Nahitaji ushauri kwa mtaji wa 40 milionI

Nahitaji ushauri kwa mtaji wa 40 milionI

Bas ziingize kwenye account yangu mimi ndio nitaclear kila kitu, acha janja janja za nyani [emoji23][emoji23][emoji23]
Huna dalili ya kutoa mbususu wewe wacha nikomae hapa nipate wazo.
Kibanda cha chips vipi wakuuu?
 
Habari za muda huu, Mimi ni kijana wa miaka 20, hivi karibuni ninatarajia kupokea 40mil, je ni biashara gani ya uhakika naweza kuifanya yenye pesa..Mimi binafsi sipendelei maduka kabisa Wala sifikirii, Ila nilikuwa nawaza kununua coaster hata kama used kwa mtu, nimpe mtu afanyie kazi kwa siku iwe inakuja atleats 70k huku nikiendelea na chuo...
Nawakaribisha mnipe mawazo yenu. Asante
Mdogoangu chukua ISUZU hio kafanyie kazi.

njoo inbox tufanye biashara
 

Attachments

  • Screenshot_20230702-111526_1.jpg
    Screenshot_20230702-111526_1.jpg
    40.5 KB · Views: 19
Dah tricky

Ungekuwa husomi ingekua rahisi zaidi

Vizuri ufanye kitu unacho jua relate hata na faculty yako
 
Huna dalili ya kutoa mbususu wewe wacha nikomae hapa nipate wazo.
Kibanda cha chips vipi wakuuu?

Wee lete pesa hizo, biashara unaenda kupoteza pesa na uhai!! Usije kusema hatujakwambia utakapoanza trip za JKCI [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hongera kuwa na wazo la kuinvest ukiwa shuleni.

Biashara ya usafirishaji ni risk sana kupoteza mtaji. Nina uzoefu kwenye hili

Kama utaweza nenda uweke hizo hela benki kwenye fixed deposit account wakati ukiendelea na masomo, na kiasi kidogo maybe 5M nenda uwekeze UTT ili uewe unazungusha kupata hela ya kujikimu.

Jitahidi kukwepa vishawishi vya makundi hapo chuoni ili uje uhitimu ukiwa salama kiafya (afya ya akili na mwili), kwani una nafasi kubwa ya kuja kufanikiwa as tayari una mtaji wa kuanzisha safari yako ya mafanikio.

Kila la kheri.
5 Milion, kwenye UTT atapata ngapi kwa Mwezi?
 
Miaka 20 kwa mazingira ya kiafrika, akili bado sana-chochote titakacho shauri hapa kitakuwa kama mbuzi kupigiwa gitaa maana hataweza kufanya maamuzi yoyote nanisitoshe bado anasoma.
Kaweka hiyo hela fixed deposit pale Bank ya Tanzania commercial bank kila mwezi utakuwa unapata kama 250K itakutosha kutimia shule.

Maana ukisema ufanye biashara bado una shule, supervision itakuwa changamoto kwako.
 
Habari za muda huu, Mimi ni kijana wa miaka 20, hivi karibuni ninatarajia kupokea 40mil, je ni biashara gani ya uhakika naweza kuifanya yenye pesa..Mimi binafsi sipendelei maduka kabisa Wala sifikirii, Ila nilikuwa nawaza kununua coaster hata kama used kwa mtu, nimpe mtu afanyie kazi kwa siku iwe inakuja atleats 70k huku nikiendelea na chuo...
Nawakaribisha mnipe mawazo yenu. Asante
Angalia usipigwe dogo. Mjini kuna matapeli hatari
 
Mkuu 70K kwa mwezi ni 1,960,000?

Hizo pesa kama ni kweli utazipata ni heri ukatuliza akili kwanza

Nunua mchele

Kama utapata connection nzuri chukua mchele huu wa nje ya nchi wauzie wauza mchele kwa jumla unaeza anza kuzungusha 10m kadri unavyoenda unaongeza pesa

Mchele haukati pesa labda utapeliwe tu
Usimamizi wa mishe za mchele na masomo ya chuo itawezekana kweli kwenda kwa wakati mmoja?
 
Miaka 20 kwa mazingira ya kiafrika,akili bado sana-chochote titakacho shauri hapa kitakuwa kama mbuzi kupigiwa gitaa maana hataweza kufanya maamuzi yoyote nanisitoshe bado anasoma.
Kaweka hiyo hela fixed deposit pale Bank ya Tanzania commercial bank kila mwezi utakuwa unapata kama 250K itakutosha kutimia shule.
Maana ukisema ufanye biashara bado una shule,supervision itakuwa changamoto kwako.
Hili nalipokea kwa mikono miwili.. Asante sana
 
Nunua ng'ombe 80 wakati wa kiangazi kama kambako na Maksai chagua zile zenye miili mikubwa let say 400,000 × 80 = 32,000,000.

Kanunulie huko minada ya Kondoa, Singida na Dodoma than tafuta eneo Morogoro hata heka 10 let say kila 200,000 × 10 = 2,000,000 weka budget za Pumba via mashudu plus malipo kwa wachungaji, Dokta na usafirishaji weka 4,000,000 Jumla hapo 32,000,000 + 2,000,000 + 4,000,000 = 38,000,000 Baada ya miezi 3 zikinenepa unauza 750,000 × 80 = 60,000,000 kupanga nikuchagua [emoji3][emoji24]
Wazo zuri Sana umempatia,na asisahau na bei ya madawa,Ila kama angeanza na ng'ombe 40 kwanza...
 
Hongera kuwa na wazo la kuinvest ukiwa shuleni.

Biashara ya usafirishaji ni risk sana kupoteza mtaji. Nina uzoefu kwenye hili

Kama utaweza nenda uweke hizo hela benki kwenye fixed deposit account wakati ukiendelea na masomo, na kiasi kidogo maybe 5M nenda uwekeze UTT ili uewe unazungusha kupata hela ya kujikimu.

Jitahidi kukwepa vishawishi vya makundi hapo chuoni ili uje uhitimu ukiwa salama kiafya (afya ya akili na mwili), kwani una nafasi kubwa ya kuja kufanikiwa as tayari una mtaji wa kuanzisha safari yako ya mafanikio.

Kila la kheri.
Mimi namshauri pesa yote aweke UTT mfuko wa bond fund.
Kwa mwezi atakuwa anapata gawio la Tsh 400,000/= au 390,000/= .kama Hana shida na pesa anaweza kuwa ana re-invest gawio lake, kuongeza dhamani ya uwekezaji wake. Au gawio analopata anaweza kufungua biashara nyingine ndogo Huku principal amount ikiwa salama kwa maisha yake yote duniani.
 
5 Milion , kwenye UTT atapata ngapi kwa Mwezi ?

Hongera kuwa na wazo la kuinvest ukiwa shuleni.

Biashara ya usafirishaji ni risk sana kupoteza mtaji. Nina uzoefu kwenye hili

Kama utaweza nenda uweke hizo hela benki kwenye fixed deposit account wakati ukiendelea na masomo, na kiasi kidogo maybe 5M nenda uwekeze UTT ili uewe unazungusha kupata hela ya kujikimu.

Jitahidi kukwepa vishawishi vya makundi hapo chuoni ili uje uhitimu ukiwa salama kiafya (afya ya akili na mwili), kwani una nafasi kubwa ya kuja kufanikiwa as tayari una mtaji wa kuanzisha safari yako ya mafanikio.

Kila la kheri.
UTT inamaana gani, kwa sababu hizi terminology za kibiashara sizijui mda mwingi nimekaa shule za bweni nikisoma sayansi
 
Back
Top Bottom