funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,624
- 21,362
Sio hataki shida hajui magariNimetaja kulingana na condition za mgeni wangu hataki shida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio hataki shida hajui magariNimetaja kulingana na condition za mgeni wangu hataki shida
Dah! Hatari sana.akibisha hapa nitakupa hata namba za watu aliowapiga , namsubiri kwa hamu sana tena nina hasira nae sana huyu jamaa. Na katika hizo mikataba alikua anamtumia ndugu yake fulani wa huko singida kwao kama bondi , huyo ndg yake alikua mwalimu shule moja hapo mbezi anaitwa Y.... niendelee au nimkaushie???. Labda awe kaacha ukanjanja wake
RRONDO JF kweli ni bahari! Duh.....Poleni , nilikua bize toka asubuhi . Naomba saa nne aje hapa nimkumbushe kesi mbili alizowapeleka jamaa zangu polisi , ya kwanza ni Verrosa na kesi ya pili ni ya harrier new model aliyoenda kuiweka bond singida . Zote alizikodi pale karibia na General tyre ya best bite pale . Akibisha nitaweka mpaka majina halisi ya wadai wake hapa na contact zao .
Kumekucha...kumekuchaaa!!Naona jamaa kawa mpole ghafla shenzi taipu
[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha hatari sana ndugu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaaahMungu wangu. Naachana nae. Ahsante kwa kutufumbua. Mungu akubariki
Duuuuh noma sana lol.akibisha hapa nitakupa hata namba za watu aliowapiga , namsubiri kwa hamu sana tena nina hasira nae sana huyu jamaa. Na katika hizo mikataba alikua anamtumia ndugu yake fulani wa huko singida kwao kama bondi , huyo ndg yake alikua mwalimu shule moja hapo mbezi anaitwa Y.... niendelee au nimkaushie???. Labda awe kaacha ukanjanja wake
KumekuchaaahPoleni , nilikua bize toka asubuhi . Naomba saa nne aje hapa nimkumbushe kesi mbili alizowapeleka jamaa zangu polisi , ya kwanza ni Verrosa na kesi ya pili ni ya harrier new model aliyoenda kuiweka bond singida . Zote alizikodi pale karibia na General tyre ya best bite pale . Akibisha nitaweka mpaka majina halisi ya wadai wake hapa na contact zao .
Kimeumana [emoji23][emoji23][emoji23]Tena nakujua vizuri kaka, unakumbuka ulichomfanyia ndugu yangu Verrosa yake !?? Uliipiga bonge la ajali na deni juu anakudai . Unakumbuka mkataba tuliouandika siku ile baada ya ajali pale korogwe kimara?? Zile footage na maandishi ninayo yote. Unataka nilimwage na ile harrier uliokimbia nayo na kuiweka bond Singida. Acha hizo nisije kulimwaga lote hapa kaka
Ndio anazotaka kaka....Kuna gari nyingi sana zenye uwezo wa V8 na zinaweza kukufikisha hiyo route yako comfortably. Tatizo umeweka options mbili tu
Atakuwa msanii huyu....Umeshapata gari? Oops nilitaka kusema uonane na Chakubanga mavieetee. [emoji1493][emoji1493][emoji1493]
Kumbe we fala kapuku tu. Huna gari wala nini. Eti 'deal is done' my ass!!!
Mbona mshikaji anasema bado hajapata