Njiwa wangu
Senior Member
- Dec 5, 2020
- 146
- 289
waTz tujifunze kuwa transparent kwenye biashara zetu. jamaa ameweka tangazo lake hapa..wewe unamuita inbox. If you trust your business and capability to deliver anachokitaka, weka offer yako hapa. Akiwa interested ataomba akufuate inbox myajenge....Njoo inbox
🙌🙌🙌🙌waTz tujifunze kuwa transparent kwenye biashara zetu. jamaa ameweka tangazo lake hapa..wewe unamuita inbox. If you trust your business and capability to deliver anachokitaka, weka offer yako hapa. Akiwa interested ataomba akufuate inbox myajenge....
Otherwise, atakustukia kwamba huna nia njema au unafanya udalali...
waTz tujifunze kuwa transparent kwenye biashara zetu. jamaa ameweka tangazo lake hapa..wewe unamuita inbox. If you trust your business and capability to deliver anachokitaka, weka offer yako hapa. Akiwa interested ataomba akufuate inbox myajenge....
Otherwise, atakustukia kwamba huna nia njema au unafanya udalali...
Usiwe defensive bro. Nimeongea kwa nia njema kukusaidia na hata kwa wengine. Take my contribution positively....Niko nae inbox already and the deal is done: unaweza kuendeleza pia na wewe kumjibu hapa, akupe fully details unazozitaka
Your advice received positively, thanksUsiwe defensive bro. Nimeongea kwa nia njema kukusaidia na hata kwa wengine. Take my contribution positively....
Baraka tele!
Kumbe we fala kapuku tu.Niko nae inbox already and the deal is done: unaweza kuendeleza pia na wewe kumjibu hapa, akupe fully details unazozitaka
Looh karibu mkuu kumbe unamjua??Kumbe we fala kapuku tu. Huna gari wala nini. Eti 'deal is done' my ass!!!
Mbona mshikaji anasema bado hajapata
Hawa vijana wetu taabu sana. Alivyonijibu hapo juu imebidi nikae kimya..ila it was already a red flag!Kumbe we fala kapuku tu. Huna gari wala nini. Eti 'deal is done' my ass!!!
Mbona mshikaji anasema bado hajapata
Ahsante mkuu hawana website mkuu maana nipo job mkoani kidogoWasiliana na jamaa wa Car Rental pale Biafra watakupa gari unayotaka, ukiwa dereva wewe ni bei pungufu kuliko ukiwa na dereva wao, wacheki Biafra pale karibu kabisa na uwanja wa minada.
Karibuni tena
Mkuu hata Kama ni wewe mtu akwambie karibu ya laki 5 kasoro per day utaweza kweliDeal done limekufa tena[emoji28][emoji28][emoji28] mjin patamu
Sawa mkuu nilitaka japo nifanye mawasiliano ya mwanzo ili baadae tukishakubaliana bei ndio naendaMnh, sidhani mkuu, maana lazima uwepo pale kuna documents za kukabidhiana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe we fala kapuku tu. Huna gari wala nini. Eti 'deal is done' my ass!!!
Mbona mshikaji anasema bado hajapata