Nahitaji wawekezaji kwa wazo langu

Nahitaji wawekezaji kwa wazo langu

Ulisomea wapi hayo masuala ya kuunda fm transmitter maana najua kwa Sheria zetu ukidakwa basi jela ile pale wewe uliwezaje miezi 4 unaruka hewani bila kudakwa?

Kuna jamaa aliruka maeneo ya 'Mabibo' km sijakumbuka vizuri nikosoe alidakwa ndio ukawa mwisho wake mpaka leo, ingawa yeye alikua anaenda mbali zaidi kuna kitu alikua anakifanya na kuna interview moja alielezea kila kitu tofauti kabisa na jinsi wewe ulivyoelezea

Maana hata TANESCO wakigundua unatengeneza umeme kwa kutumia biogas ya mavi ni kesi ingawa ni teknolojia ambayo inawezekana

Kingine hio online radio ndio zile zinazotolewa online free? Hio TV online live session unazungumzia YouTube live na Facebook live? Kuna maelezo mengi mengi mengi umeyaficha ni ngumu kumshawishi muwekezaji
 
That's great, ila kwa ushauri ni bora ungetengeneza brand kwanza. Jikuze ujulikane tumia social media kukuza jina, then baadae tafta watunwenye content zao then shirikiana nao, unawapa percent flan na wewe unachukua za kubroadcast... hakuna mwekezaji anayewekeza kwenye kitu kisocho na brand au audience.
 
Ulisomea wapi hayo masuala ya kuunda fm transmitter maana najua kwa Sheria zetu ukidakwa basi jela ile pale wewe uliwezaje miezi 4 unaruka hewani bila kudakwa?

Maana hata TANESCO wakigundua unatengeneza umeme kwa kutumia biogas ya mavi ni kesi ingawa ni teknolojia ambayo inawezekana

Kingine hio online radio ndio zile zinazotolewa online free? Hio TV online live session unazungumzia YouTube live na Facebook live? Kuna maelezo mengi mengi mengi umeyaficha ni ngumu kumshawishi muwekezaji
Muwekezaji tutaongea zaidi. Online tv siyo ya YouTube wala Facebook. Unalipia kwa yule host monthly. Contents ni live kama tv tulizozoea za kwenye visimbuzi.

Kuhusu kurusha matangazo ilikuwa easy maana kwetu ni kijijini na pia nilishirikisha serikali ya mitaa, pamoja na diwani.
 
Japo najua online radio ama Tv huwa ni kazi sana.. Ila hongera kwa wazo kubwa. Ninaamini watu sahihi wataliona

Japo wajanja wa mjini huwa wanapenda kuweka vitu kama hivi kwenye niche flani mfano utaskia radio ya vijana. Kwa sababu lengo huwa ni kupata pesa za wahisani

So mkuu kuwa open zaidi kujifunza watu wanatengenezaje pesa

All the best
 
Japo najua online radio ama Tv huwa ni kazi sana.. Ila hongera kwa wazo kubwa. Ninaamini watu sahihi wataliona

Japo wajanja wa mjini huwa wanapenda kuweka vitu kama hivi kwenye niche flani mfano utaskia radio ya vijana. Kwa sababu lengo huwa ni kupata pesa za wahisani

So mkuu kuwa open zaidi kujifunza watu wanatengenezaje pesa

All the best
Shukrani sana mkuu, najua una mawazo mengi zaidi juu ya mbinu fulani za kujipata. Karibu hata private kaka.
 
Muwekezaji tutaongea zaidi. Online tv siyo ya YouTube wala Facebook. Unalipia kwa yule host monthly. Contents ni live kama tv tulizozoea za kwenye visimbuzi.

Kuhusu kurusha matangazo ilikuwa easy maana kwetu ni kijijini na pia nilishirikisha serikali ya mitaa, pamoja na diwani.
Kwanini hapo kwenye online radio na TV unaficha white au unaona utaachwa mikono mitupu na wazo lako? Hapo kwenye kutengeneza fm transmitter hujanipa jibu la kunishawishi nimekuuliza ulisomea wapi pia umeruka swali?

Next
 
Japo najua online radio ama Tv huwa ni kazi sana.. Ila hongera kwa wazo kubwa. Ninaamini watu sahihi wataliona

Japo wajanja wa mjini huwa wanapenda kuweka vitu kama hivi kwenye niche flani mfano utaskia radio ya vijana. Kwa sababu lengo huwa ni kupata pesa za wahisani

So mkuu kuwa open zaidi kujifunza watu wanatengenezaje pesa

All the best
I think huyu ni mtu wa 3 namuona na hii project humu humu JF, wale wengine waliishia wapi?
 
I think huyu ni mtu wa 3 namuona na hii project humu humu JF, wale wengine waliishia wapi?
Sio rahisi mkuu

Usione watu wanasema tu "soko la mtandao au uchumi wa kidijitali". Watu huchukulia rahisi

Ila katika vitu nimekuja kujua, kuwa na wazo ama ujuzi ni jambo moja, kuwa na bidhaa iliyokamilika ni jambo lingine

Ila kubwa zaidi ni monetization yani kutengeneza pesa kwenye kitu ulichokitengeneza. Hilo ndio anguko la wengi

Sasa tatizo kwa Bongo, utakuta designer anatengeneza kitu bila kufanya through research ya soko. Mwisho wa siku anatengeneza kitu ambacho anaanza kutafuta mteja badala ya kutengeneza bidhaa ambayo potential mteja yupo akilini

So usishangae nyingi kufa. Jua Tu sio rahisi
 
Kwanini hapo kwenye online radio na TV unaficha white au unaona utaachwa mikono mitupu na wazo lako? Hapo kwenye kutengeneza fm transmitter hujanipa jibu la kunishawishi nimekuuliza ulisomea wapi pia umeruka swali?

Next
Hii ni hobby tu ninayo ya mambo ya electronic. Nimejifunza mwenyewe toka nikiwa mdogo. Hata hapa nina ramani nzuri ya transmitter ila tatizo components kuzipata mpaka niagize China. Kuhusu online tv ni kama tu online radio inavyofanya kazi. Ila kule ni picha na sauti ilhali huku ni sauti pekee. Kuna kuwa na mfumo tunaita dashboard. Hapo wewe unaamua watu wasikilize au waangalie nini kwa wakati gani. Pia unaweza weka schedule - ratiba ya vipindi. Hata siku ukiwa harusini wasikilizaji wako wanaendelea kuenjoy. Japo ukiruka live basi ile ratiba ya vipindi inakuheshimu boss. Vinakupisha.
 
Hii ni hobby tu ninayo ya mambo ya electronic. Nimejifunza mwenyewe toka nikiwa mdogo. Hata hapa nina ramani nzuri ya transmitter ila tatizo components kuzipata mpaka niagize China. Kuhusu online tv ni kama tu online radio inavyofanya kazi. Ila kule ni picha na sauti ilhali huku ni sauti pekee. Kuna kuwa na mfumo tunaita dashboard. Hapo wewe unaamua watu wasikilize au waangalie nini kwa wakati gani. Pia unaweza weka schedule - ratiba ya vipindi. Hata siku ukiwa harusini wasikilizaji wako wanaendelea kuenjoy. Japo ukiruka live basi ile ratiba ya vipindi inakuheshimu boss. Vinakupisha.
At least umefanya jambo la maana hapa kiasi chake ingawa bado umeficha white ila nimekuelewa kiasi chake, kwa hio TV online free na radio online free au ndio zile unalipia?

Yaan unaposema hobby unamaanisha ni wewe na mautundu yako from the scratch km kuunga coil ya speakers za radio ya subwoofer unaweza mpaka kubadirisha transistors na resistors kwenye kifaa chochote cha electronics bila shida yoyote?

Maana yake wewe ni fundi wa vifaa vya electronics ambae huna hata elimu yoyote ya VETA au chuo chochote cha ufundi ni wewe na utundu wako binafsi tu? Hakuna learning sessions za YouTube wala nini?
 
At least umefanya jambo la maana hapa kiasi chake ingawa bado umeficha white ila nimekuelewa kiasi chake, kwa hio TV online free na radio online free au ndio zile unalipia?

Yaan unaposema hobby unamaanisha ni wewe na mautundu yako from the scratch km kuunga coil ya speakers za radio ya subwoofer unaweza mpaka kubadirisha transistors na resistors kwenye kifaa chochote cha electronics bila shida yoyote?

Maana yake wewe ni fundi wa vifaa vya electronics ambae huna hata elimu yoyote ya VETA au chuo chochote cha ufundi ni wewe na utundu wako binafsi tu? Hakuna learning sessions za YouTube wala nini?
Napenda sana nikipata mchoro na niunde mwenyewe. Japo ku-repair naweza pia. Nimejifunza taratiibu toka nikiwa mdogo na michoro niliyoiona ta faida basi niliihifadhi. Niliwahi jifunza mtandaoni japo siyo YouTube. Japo sijishughulishi na ufundi. Ujuzi hauzeeki.
 
Saiv kuna Pastor wa USA ana kipindi jumatano na Jumapili saa 12 - 2 Asubuhi. So hata ukiwa mbali unaweza kuhost kipindi.
At least umefanya jambo la maana hapa kiasi chake ingawa bado umeficha white ila nimekuelewa kiasi chake, kwa hio TV online free na radio online free au ndio zile unalipia?

Yaan unaposema hobby unamaanisha ni wewe na mautundu yako from the scratch km kuunga coil ya speakers za radio ya subwoofer unaweza mpaka kubadirisha transistors na resistors kwenye kifaa chochote cha electronics bila shida yoyote?

Maana yake wewe ni fundi wa vifaa vya electronics ambae huna hata elimu yoyote ya VETA au chuo chochote cha ufundi ni wewe na utundu wako binafsi tu? Hakuna learning sessions za YouTube wala nini?
 
At least umefanya jambo la maana hapa kiasi chake ingawa bado umeficha white ila nimekuelewa kiasi chake, kwa hio TV online free na radio online free au ndio zile unalipia?

Yaan unaposema hobby unamaanisha ni wewe na mautundu yako from the scratch km kuunga coil ya speakers za radio ya subwoofer unaweza mpaka kubadirisha transistors na resistors kwenye kifaa chochote cha electronics bila shida yoyote?

Maana yake wewe ni fundi wa vifaa vya electronics ambae huna hata elimu yoyote ya VETA au chuo chochote cha ufundi ni wewe na utundu wako binafsi tu? Hakuna learning sessions za YouTube wala nini?
Tv na radio zote unalipia, sawa na vile unavyonunua vifurushi vya tv maybe Azam. Bei ndogo huduma chache; bei kubwa huduma nyingi.
 
Back
Top Bottom