Nahitaji wawekezaji kwa wazo langu

Nahitaji wawekezaji kwa wazo langu

Habari wakuu!
Suala ni hili wakuu,

Nina online radio ambayo inasikilizwa kwa kiasi hapa nchini na zaidi ni nchi za nje kama Misri, Algeria, Germany, Finland, nk. Hali iliyopelekea watu wa nje wengi wanitafute kwa ajili ya kuomba airtime, hasa wasanii (nyimbo, interviews ).

Pia saivi niko mbioni kuanzisha online live tv ambayo nitaiweka kwenye ving'amuzi mbalimbali kama azam, zuku, dstv pamoja na cables za mikoa mbalimbali. Hivyo itatazamwa kama vile channel ya sinema zetu au azam two au itv kupitia visimbuzi hivyo.

Hii online tv ina uwezo wa kurusha matangazo ya live (on time) pamoja na recorded contents kama tu vituo vingine vya runinga bila minara, madish bali kwa computer zenye internet access kwa ubora ule ule.

Hii itasaidia kuingiza pesa nyingi sana pamoja na ajira nyingi iwapo wazo litafanikiwa.

Changamoto ni pesa za uwekezaji katika wazo hili.
Toka nijitambue nimetokea kupenda media na naamini kuwa maisha yangu yapo katika hii tasnia (nitatobolea huku) lakini misingi ya kiuchumi haijawa supportive kwa upande wangu.

Nimewahi pia kuunda fm transmitter na kurusha matangazo ndani ya kata 1 kwa miezi minne lakini nilisitisha maana nilitakiwa kusafiri kwa muda mrefu.

Nakuomba katika nafasi yako unisaidie kufanikisha haya maono kwa namna moja au nyingine.
Hii media itakuwa kubwa sanaaaa!!.

Point Kuu: Nakaribisha wawekezaji kwa hili wazo la tv na radio station yangu. Mashirika, taasisi, makampuni, watu binafsi, nk karibuni mezani tufanye kazi.

Pia nakukaribisha wewe kijana/binti unayependa media, uliye tayari kufanya kazi nami.

Mrejesho:
+255622 000 802 WhatsApp
heromediatanzania@gmail.com

Asante.

ALECO,
HERO RADIO

Sikiliza Radio: 👉HAPA
Wazo chanya, Yaani vijana wenye mawazo kama Yako ni wachacge na Cha ajabu mnapuuzwa by the way Sina pesa ya kuwekeza ila Kwa 7bu jf is the home of great thinkers, naamini hawatakuacha
 
Wazo chanya, Yaani vijana wenye mawazo kama Yako ni wachacge na Cha ajabu mnapuuzwa by the way Sina pesa ya kuwekeza ila Kwa 7bu jf is the home of great thinkers, naamini hawatakuacha
Na iwe hivyo maanaaaa..!!
Asante sana mkuu.
 
Habari wakuu!
Suala ni hili wakuu,

Nina online radio ambayo inasikilizwa kwa kiasi hapa nchini na zaidi ni nchi za nje kama Misri, Algeria, Germany, Finland, nk. Hali iliyopelekea watu wa nje wengi wanitafute kwa ajili ya kuomba airtime, hasa wasanii (nyimbo, interviews ).

Pia saivi niko mbioni kuanzisha online live tv ambayo nitaiweka kwenye ving'amuzi mbalimbali kama azam, zuku, dstv pamoja na cables za mikoa mbalimbali. Hivyo itatazamwa kama vile channel ya sinema zetu au azam two au itv kupitia visimbuzi hivyo.

Hii online tv ina uwezo wa kurusha matangazo ya live (on time) pamoja na recorded contents kama tu vituo vingine vya runinga bila minara, madish bali kwa computer zenye internet access kwa ubora ule ule.

Hii itasaidia kuingiza pesa nyingi sana pamoja na ajira nyingi iwapo wazo litafanikiwa.

Changamoto ni pesa za uwekezaji katika wazo hili.
Toka nijitambue nimetokea kupenda media na naamini kuwa maisha yangu yapo katika hii tasnia (nitatobolea huku) lakini misingi ya kiuchumi haijawa supportive kwa upande wangu.

Nimewahi pia kuunda fm transmitter na kurusha matangazo ndani ya kata 1 kwa miezi minne lakini nilisitisha maana nilitakiwa kusafiri kwa muda mrefu.

Nakuomba katika nafasi yako unisaidie kufanikisha haya maono kwa namna moja au nyingine.
Hii media itakuwa kubwa sanaaaa!!.

Point Kuu: Nakaribisha wawekezaji kwa hili wazo la tv na radio station yangu. Mashirika, taasisi, makampuni, watu binafsi, nk karibuni mezani tufanye kazi.

Pia nakukaribisha wewe kijana/binti unayependa media, uliye tayari kufanya kazi nami.

Mrejesho:
+255622 000 802 WhatsApp
heromediatanzania@gmail.com

Asante.

ALECO,
HERO RADIO

Sikiliza Radio: 👉HAPA
Kama unaliamini hilo jambo, wekeza mwenyewe kwamba. Tatizo mnataka kila kitu muanzishiwe. Anza kitu hata kama ni kidogo kumotisha wale unaowalenga au kuwashawishi. Ni ushauri tu.
 
Hii nchi yetu ni kiboko asee hawataki mabadiliko kabisa, TCRA watakuwa kikwazo kikubwa kwa huyu jamaa ingawa kuna sheria na miongozo.
Nikiwaza internet bundles ndo nachoka kabisa, maana pia internet ikiwa cheap listeners wanakuwa wengi.
 
Hii nchi yetu ni kiboko asee hawataki mabadiliko kabisa, TCRA watakuwa kikwazo kikubwa kwa huyu jamaa ingawa kuna sheria na miongozo.
Nikiwaza internet bundles ndo nachoka kabisa, maana pia internet ikiwa cheap listeners wanakuwa wengi.
MUNGU asaidie mkuu.
 
Hii nchi yetu ni kiboko asee hawataki mabadiliko kabisa, TCRA watakuwa kikwazo kikubwa kwa huyu jamaa ingawa kuna sheria na miongozo.
Nikiwaza internet bundles ndo nachoka kabisa, maana pia internet ikiwa cheap listeners wanakuwa wengi.

Sikiliza simulizi tamu ya maisha, visasi, uhalifu na mahusiano hapa HERO RADIO:


Iko hewani muda huu!
 
Kama unaliamini hilo jambo, wekeza mwenyewe kwamba. Tatizo mnataka kila kitu muanzishiwe. Anza kitu hata kama ni kidogo kumotisha wale unaowalenga au kuwashawishi. Ni ushauri tu.
Kuanza nimeanza na ninaendelea mkuu. Ila kwa ufanisi zaidi uwekezaji unahitajika mkuu, watu tunatofautiana. Hii project italipa sana na itazalisha ajira ni nyingi.
 
Kuanza nimeanza na ninaendelea mkuu. Ila kwa ufanisi zaidi uwekezaji unahitajika mkuu, watu tunatofautiana. Hii project italipa sana na itazalisha ajira ni nyingi.
Ulipaswa kuifanya hilo jambo la kwanza kueleza ili kuvutia watarajiwa ambao kama mimi wangeona kuwa umeshaanza na unajua ufanyacho.
 
Habari wakuu!
Suala ni hili wakuu,

Nina online radio ambayo inasikilizwa kwa kiasi hapa nchini na zaidi ni nchi za nje kama Misri, Algeria, Germany, Finland, nk. Hali iliyopelekea watu wa nje wengi wanitafute kwa ajili ya kuomba airtime, hasa wasanii (nyimbo, interviews ).

Pia saivi niko mbioni kuanzisha online live tv ambayo nitaiweka kwenye ving'amuzi mbalimbali kama azam, zuku, dstv pamoja na cables za mikoa mbalimbali. Hivyo itatazamwa kama vile channel ya sinema zetu au azam two au itv kupitia visimbuzi hivyo.
👆
 
Ulipaswa kuifanya hilo jambo la kwanza kueleza ili kuvutia watarajiwa ambao kama mimi wangeona kuwa umeshaanza na unajua ufanyacho.

Sikiliza simulizi tamu ya maisha, visasi, uhalifu na mahusiano hapa HERO RADIO:


Iko hewani muda huu!
 
  • Pongezi sana, nimeisikiliza iko vizuri.​
  • Nimeisikiliza kwa 'online', je kwa mwenye radio ya kawaida anaweza kuipata bila internet?​
  • Unataka muwekezaji awe na mtaji kiasi gani?​
  • Je, umeshaomba leseni ya kurusha radio yako?​
 
  • Pongezi sana, nimeisikiliza iko vizuri.​
  • Nimeisikiliza kwa 'online', je kwa mwenye radio ya kawaida anaweza kuipata bila internet?​
  • Unataka muwekezaji awe na mtaji kiasi gani?​
  • Je, umeshaomba leseni ya kurusha radio yako?​

Habari yako kiongozi!

• Asante sana mkuu kwa kupendezwa.
• Hii ni online radio, huwezi isikiliza main stream (fm).

Gharama za TV:
• Gharama zote siyo fixed japo kuna vifaa za lazima:
  • Pcs walau 2, tayari 1 ipo.
  • Cameras japo 2, tayari 1 ipo.
  • Desktop 1 (ipo).
  • 3 Microphones (Zipo) *maybe itabidi kubadili kwa ajili ya kuongeza ubora zaidi.
  • Ofisi + Live studio.
  • Watanyakazi kadhaa (Maana mimi peke yangu sitoweza kuhariri, kuandaa na kudhibiti maudhui 24/7!).
  • Usajili TCRA
  • *Kuiweka kwenye visimbuzi (Azam, Zuku, Startimes, nk) hata za nchi za nje pamoja na cables za mikoa mbalimbali.
NB: Hii inaweza kuwa gharama zaidi, japo itategemeana na vile tutakavyojieleza kwao!
So, ili kupata gharama kuu ni suala la kukaa mezani kutathmini baada ya kupata mrejesho toka kwa mamlaka hizi nyingine zinazohusika (TCRA, Platforms kama Azam, nk). Inawezekana! 🤝

Muda mfupi pesa itarudi mara baada ya kuwa hewani, ikiwekwa kwenye ving'amuzi vyenye soko East Africa.
I mean Media Itajipata!

Zaidi tunaweza kuwasiliana mkuu:
WhatsApp: +255622 000 802
Email: heromediatanzania@gmail.com

Shukrani.
 
  • Je, umeshaomba leseni ya kurusha radio yako?​
Bado, I hope nikifanikiwa kupata mdhamini, nitakamilisha soon. Tena nitakamilisha kama kampuni ambayo ndani yake kutakuwa na radio, tv na masuala mengine (hasa kuhusu media).

Ni process rahisi maana ni ya online pia.
 
Back
Top Bottom