Nahitaji Vx V8 ya kukodi kwa safari za mikoani

Nahitaji Vx V8 ya kukodi kwa safari za mikoani

Huyu jamaa anayetafuta hiyo gari namjua vizuri sana , atakae mkodisha awe MAKINI SANA .nimeandika kwa herufi kubwa kwa kumaanisha
 
Huyu jamaa anayetafuta hiyo gari namjua vizuri sana , atakae mkodisha awe MAKINI SANA .nimeandika kwa herufi kubwa kwa kumaanisha
Ahsante hata wewe karibu unikodishie mkuu unaenifahamu Mimi😂😂😂
 
Huyu jamaa anayetafuta hiyo gari namjua vizuri sana , atakae mkodisha awe MAKINI SANA .nimeandika kwa herufi kubwa kwa kumaanisha
Tunaomba ufunguke zaidi kama ni mwizi tujue, na ufunguke hapa plz maana me nimeshaenda kuchart nae PM nimemtumia na picha ya gari sasa umeshanitisha. Ila isije tu ikawa unamsingizia
 
Kwa gari uitakayo,fika kwenye makampuni ya kukodisha magari,yapo mengi mno mkuu..
Kwa mawazo yangu ninavyofikiri,hapa wengi utakutana na sisi kama madalali,au wachache sana tutakupa vigali vyetu kama hivyo nilivyokutajia,kama kuna anayemiliki hizo uzitakazo maana yake wengi wao wapo vizuri kiuchumi hivyo matangazo kama haya hata kuyasoma wala hawayasomi, wenyewe wanasoma zile tu "UCHUMI WA TANZANIA KUKUA KWA MIONGO MIWILI MFULULIZO,SEKTA YA UWEKEZAJI KUPIGA HATUA MARA DUFU,BEI YA PEMBEJEO ZA KILIMO KWA MWAKA UJAO KUSHUKA,n.k"
Hahahahaaa
 
Tunaomba ufunguke zaidi kama ni mwizi tujue, na ufunguke hapa plz maana me nimeshaenda kuchart nae PM nimemtumia na picha ya gari sasa umeshanitisha. Ila isije tu ikawa unamsingizia
Poleni , nilikua bize toka asubuhi . Naomba saa nne aje hapa nimkumbushe kesi mbili alizowapeleka jamaa zangu polisi , ya kwanza ni Verrosa na kesi ya pili ni ya harrier new model aliyoenda kuiweka bond singida . Zote alizikodi pale karibia na General tyre ya best bite pale . Akibisha nitaweka mpaka majina halisi ya wadai wake hapa na contact zao .
 
Afunguke tu hapa hapa Kama ananijua kweli
Tena nakujua vizuri kaka, unakumbuka ulichomfanyia ndugu yangu Verrosa yake !?? Uliipiga bonge la ajali na deni juu anakudai . Unakumbuka mkataba tuliouandika siku ile baada ya ajali pale korogwe kimara?? Zile footage na maandishi ninayo yote. Unataka nilimwage na ile harrier uliokimbia nayo na kuiweka bond Singida. Acha hizo nisije kulimwaga lote hapa kaka
 
Poleni , nilikua bize toka asubuhi . Naomba saa nne aje hapa nimkumbushe kesi mbili alizowapeleka jamaa zangu polisi , ya kwanza ni Verrosa na kesi ya pili ni ya harrier new model aliyoenda kuiweka bond singida . Zote alizikodi pale karibia na General tyre ya best bite pale . Akibisha nitaweka mpaka majina halisi ya wadai wake hapa na contact zao .
Mungu wangu. Naachana nae. Ahsante kwa kutufumbua. Mungu akubariki
 
Mungu wangu. Naachana nae. Ahsante kwa kutufumbua. Mungu akubariki
akibisha hapa nitakupa hata namba za watu aliowapiga , namsubiri kwa hamu sana tena nina hasira nae sana huyu jamaa. Na katika hizo mikataba alikua anamtumia ndugu yake fulani wa huko singida kwao kama bondi , huyo ndg yake alikua mwalimu shule moja hapo mbezi anaitwa Y.... niendelee au nimkaushie???. Labda awe kaacha ukanjanja wake
 
Back
Top Bottom