukapita,, na boom 💥
Ahahahaha,, wanalialia tu! in short washakua ombaomba.Mim sikusomeshwa na serikali
Wazee,pamoja na wanachuo wenzangu hawakunielewa lkn kwasasa wanachuo wenzangu wa kipindi kile wanakuja kwangu kuomba kazi na mitaji ya kuanzisha biashara
Braza ww kama unaacha chuo acha huo Sasa ndy uamuzi wa kiume,lkn kweny kilimo hapo hapana kwa kweli Bora ujikite kununua mazao tu then fanya shughuli ndogo ndogo za kukuingizia kipata kila siku.Ahahahaha,, wanalialia tu! in short washakua ombaomba.