Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Hapo sawa.
Huyo mkeo katuangusha sana wanawake..iweje akubali na kutoa maelezo wakati wewe huna ushahidi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sawa.
Huyo mkeo katuangusha sana wanawake..iweje akubali na kutoa maelezo wakati wewe huna ushahidi?
Mmh haya.😅Sasa si kabanwa ndio katoa siri
Microfinance zina camera, how possible room ya kutolea mkopo ikose cameraSio Bank ni hizi Microfinance
Usijali mkuu mitihani tumeumbiwa binadamuShukrani Mkuu napitia Maumivu makali sana
Ukisikia Power of Meditation nfio kama hivyo.Hapo sawa.
Huyo mkeo katuangusha sana wanawake..iweje akubali na kutoa maelezo wakati wewe huna ushahidi?
Mi sikubali ng'o. Hadi niwe na uhakika na ushahidi wakeUkisikia Power of Meditation nfio kama hivyo.
Haikuwa Rahisi Unajua mwanaume Ukitaka kumbana Msichana sio Kazi kubwa..Hapo sawa.
Huyo mkeo katuangusha sana wanawake..iweje akubali na kutoa maelezo wakati wewe huna ushahidi?
Haikuwa Rahisi Unajua mwanaume Ukitaka kumbana Msichana sio Kazi kubwa..Hapo sawa.
Huyo mkeo katuangusha sana wanawake..iweje akubali na kutoa maelezo wakati wewe huna ushahidi?
Shukrani mkuu mimi Moyo unakataa kabisa kuendelea naye Unless Tuendlee naye kwa ajili ya watoto ila sitaweza Kushiriki naye tendoAiseeh pole sana kama mimi mwanaume siwezi kuishi na mwanamke msaliti nadhani ndio utakuwa mwisho wetu anyway maamuzi jinsi ya kuhandle issue ya usaliti zinatofautiana kati ya mtu na mtu kuna wanaoweza kusamehe na maisha yakaendelea its up to your mwenyezi mungu akutie nguvu na hekima katika kipindi hiki ila kwa mimi big no utaumia sawa ila utakuwa sawa zaidi...
Okay.Haikuwa Rahisi Unajua mwanaume Ukitaka kumbana Msichana sio Kazi kubwa..
Nilijivika Confidence Kubwa sana ya Kumuaminisha nimeambiwa matukio Mengi sana kuhusu Yeye Na watu Wa hapo Mtaani na wao wameelezwa na walioyafanya..
Confidence niliouliza nayo Ndo iliyomshangaza Sikutaka kuuliza kama mtu anayetaka Uhakika Ila mtu mwenye Uhakika na analalamika kwa nini Amefanya hivyo..
Na unajua sisi wanaume huwa tunasoma Reaction zako Kipindi unajibu Maswali na Hapo ndo niligundua..
Ni hizi za Mitaani hapo Tabora Hazina CameraMicrofinance zina camera, how possible room ya kutolea mkopo ikose camera
Pole sana. Inaonekana ulikuwa unamwamini sana mke wako. Tuko wengi tuliopitia haya mambo. Sema wewe ulitakiwa usiwe na papara, unyate mpaka uwakamate. Ushauri wangu: Mwambie huyo mke wako aende polisi akatoe habari na anaseme kuwa alitishiwa maisha ndiyo maana akaogopa kufanya lolote. Bila shaka kwa Tanzania, itakuwa ngumu sana kuthibisha huo ubakaji, ila utakuwa angalau ''umemtingisha'' huyo mla mali za watu. Na kama ana mke, fanya mpango mke wake ajue. Ukienda polisi jiandae kuwa na fedha ya kuhonga na mbaya zaidi kama huyo jamaa ana fedha zaidi yako itakuwa kesi ngumu.Ok sawa Mimi Ni Mwanaume wa makamo!
Fuata ushauri huu,huu ndio ushauri mzuri.Na wala usilete kumbukumbu tena moyoni mwako.Mkuu, kwa afya ya maisha yako, MSAMEHE. Fanya juhudi za kuishi nae pamoja.
SAMEHE.
Nadhani mke wako alijirahisisha tu. Ni vigumu kweli kweli kwa mwanamke kubakwa. Amekuongopea baada ya kuona ''kimenuka''.Ni hizi za Mitaani hapo Tabora Hazina Camera