BabuMkubwa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 2,417
- 3,590
Hapo alitaka atafute gari ampe mmliki laki 3 yeye ale cha juu,,,,mjini shule rafikiMkuu hata Kama ni wewe mtu akwambie karibu ya laki 5 kasoro per day utaweza kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo alitaka atafute gari ampe mmliki laki 3 yeye ale cha juu,,,,mjini shule rafikiMkuu hata Kama ni wewe mtu akwambie karibu ya laki 5 kasoro per day utaweza kweli
Huu sasa udalali khaaah.Mkuu hata Kama ni wewe mtu akwambie karibu ya laki 5 kasoro per day utaweza kweli
Duuh hatari sana maana naambiwa dollars 200Hapo alitaka atafute gari ampe mmliki laki 3 yeye ale cha juu,,,,mjini shule rafiki
Hahahaha hatari sana nduguHuu sasa udalali khaaah.
Mkuu sio Kama siitaki ndugu yangu Ila mzunguko ni mrefu alafu Kuna maeneo road haiko vizuri sana kwa Gari fupiVipi mkuu IST hautaki?
Mkuu sema tu kigari uwezo wake ni mdogo😂😂😂Mkuu sio Kama siitaki ndugu yangu Ila mzunguko ni mrefu alafu Kuna maeneo road haiko vizuri sana kwa Gari fupi
😂😂😂😂 Unajua mkuu hekima ni nzuri so lazima utumie hekima kujibu mkuuMkuu sema tu kigari uwezo wake ni mdogo😂😂😂
Umenichekesha sana kumbe ulinitega uone najibu vipi??😂😂😂Mkuu sema tu kigari uwezo wake ni mdogo😂😂😂
Inbox kufanya nini sasa? ilihali mtu amesemea hapa hadharaniNjoo inbox
Mkuu.Mkuu sio Kama siitaki ndugu yangu Ila mzunguko ni mrefu alafu Kuna maeneo road haiko vizuri sana kwa Gari fupi
Ahsante mkuu umeongea kiume,na hivi ndivyo inavyotakiwa.Mkuu.
Habari.
Nimesoma na kuelewa vizuri chapisho lako.
Kiufupi,ninashughulika na udalali na uuzaji wa magari,pia ikitokea kukodisha nakodisha pia.
Magari ambayo ninayo kwa upande wangu ambayo naweza kukukodishia kama utaridhia ni NISSAN X TRAIL,WISH AU RAUM.
Sina gari la chaguo lako ila kama kuitafuta ninaweza kukutafutia.
Binafsi sina kampuni ya kukodisha magari,hivyo kama inatokea tunakubaliana ni lazima nikupeleke huko uendako,kama ulivyosema,gharama zangu binafsi ni juu yangu maana ni biashara.
KARIBU
Kwa gari uitakayo,fika kwenye makampuni ya kukodisha magari,yapo mengi mno mkuu..Mkuu.
Habari.
Nimesoma na kuelewa vizuri chapisho lako.
Kiufupi,ninashughulika na udalali na uuzaji wa magari,pia ikitokea kukodisha nakodisha pia.
Magari ambayo ninayo kwa upande wangu ambayo naweza kukukodishia kama utaridhia ni NISSAN X TRAIL,WISH AU RAUM.
Sina gari la chaguo lako ila kama kuitafuta ninaweza kukutafutia.
Binafsi sina kampuni ya kukodisha magari,hivyo kama inatokea tunakubaliana ni lazima nikupeleke huko uendako,kama ulivyosema,gharama zangu binafsi ni juu yangu maana ni biashara.
KARIBU
Kwa mfano hiyo Xtrail ni new model au old na je hiyo utaratibu wake ikoje wa kukodishaMkuu.
Habari.
Nimesoma na kuelewa vizuri chapisho lako.
Kiufupi,ninashughulika na udalali na uuzaji wa magari,pia ikitokea kukodisha nakodisha pia.
Magari ambayo ninayo kwa upande wangu ambayo naweza kukukodishia kama utaridhia ni NISSAN X TRAIL,WISH AU RAUM.
Sina gari la chaguo lako ila kama kuitafuta ninaweza kukutafutia.
Binafsi sina kampuni ya kukodisha magari,hivyo kama inatokea tunakubaliana ni lazima nikupeleke huko uendako,kama ulivyosema,gharama zangu binafsi ni juu yangu maana ni biashara.
KARIBU
Shukrani mkuu,nitakujulisha kama nitapata gari la hitaji lako.Ahsante mkuu umeongea kiume,na hivi ndivyo inavyotakiwa.
Angalia kwanza aina zile za Gari nilizoweka hapo, swala la kwenda na wewe haina shida Kama wewe ni dereva Ila sio tena uwe na dereva mwingine na wewe tena uwepo
hahahahhaha akija kujibu nitagiKumbe we fala kapuku tu. Huna gari wala nini. Eti 'deal is done' my ass!!!
Mbona mshikaji anasema bado hajapata
Old model mkuu.Kwa mfano hiyo Xtrail ni new model au old na je hiyo utaratibu wake ikoje wa kukodisha
15 days haizidi labda ipungueOld model mkuu.
Utaratibu upo unategemea na......
(i)Umbali wa safari. (Umeshauelezea)
(ii)Muda utakaotumika...
Hapa kwenye muda ndio sehemu inayochukua uzito sana wa safari,pia ni sehemu inayoweka bargaining zaidi maana unapokodisha gari kama ni mizunguko itachukua muda mrefu zaidi basi mnaweza mkaweka discount kubwa zaidi.
Je,unafikiri mizunguko yote hiyo utaimaliza kwa muda gani?
Ahsante mkuu , napiga simu inaita tuuHawa jamaa naona wana office zao opposite na shoppers plaza msasani kisiwani.