Nahitaji ushauri wa haraka sana maana nahisi Nachanganyikiwa sasa

Kama aligongewa mke willsmith mwenyê pesa na ustar juu tena yupo U.S.A maandish matatu...na akamsamehe mkewe.....iwe wew ticha kwel......we kausha ukimwachaaaa kuna watu wanavuta mzigooooo huoo
Bwana wee nashangaa mwanaume ana mind eti mke wake kugegedwa🤣🤣🤣 kujipa stress za bure tuu. Mbususu ni yake mwanamke na atampa ampendaje na huna lolote waweza fanya. Sawa na wewe kidume de liboloz lako watembeza kokote na hakuma kitu mke anaweza fanya.

Sharing is caring when comes to mbususu 😝
 
Never trust a woman hata kama angalia anatoa machozi ya dam
 
Njoo unikodi mimi na bunduki yangu tukamteke huyo kijana na wife nae tumzoe then twende nao porini tuchimbe na kaburi kabisa alafu tuwafanyie interrogation majibu utayajua vizuri
 
Dah huo ubakaji ulikuwa smooth kweli inaonekana mbakwaji alikuwa anatoa ushirikiano kadri awezavyo
 
Ni kweli Kabisa Mkuu Hivi mama Dkt. Gwajima D hawezi kunisaidia au hakuna Sheria "Kama kweli amebakwa" za kufuata..

Na kiukweli Mkuu Nilikuwa Ninamwamini sana Mke wangu kwa sababu nimekuwa naye kwa muda mrefu kwenye Ndoa kama miaka 8 hivi
Acha UPUMBAVU,fukuza hilo lisaliti.Acha kumsumbua waziri kwa umalaya wa mkeo ambaye anakuona bwege kiasi cha kutunga uongo wa kitoto kama huo.
Kama anatishia kujiua mchangie hela ya kununua kamba au sumu.Huyo malaya akishakufa itakuwa rahisi kwako kulea watoto kuliko akiwa hai.
 
Huyo mwanamke msamehe maisha yaendelee. Kumbuka alifanya hivo sababu ya umasikini wako. Kama isingekuwa umasikini huyo mke wako asingeenda Hizo ofisi za microfinance kuomba mkopo. Na ili aweze kupewa hela japo ni mkopo ilimlazimu ajilegeze ili kutatua changamoto yenu ya UJENZI nadhani jengo lilikaribia kuporomoka Kama asingewahi. Ni kweli inawezekana siku ya kwanza alilazimishwa na mkeo akakubali kishingo upande na hakupiga kelele sababu ya aibu za kiafrika. lakini baadae inaonekana alinogewa ko akawa anafanya kwa hiari yake ukizingatia wewe mme ulikuwa mbali. Kumbuka alikuwa analazimika kila mwezi kwenda kuchukua salio kwa huyo meneja. Ko mazingira hayo yalichangia kwa kiasi kikubwa.
 
So hii meditation inakuonyesha ubaya ukiwa ushatokea ila haukuonyeshi kabla ili uuzuie?

Na ukaamua kumlazimisha akubali ili nafsi yako iridhike kua meditation hua haikosei.

Mimi ninaona unahitaji msaada wa afya ya akili, geuza hiyo imani.
 
Nakushauri kausha tuu, abaki na hizo talaka 2, kupata mtu muaminifu siku hizi ngumu sana,

Mke wako anakupenda ndio maana anashiriki pamoja na wewe mambo ya kimaendeleo, na anajiweka dhamana kama hivyo usikwame
Afate huu ushauri mkuu,infact mwanmke anajililia kwake means anajutia alichokitenda,Kusamehe nikazi saa ila nikitu kitakachomlipa endapo akifaulu kumsamehe mkewe.nahuenda mkewe akaja kua bora zaidi na makini zaidi baada ya kusamehewa.
 
Fata ushauri huu pia kaka!!
 
Wewe husalliti?
 


ushauri uliopewa hapa JF ni vizuri ukampata MTU wa kukupa tiba ya uhakika.

maana watu wengi hawajaandika ili upone Ila wameandika kwa hisia zao.

Ikiwa bado hujapata insight nzuri tuwasiliane.

Ila jiepushe na huu ushauri

@ Fukuza

tatizo linapotokea Kama hilo linalohusisha maumivu ya kihisia huwa ni weak up call kukujulisha kuwa kuna kitu hakipo sawa na kinahitaji kurekebishwa.

Ikiwa utajikita kuwa survivor na sio victim , utafanya come back kubwa na familia yako kuwa stable kuliko hata mwanzo.

Sisi binadamu awe mwanamke awe mwanaume tupo katika kujifunza ili tuwe bora .

Kinachoweza kukufanya uone hilo ni tatizo kubwa ni kuwa upo emotionally driven na sio logically.

Natamani kuandika ili kukusaidia
 
Okay.
Je meditation haiwezi saidia ukapata solution?
Uko na brain nzuri sana Demi, and I like your thinking capacity ila fanya uwezavyo usimsaliti MUME, kwa mahusiano mengine sawa ila sio kwa MUME.
 
Uko na brain nzuri sana Demi, and I like your thinking capacity ila fanya uwezavyo usimsaliti MUME, kwa mahusiano mengine sawa ila sio kwa MUME.
Muoshwa huoshwa...malipo ni hapa hapa duniani🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…