Prodigy Oligarchy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2020
- 571
- 653
Ngoja tuone...Mwendazake njoo aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tuone...Mwendazake njoo aisee
mkuu ninapokwambia ninamjua ninamaanisha , hadi kitanda alicholalia na rangi za shuka nazijua na chumba kilikua cha nani najua , mwenyeji wake wakati wa matukio hayo ya kihalifu ninamjua na namba zake za simu zote ninazo za huyo ndugu yake. Haaa haa nasubiri aje abishe nimtajie stori yote , hadi ya kukamatwa kule singida . Na mimi ndio nilimchoma huyo ndugu yake tukamteka akatupeleka Singida alikoweka gari bondiMhusika wa hii thread tuhuma hizi nineanza kuziamini mana sidhani kweli kama ulikua na nia ya dhati ya kukodisha gari au ulikua na lako lengo kihalifu, mana kama watanzania tunasaidiana pale inapobidi nilikuomba namba nikutumie picha za gari unazotaka tena za jamaa wote wako dar wanakodisha, hujajibu,nikaamua kuacha, tena gari tamu balaa nyingine ni mpya, na mtu akishaanza kuonesha sign hio najua either ni mbabaishaji au tapeli au mhalifu.
Duuuuh ngoma nzito hii lolmkuu ninapokwambia ninamjua ninamaanisha , hadi kitanda alicholalia na rangi za shuka nazijua na chumba kilikua cha nani najua , mwenyeji wake wakati wa matukio hayo ya kihalifu ninamjua na namba zake za simu zote ninazo za huyo ndugu yake. Haaa haa nasubiri aje abishe nimtajie stori yote , hadi ya kukamatwa kule singida . Na mimi ndio nilimchoma huyo ndugu yake tukamteka akatupeleka Singida alikoweka gari bondi
Aisee duhmkuu ninapokwambia ninamjua ninamaanisha , hadi kitanda alicholalia na rangi za shuka nazijua na chumba kilikua cha nani najua , mwenyeji wake wakati wa matukio hayo ya kihalifu ninamjua na namba zake za simu zote ninazo za huyo ndugu yake. Haaa haa nasubiri aje abishe nimtajie stori yote , hadi ya kukamatwa kule singida . Na mimi ndio nilimchoma huyo ndugu yake tukamteka akatupeleka Singida alikoweka gari bondi