YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Haya maneno basi tuandikishiane
Ni uhaminifu tunatumia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya maneno basi tuandikishiane
Ah wee maenye natamani kweli kwenda hotel verde ila sasa chumba laki nne unusu kwa siku sii balaa hilo.
On serious note though 10mil wat business can i do ambayo 30k kwa siku sikosi
Wee sii umesema una moenzi wako sasa utamtosa mpenzio kwa mzabzab kisa 10 milTumia pesa ikuzoee acha woga twende Verde tukale maisha na hiyo 10million, unafeli wapi daddie [emoji12]
Wee sii umesema una moenzi wako sasa utamtosa mpenzio kwa mzabzab kisa 10 mil
Ndio ipo kwa shati hapa yaani nasubiria wazo la biashara tuu10million si unayo lakini? [emoji12]
Kwa umri wako sikushauri uupe mtu biashara aendeshe alafu akuletee hela utalia..Habari za muda huu, Mimi ni kijana wa miaka 20, hivi karibuni ninatarajia kupokea 40mil, je ni biashara gani ya uhakika naweza kuifanya yenye pesa..Mimi binafsi sipendelei maduka kabisa Wala sifikirii, Ila nilikuwa nawaza kununua coaster hata kama used kwa mtu, nimpe mtu afanyie kazi kwa siku iwe inakuja atleats 70k huku nikiendelea na chuo...
Nawakaribisha mnipe mawazo yenu. Asante
kijana miaka 20 alafu unatarajia kupata milion 40 embu tuambie unaipatapataje kwanza au unaenda kuiba sehemu ndo tukupe ushauri
Nunua mcheleHabari za muda huu, Mimi ni kijana wa miaka 20, hivi karibuni ninatarajia kupokea 40mil, je ni biashara gani ya uhakika naweza kuifanya yenye pesa..Mimi binafsi sipendelei maduka kabisa Wala sifikirii, Ila nilikuwa nawaza kununua coaster hata kama used kwa mtu, nimpe mtu afanyie kazi kwa siku iwe inakuja atleats 70k huku nikiendelea na chuo...
Nawakaribisha mnipe mawazo yenu. Asante
Ndio ipo kwa shati hapa yaani nasubiria wazo la biashara tuu
Haileti picha nzuri kwa nani sasa?Haijakaa vizuri hii, niseme hapa unajua kabisa hii sehemu ni public...ingawa sijazipata illegally lakini haileti picha nzuri
Mbususu utatoa?Biashara ya nini utapata hasara ufe kabla ya wakati, wewe fanyia kazi lile wazo la Cape Verde bhanaaa, twende tukaponde maraha visiwa vya karafuu [emoji12][emoji12][emoji12]
Mhm mbususu atatoa?Hahaha................bahati iliyoje mzabzab , fungua pochi mtoto amekubali muende Zanzibar pamoja 🤗
Mbususu utatoa?
Wengi huogopa kutaja vyanzo vya fedha zao.Haileti picha nzuri kwa nani sasa?
Sisi walimwengu hatuna shida...picha ni nzuri tu
Unashikaje ten wakati kule kila kitu tunalipa kwa kadi10million nashika mimi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu 70K kwa mwezi ni 1,960,000?70k kwa siku, kwa siku Saba inakuwa 490k, kwa mwezi itakuwa 1960000, Ila kwel hapo ndogo ukilinganisha na mtaji, labda kitu kingine aise