RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
wacheki Team Cruiser facebook na insta.Shida ya wabongo mkuu nimetembelea website nyingi sana ila unapiga simu hujibiwi hata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wacheki Team Cruiser facebook na insta.Shida ya wabongo mkuu nimetembelea website nyingi sana ila unapiga simu hujibiwi hata
Yaani hata WhatsApp naenda lakini hakuna kitu biashara ya watz ni ngumu mnoKwenye simu napo tuna matatizo.
Okwacheki Team Cruiser facebook na insta.
Kuna gari nyingi sana zenye uwezo wa V8 na zinaweza kukufikisha hiyo route yako comfortably. Tatizo umeweka options mbili tu
JF imeharibika. Kuna watu wana tabia za ajabu ajabu. Biashara haiwezi kuanikwa hapa, hapa jukwaani kuna porojo,vijembe na kashfa. Biashara zinafanyika PM.
Mkuu asilimia kubwa ya biashara zinazotangazwa humu, wanunuaji wakuu hawajibu comment hapa jukwaani wanaenda PM direct,sababu iko wazi. Hapa jukwaani ni porojo tu. Kwahio nikiona mtu anasema njoo PM huwa namuelewa kabisa hayo mengine ni matokeo ambayo hata wanaojitokeza jukwaani wanayafanya.Kaka uko sahihi. Lakini ukiweka tangazo lako mtu akakuita inbox faster..unastuka! Inabidi atleast uanze kwa conversation..ukiona mtu yuko serious ndo unaomba mkutane inbox. Ila in this case, mshkaji ameweka inbox as a precondition. And guess what? Nikamwambia wewe utakuwa dalali na msaada wako utakuwa mdogo kwa jinsi ulivyo approach hili swala. It turned out, I was right....
Precondition ya biashara..you have to project confidence kwa wateja wako. Wakuamini. Na skills kama hizi hazihitaji cheti cha biashara.
Unfortunately, WaTZ wengi hili linatushinda.
Ford ranger la aina gani mkuuHabari mkuu, nimeona bandiko lako, je hauhitaji FORD RANGER ??? Tatizo izo gari mimi sina. Ila nina FORD RANGER ya rangi ya gold
Njoo pmKama hujapata nichek, nikupe namba ya kampuni inaitwa smiles car ipo pale posta, wana kila aina ya gari, nakupa no ya operation manager
Mkuu asilimia kubwa ya biashara zinazotangazwa humu, wanunuaji wakuu hawajibu comment hapa jukwaani wanaenda PM direct,sababu iko wazi. Hapa jukwaani ni porojo tu. Kwahio nikiona mtu anasema njoo PM huwa namuelewa kabisa hayo mengine ni matokeo ambayo hata wanaojitokeza jukwaani wanayafanya.
Nilichokiona hapa mleta mada kashindwa bei, nimemsoma anasema laki tano kasoro. Kwa watu ambao tumepitia hizi mishe za car rental kwahio gari anayoitaka hio bei laki tano kasoro ni ya kawaida kabisa.
Wild track . Mpya kabisaaFord ranger la aina gani mkuu
Watafute hawa jamaa Xpress Rent A Car | Self Drive Car Rental in Dar es Salaam | Tanzania HireHabari ya asubuhi wakuu,
Nina mgeni wangu week mbili zijazo anakuja kutembea naweza pata wapi Gari ya kukodisha kwa safari za mikoani. Gari itapita mikoa hii, Dar, Morogoro, Dodoma, Singida, Shinyanga, Mwanza, Mara wilaya ya Tarime, Geita, Kahama,Tabora, Katavi ten unarudi dar kumbuka kwanzia Singida Gari itakuwa inafika vijijini.
Gari inayohitajika landcruicer Prado new model au Landcruicer V8. Ikiwa na dereva sawa bila dereva sawa ila kama ipo na dereva kulala kula atajua mwenyewe.
Karibu nipe bei
Nichek kwa 071345537Njoo pm
Gari nzuri sana,namshauri aichukue hiiHabari mkuu, nimeona bandiko lako, je hauhitaji FORD RANGER ??? Tatizo izo gari mimi sina. Ila nina FORD RANGER ya rangi ya gold
Pick up et?Wild track . Mpya kabisaa
Ahsante sana mkuuWatafute hawa jamaa Xpress Rent A Car | Self Drive Car Rental in Dar es Salaam | Tanzania Hire
Wana gari nzuri na customer care iko poa sana, ukipata shida msaada wa haraka sana utapata.
Karibu pm mkuu Kama upo seriousWild track . Mpya kabisaa