y-n
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,389
- 2,510
Sawa mkuu.15 days haizidi labda ipungue
Ngoja niiangalie tena hii route yako nakurudia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu.15 days haizidi labda ipungue
PoaSawa mkuu.
Ngoja niiangalie tena hii route yako nakurudia
Kama upo dsm nenda pale shoppers plaza angalia opposite utaona pharmacy mbili, jengo linalofuata limeandikwa xcars hutapotea mkuu.Ahsante mkuu , napiga simu inaita tuu
Nipo mkoani Kati mkuu ndio shida nataka japo niwasiliane nao kwanza nikishaelewana ndio naenda ofsiniKama upo dsm nenda pale shoppers plaza angalia opposite utaona pharmacy mbili, jengo linalofuata limeandikwa xcars hutapotea mkuu.
Mgeni wangu unashukia dar na ataondokea dar so Bora ndio maana natafuta Gari ya darMkoa uliopo hamna kampun za kukodisha magari? Umezunguka na kutafuta kote hamna hapo mkoa wako? And by the way ungeweka jina la mkoa uliopo inakua rahisi waliopo hapo wakusaidie, jamii forums ni mtandao mkubwa una watu kila mkoa
Hawa vijana wetu taabu sana. Alivyonijibu hapo juu imebidi nikae kimya..ila it was already a red flag!
Nimetaja kulingana na condition za mgeni wangu hataki shidaKuna gari nyingi sana zenye uwezo wa V8 na zinaweza kukufikisha hiyo route yako comfortably. Tatizo umeweka options mbili tu
Sawa mkuu karibu sanaOk nikipata nitakupa info hapa hapa !
Kwa ninavyofahamu, kampuni nyingi zinachaji kwa kilometa gari itakazotembea. Nadhani kunakuwa na down payment, then kama itapungua ama itazidi mnaliweka sawa gari ikimaliza mizunguko.Mkuu hata Kama ni wewe mtu akwambie karibu ya laki 5 kasoro per day utaweza kweli
OkKwa ninavyofahamu, kampuni nyingi zinachaji kwa kilometa gari itakazotembea. Nadhani kunakuwa na down payment, then kama itapungua ama itazidi mnaliweka sawa gari ikimaliza mizunguko.
JF imeharibika. Kuna watu wana tabia za ajabu ajabu. Biashara haiwezi kuanikwa hapa, hapa jukwaani kuna porojo,vijembe na kashfa. Biashara zinafanyika PM.waTz tujifunze kuwa transparent kwenye biashara zetu. jamaa ameweka tangazo lake hapa..wewe unamuita inbox. If you trust your business and capability to deliver anachokitaka, weka offer yako hapa. Akiwa interested ataomba akufuate inbox myajenge....
Otherwise, atakustukia kwamba huna nia njema au unafanya udalali...
Tatizo ndio Hilo mkuuUngekua mkoan ningekupa langu kwa gharama za chini ila sio V8 wala prado
Ndugu kama unataka kukodi gari jipange. Kwenye kampuni ndio usisogee kabisa. Prado za kawaida sana si chini ya $100 na ukija kwenye hizo V8 sio chini ya $150 per day. Na unapewa km 100 kwa siku kila km inayozidi hizo 100 unalipia $ kadhaa. Kuna bei ya gari na dereva na bei ya gari peke yake.Mkuu hata Kama ni wewe mtu akwambie karibu ya laki 5 kasoro per day utaweza kweli
Swala la fedha sio shida shida kubwa ni janja janja sana ndio zinakuepoNdugu kama unataka kukodi gari jipange. Kwenye kampuni ndio usisogee kabisa. Prado za kawaida sana si chini ya $100 na ukija kwenye hizo V8 sio chini ya $150 per day. Na unapewa km 100 kwa siku kila km inayozidi hizo 100 unalipia $ kadhaa. Kuna bei ya gari na dereva na bei ya gari peke yake.
Wasiliana na makampuni ya kukodisha. Zipo gari nyingi sana. Wacheki Travel partnersSwala la fedha sio shida shida kubwa ni janja janja sana ndio zinakuepo
Shida ya wabongo mkuu nimetembelea website nyingi sana ila unapiga simu hujibiwi hataWasiliana na makampuni ya kukodisha. Zipo gari nyingi sana. Wacheki Travel partners
Kwenye simu napo tuna matatizo.Shida ya wabongo mkuu nimetembelea website nyingi sana ila unapiga simu hujibiwi hata
[emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe we fala kapuku tu. Huna gari wala nini. Eti 'deal is done' my ass!!!
Mbona mshikaji anasema bado hajapata