Nahitaji Vx V8 ya kukodi kwa safari za mikoani

Nahitaji Vx V8 ya kukodi kwa safari za mikoani

Njiwa wangu

Senior Member
Joined
Dec 5, 2020
Posts
146
Reaction score
289
Habari ya asubuhi wakuu,

Nina mgeni wangu week mbili zijazo anakuja kutembea naweza pata wapi Gari ya kukodisha kwa safari za mikoani. Gari itapita mikoa hii, Dar, Morogoro, Dodoma, Singida, Shinyanga, Mwanza, Mara wilaya ya Tarime, Geita, Kahama,Tabora, Katavi ten unarudi dar kumbuka kwanzia Singida Gari itakuwa inafika vijijini.

Gari inayohitajika landcruicer Prado new model au Landcruicer V8. Ikiwa na dereva sawa bila dereva sawa ila kama ipo na dereva kulala kula atajua mwenyewe.

Karibu nipe bei
 
Njoo inbox
waTz tujifunze kuwa transparent kwenye biashara zetu. jamaa ameweka tangazo lake hapa..wewe unamuita inbox. If you trust your business and capability to deliver anachokitaka, weka offer yako hapa. Akiwa interested ataomba akufuate inbox myajenge....
Otherwise, atakustukia kwamba huna nia njema au unafanya udalali...
 
waTz tujifunze kuwa transparent kwenye biashara zetu. jamaa ameweka tangazo lake hapa..wewe unamuita inbox. If you trust your business and capability to deliver anachokitaka, weka offer yako hapa. Akiwa interested ataomba akufuate inbox myajenge....
Otherwise, atakustukia kwamba huna nia njema au unafanya udalali...
🙌🙌🙌🙌
 
waTz tujifunze kuwa transparent kwenye biashara zetu. jamaa ameweka tangazo lake hapa..wewe unamuita inbox. If you trust your business and capability to deliver anachokitaka, weka offer yako hapa. Akiwa interested ataomba akufuate inbox myajenge....
Otherwise, atakustukia kwamba huna nia njema au unafanya udalali...

Niko nae inbox already and the deal is done: unaweza kuendeleza pia na wewe kumjibu hapa, akupe fully details unazozitaka
 
Usiwe defensive bro. Nimeongea kwa nia njema kukusaidia na hata kwa wengine. Take my contribution positively....

Baraka tele!
Your advice received positively, thanks

Lakin transparency unayoizungumzia hapa, pricing , picture of the car, contact which can't be put here, office location can’t be disclosed here and —- upande wa client utamuuliza nunber of pesaangers, route details and nunber of estimated days of stay, payment mode and the like:

With all those details , you can’t discuss here freely , that’s why we took it inbox
 
Back
Top Bottom