Nahitaji ushauri kwa mtaji wa 40 milionI

Nahitaji ushauri kwa mtaji wa 40 milionI

Habari za muda huu, Mimi ni kijana wa miaka 20, hivi karibuni ninatarajia kupokea 40mil, je ni biashara gani ya uhakika naweza kuifanya yenye pesa..Mimi binafsi sipendelei maduka kabisa Wala sifikirii, Ila nilikuwa nawaza kununua coaster hata kama used kwa mtu, nimpe mtu afanyie kazi kwa siku iwe inakuja atleats 70k huku nikiendelea na chuo...
Nawakaribisha mnipe mawazo yenu. Asante
Kijana...kama una mzuka na biashara ya magari achana na mambo ya shule.
Shule uliyo nayo yatosha kabisa kwa nchi hii.
Kama unataka Coaster nunua 14B,halafu kaa mlangoni mwenyewe,usisubiri kuletewa hesabu.
Vinginevyo
Nunua DCM ni bei nafuu, linatengenezeka...Chukua route either ya Msumi au Mpigi magohe,kaa mlangoni mwenyewe,
pesa utaiona,
Tafuta dereva mtu mzima ishi nae vizuri,kla jioni mtoe kwa kadiri ya imani yako...
Kwa wastani njia hii baada ya kutoa gharama zote unabakiwa na 230,000/=mpaka 260,000/=
Pale Mbezi kuna Branch ya CRDB jitahidi ku deposit 200,000 daily
Kwa maana hiyo kwa mwezi utakuwa na 6,000,000/=........kwa nchi hii hakuna mtu anaweza kukulipa pesa hiyo kwa mwezi(ndo maana nakujuza usipoteze muda wako shule)
Ndani ya miezi kumi utakuwa na milioni sitini,sasa hapa CRDB wanakudhamini basi jipya,TATA,,,,,na hapo baada ya miaka miwili utakuja nishukuru kama fulani na fulani.
TAHADHARI.
Vishawishi,Pombe,fegi,mademu ni mianya na milango ya umasikini katika kazi hii.
Wengi wanalalamika biashara hailipi sababu ni hizo.
1.Komaa mwenyewe kudaka nauli.
2.Zingatia service na matengenezo
3.Penda kazi yako usafi ,boresha mazingira ya kazi PIMP chombo chako.
 
Nunua ng'ombe 80 wakati wa kiangazi kama kambako na Maksai chagua zile zenye miili mikubwa let say 400,000 × 80 = 32,000,000.

Kanunulie huko minada ya Kondoa, Singida na Dodoma than tafuta eneo Morogoro hata heka 10 let say kila 200,000 × 10 = 2,000,000 weka budget za Pumba via mashudu plus malipo kwa wachungaji, Dokta na usafirishaji weka 4,000,000 Jumla hapo 32,000,000 + 2,000,000 + 4,000,000 = 38,000,000 Baada ya miezi 3 zikinenepa unauza 750,000 × 80 = 60,000,000 kupanga nikuchagua [emoji3][emoji24]
Let say au sio😂
 
Kijana...kama una mzuka na biashara ya magari achana na mambo ya shule.
Shule uliyo nayo yatosha kabisa kwa nchi hii.
Kama unataka Coaster nunua 14B,halafu kaa mlangoni mwenyewe,usisubiri kuletewa hesabu.
Vinginevyo
Nunua DCM ni bei nafuu, linatengenezeka...Chukua route either ya Msumi au Mpigi magohe,kaa mlangoni mwenyewe,
pesa utaiona,
Tafuta dereva mtu mzima ishi nae vizuri,kla jioni mtoe kwa kadiri ya imani yako...
Kwa wastani njia hii baada ya kutoa gharama zote unabakiwa na 230,000/=mpaka 260,000/=
Pale Mbezi kuna Branch ya CRDB jitahidi ku deposit 200,000 daily
Kwa maana hiyo kwa mwezi utakuwa na 6,000,000/=........kwa nchi hii hakuna mtu anaweza kukulipa pesa hiyo kwa mwezi(ndo maana nakujuza usipoteze muda wako shule)
Ndani ya miezi kumi utakuwa na milioni sitini,sasa hapa CRDB wanakudhamini basi jipya,TATA,,,,,na hapo baada ya miaka miwili utakuja nishukuru kama fulani na fulani.
TAHADHARI.
Vishawishi,Pombe,fegi,mademu ni mianya na milango ya umasikini katika kazi hii.
Wengi wanalalamika biashara hailipi sababu ni hizo.
1.Komaa mwenyewe kudaka nauli.
2.Zingatia service na matengenezo
3.Penda kazi yako usafi ,boresha mazingira ya kazi PIMP chombo chako.
Biashara za kwenye makaratasi mahesabu huenda vizuri sana asee ila hebu ajaribu 😂😂
 
Habari za muda huu, Mimi ni kijana wa miaka 20, hivi karibuni ninatarajia kupokea 40mil, je ni biashara gani ya uhakika naweza kuifanya yenye pesa..Mimi binafsi sipendelei maduka kabisa Wala sifikirii, Ila nilikuwa nawaza kununua coaster hata kama used kwa mtu, nimpe mtu afanyie kazi kwa siku iwe inakuja atleats 70k huku nikiendelea na chuo...
Nawakaribisha mnipe mawazo yenu. Asante
Janja punguza munkari hakuna biashara wala deal utapewa hapa mtandaoni cha msingi tafuta mtu mzima unaeona anamaendeleo muite kaa nae bar mle vinu tena sio bar ndogo nenda bar kubwa au hoteli kaliii mule ndio ideas na michongo huvumbuka mbali na hapo unajidanganya na pesa yako ya urithi
 
Nunua IST used kwa watu za m8 mpk m9 upate IST4 zilizonyooka ziingize kwenye uber kwa HESABU au MKATABA mpk unamaliza chuo utakuwa na kiasi kikubwa na unaweza kuja tena kuziuza hizo GARI zako baadae ya kumaliza chuo si chini ya m5 HESABU kwa wiki ni 150000 mpk 170000 kwa mwezi kwa GARI zote unatengeneza si chini ya m3 hapo umetoa kila kitu service ni juu ya madereva baada ya mwaka una milioni 30 baada ya miaka 3 una mi50 tuseme ukija uza na GARI zako upo mbali mzee
 
Nunua IST used kwa watu za m8 mpk m9 upate IST4 zilizonyooka ziingize kwenye uber kwa HESABU au MKATABA mpk unamaliza chuo utakuwa na kiasi kikubwa na unaweza kuja tena kuziuza hizo GARI zako baadae ya kumaliza chuo si chini ya m5 HESABU kwa wiki ni 150000 mpk 170000 kwa mwezi kwa GARI zote unatengeneza si chini ya m3 hapo umetoa kila kitu service ni juu ya madereva baada ya mwaka una milioni 30 baada ya miaka 3 una mi50 tuseme ukija uza na GARI zako upo mbali mzee
Usimamiaji kwa madereva ni kipengere
 
Nenda mkoani angalia wapi sehemu inayokuwa haraka anza na mtaji wa milioni 10.hiyo 30 weka akiba huku ukijenga jina maana mkoani uvumilivu wakikuzoea ndio utaimalisha biashara.
ukitaka haraka itaisha yote
Sasa hapa umetoa ushauri gani chief, aende mkoani sehemu inayokuwa halafu afanye biashara gani sasa???
 
Fungua kituo cha polisi ajiri migambo wawili, anza na vibaka watatu na wafanye doria kwenye vilabu vya pombe lazima mtapata wahalifu wengi. Mkiwakamata lazima watoe pesa, kuingia kituoni bure lakini kutoka na pesa! Ndani ya week mna pesa za kutosha mnafunga kituo, mnakihamisha mitaa mingine ndani ya mwezi hiyo 40million itakuwa imeongezeka sasa njoo tufanye biashara ya soya [emoji23][emoji23][emoji23]
Unafanya utani
Kama kuna dollars fake sasa kuna jamaa kafungua Fake bank SBI huko India na wamekamatwa kwa sasa

Yaani kuna watu wana ujasiri
 
Unafanya utani
Kama kuna dollars fake sasa kuna jamaa kafungua Fake bank SBI huko India na wamekamatwa kwa sasa

Yaani kuna watu wana ujasiri

Hizo biashara za waabeshi bro [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Habari za muda huu, Mimi ni kijana wa miaka 20, hivi karibuni ninatarajia kupokea 40mil, je ni biashara gani ya uhakika naweza kuifanya yenye pesa..Mimi binafsi sipendelei maduka kabisa Wala sifikirii, Ila nilikuwa nawaza kununua coaster hata kama used kwa mtu, nimpe mtu afanyie kazi kwa siku iwe inakuja atleats 70k huku nikiendelea na chuo...
Nawakaribisha mnipe mawazo yenu. Asante
Upo mkoa gani tuanzia hapo
 
Habari za muda huu, Mimi ni kijana wa miaka 20, hivi karibuni ninatarajia kupokea 40mil, je ni biashara gani ya uhakika naweza kuifanya yenye pesa..Mimi binafsi sipendelei maduka kabisa Wala sifikirii, Ila nilikuwa nawaza kununua coaster hata kama used kwa mtu, nimpe mtu afanyie kazi kwa siku iwe inakuja atleats 70k huku nikiendelea na chuo...
Nawakaribisha mnipe mawazo yenu. Asante
Achana kabisa na biashara za magari mdogo angu, vile vitu ni more of liability than an asset.
Nenda mkoani fanya agro business. Langua mazao yanayovunwa kwa bei ndogo unayotaka wewe maana wakulima wengi wadogo hawana option kwa sababu hawana mtaji wa kuvumilia bei ya mazao yao ipande ndo wauze. Chagua vizuri, nunua, tafuta masoko mazuri, nenda kauze. Ukiweza kununua na kuwa na subira kidogo bei ipande, Mahindi, Mpunga na Alizeti zita double whatever amount umepanga kufanyia investment ndani ya miezi michache tu.
 
Habari za muda huu, Mimi ni kijana wa miaka 20, hivi karibuni ninatarajia kupokea 40mil, je ni biashara gani ya uhakika naweza kuifanya yenye pesa..Mimi binafsi sipendelei maduka kabisa Wala sifikirii, Ila nilikuwa nawaza kununua coaster hata kama used kwa mtu, nimpe mtu afanyie kazi kwa siku iwe inakuja atleats 70k huku nikiendelea na chuo...
Nawakaribisha mnipe mawazo yenu. Asante

Hakuna biashara yenye uhakika wa pesa wala biashara isiyo na uhakika wa pesa,
Biashara hutakiwi kushauriwa,
Biashara ni mchakato wa kuangalia kwanza wewe unaweza kufanya nn,
Hakikisha unafanya unachoweza,
Usifanye kwasababu umesikia kinalipa,
Hakuna kisicholipa,
Hicho unachosikia kinalipa kunamtu hataki kukisikia,
Kikubwa usifanye biashara mshenzi,
Mambo ya kuweka milion 40 faida laki 3 kwa mwezi acha kabisa ujinga huo,
Utachelewa sana kufanikiwa,
Angalia unaujuzi gani fanya biashara,
Usihesabu kama unamtaji wa milion 40
Hesabu unamtaji wa milion 20,
Kwahyo anza na biashara ya milion 20,
Mwanzo wa biashara huwa ni mgumu sana,
Mtaji ukidrop unaboost kidogo kidogo hvyohvyo mpaka utasimama vizuri,
Biashara nyepesi zaidi ni nnayoweza kukushauri ni KUBET,
najua wengi mtaona kichekesho lakini kama utanichukulia serious basi unaweza kufanikiwa,
Kubeti ni kazi rahisi sana kwa sisi ambao hatujazaliwa kwenye mifumo ya kimangi mangi,
Mtu anatoka home na milioni 50 anaingia Casino kubet usimuone fala yule,
Anafanya anachokijua na anauhakika nacho,
Ntaandaa uzi mmoja sikumoja unaohusu biashara rahisi ya kubet,
Atakaekuwa makini na hilo atafanikiwa mpaka atashangaa,
Kikubwa usiwe na tamaa tuu na uwe na mtaji
Kaeni tayari
Lakini usilete mambo ya dini huku [emoji23][emoji23]
Maana hakuna dini inayokubali kamali,
Kama wewe unaamini dini kaa mbali na sisi dini less [emoji23]
 
Nafanya kazi casino mwaka WA tano huu...hamna mtu hata mmoja aliyefanikiwa kwa kubet...usimdaganye mwenzio... Casino never loose NEVER
Hakuna biashara yenye uhakika wa pesa wala biashara isiyo na uhakika wa pesa,
Biashara hutakiwi kushauriwa,
Biashara ni mchakato wa kuangalia kwanza wewe unaweza kufanya nn,
Hakikisha unafanya unachoweza,
Usifanye kwasababu umesikia kinalipa,
Hakuna kisicholipa,
Hicho unachosikia kinalipa kunamtu hataki kukisikia,
Kikubwa usifanye biashara mshenzi,
Mambo ya kuweka milion 40 faida laki 3 kwa mwezi acha kabisa ujinga huo,
Utachelewa sana kufanikiwa,
Angalia unaujuzi gani fanya biashara,
Usihesabu kama unamtaji wa milion 40
Hesabu unamtaji wa milion 20,
Kwahyo anza na biashara ya milion 20,
Mwanzo wa biashara huwa ni mgumu sana,
Mtaji ukidrop unaboost kidogo kidogo hvyohvyo mpaka utasimama vizuri,
Biashara nyepesi zaidi ni nnayoweza kukushauri ni KUBET,
najua wengi mtaona kichekesho lakini kama utanichukulia serious basi unaweza kufanikiwa,
Kubeti ni kazi rahisi sana kwa sisi ambao hatujazaliwa kwenye mifumo ya kimangi mangi,
Mtu anatoka home na milioni 50 anaingia Casino kubet usimuone fala yule,
Anafanya anachokijua na anauhakika nacho,
Ntaandaa uzi mmoja sikumoja unaohusu biashara rahisi ya kubet,
Atakaekuwa makini na hilo atafanikiwa mpaka atashangaa,
Kikubwa usiwe na tamaa tuu na uwe na mtaji
Kaeni tayari
Lakini usilete mambo ya dini huku [emoji23][emoji23]
Maana hakuna dini inayokubali kamali,
Kama wewe unaamini dini kaa mbali na sisi din
 
Back
Top Bottom