RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Mkuu gari lako unakosea jina? WildtrakWild track . Mpya kabisaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu gari lako unakosea jina? WildtrakWild track . Mpya kabisaa
Ndio. Ina bord nyumaPick up et?
Sidhani kama kukosea jina ni big deal kihivyoooMkuu gari lako unakosea jina? Wildtrak
Big deal kwetu wapenzi watazamaji 😂😂Sidhani kama kukosea jina ni big deal kihivyooo
Ahsante hata wewe karibu unikodishie mkuu unaenifahamu Mimi😂😂😂Huyu jamaa anayetafuta hiyo gari namjua vizuri sana , atakae mkodisha awe MAKINI SANA .nimeandika kwa herufi kubwa kwa kumaanisha
Tena uje uendeshe mwenyeweHuyu jamaa anayetafuta hiyo gari namjua vizuri sana , atakae mkodisha awe MAKINI SANA .nimeandika kwa herufi kubwa kwa kumaanisha
Dah! Kumbe mnajuana vema! Unamaanisha jamaa mwizi mwizi au? Tueleweshe vema vinginevyo isijekuwa ni kuharibiana mipango.Huyu jamaa anayetafuta hiyo gari namjua vizuri sana , atakae mkodisha awe MAKINI SANA .nimeandika kwa herufi kubwa kwa kumaanisha
Tunaomba ufunguke zaidi kama ni mwizi tujue, na ufunguke hapa plz maana me nimeshaenda kuchart nae PM nimemtumia na picha ya gari sasa umeshanitisha. Ila isije tu ikawa unamsingiziaHuyu jamaa anayetafuta hiyo gari namjua vizuri sana , atakae mkodisha awe MAKINI SANA .nimeandika kwa herufi kubwa kwa kumaanisha
Afunguke tu hapa hapa Kama ananijua kweliTunaomba ufunguke zaidi kama ni mwizi tujue, na ufunguke hapa plz maana me nimeshaenda kuchart nae PM nimemtumia na picha ya gari sasa umeshanitisha. Ila isije tu ikawa unamsingizia
Madalali wanashida sana.Mkuu hata Kama ni wewe mtu akwambie karibu ya laki 5 kasoro per day utaweza kweli
Hivi hiyo ruti aliyokwambia mleta uzi, uifanye kwa kutumia IST kweli?!Vipi mkuu IST hautaki?
Kama ni lami inakwendaHivi hiyo ruti aliyokwambia mleta uzi, uifanye kwa kutumia IST kweli?!
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
HahahahaaaKwa gari uitakayo,fika kwenye makampuni ya kukodisha magari,yapo mengi mno mkuu..
Kwa mawazo yangu ninavyofikiri,hapa wengi utakutana na sisi kama madalali,au wachache sana tutakupa vigali vyetu kama hivyo nilivyokutajia,kama kuna anayemiliki hizo uzitakazo maana yake wengi wao wapo vizuri kiuchumi hivyo matangazo kama haya hata kuyasoma wala hawayasomi, wenyewe wanasoma zile tu "UCHUMI WA TANZANIA KUKUA KWA MIONGO MIWILI MFULULIZO,SEKTA YA UWEKEZAJI KUPIGA HATUA MARA DUFU,BEI YA PEMBEJEO ZA KILIMO KWA MWAKA UJAO KUSHUKA,n.k"
Poleni , nilikua bize toka asubuhi . Naomba saa nne aje hapa nimkumbushe kesi mbili alizowapeleka jamaa zangu polisi , ya kwanza ni Verrosa na kesi ya pili ni ya harrier new model aliyoenda kuiweka bond singida . Zote alizikodi pale karibia na General tyre ya best bite pale . Akibisha nitaweka mpaka majina halisi ya wadai wake hapa na contact zao .Tunaomba ufunguke zaidi kama ni mwizi tujue, na ufunguke hapa plz maana me nimeshaenda kuchart nae PM nimemtumia na picha ya gari sasa umeshanitisha. Ila isije tu ikawa unamsingizia
Tena nakujua vizuri kaka, unakumbuka ulichomfanyia ndugu yangu Verrosa yake !?? Uliipiga bonge la ajali na deni juu anakudai . Unakumbuka mkataba tuliouandika siku ile baada ya ajali pale korogwe kimara?? Zile footage na maandishi ninayo yote. Unataka nilimwage na ile harrier uliokimbia nayo na kuiweka bond Singida. Acha hizo nisije kulimwaga lote hapa kakaAfunguke tu hapa hapa Kama ananijua kweli
Mungu wangu. Naachana nae. Ahsante kwa kutufumbua. Mungu akubarikiPoleni , nilikua bize toka asubuhi . Naomba saa nne aje hapa nimkumbushe kesi mbili alizowapeleka jamaa zangu polisi , ya kwanza ni Verrosa na kesi ya pili ni ya harrier new model aliyoenda kuiweka bond singida . Zote alizikodi pale karibia na General tyre ya best bite pale . Akibisha nitaweka mpaka majina halisi ya wadai wake hapa na contact zao .
akibisha hapa nitakupa hata namba za watu aliowapiga , namsubiri kwa hamu sana tena nina hasira nae sana huyu jamaa. Na katika hizo mikataba alikua anamtumia ndugu yake fulani wa huko singida kwao kama bondi , huyo ndg yake alikua mwalimu shule moja hapo mbezi anaitwa Y.... niendelee au nimkaushie???. Labda awe kaacha ukanjanja wakeMungu wangu. Naachana nae. Ahsante kwa kutufumbua. Mungu akubariki