Hero Radio
Member
- Jun 30, 2021
- 77
- 92
- Thread starter
- #81
Mkuu!Nipo tayari kukuletea mzamin je napata nn ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu!Nipo tayari kukuletea mzamin je napata nn ?
Wewe ndiyo ulianzishaga radio Ilemi pale mapelele.?Habari wakuu!
Suala ni hili wakuu,
Nina online radio ambayo inasikilizwa kwa kiasi hapa nchini na zaidi ni nchi za nje kama Misri, Algeria, Germany, Finland, nk. Hali iliyopelekea watu wa nje wengi wanitafute kwa ajili ya kuomba airtime, hasa wasanii (nyimbo, interviews ).
Pia saivi niko mbioni kuanzisha online live tv ambayo nitaiweka kwenye ving'amuzi mbalimbali kama azam, zuku, dstv pamoja na cables za mikoa mbalimbali. Hivyo itatazamwa kama vile channel ya sinema zetu au azam two au itv kupitia visimbuzi hivyo.
Hii online tv ina uwezo wa kurusha matangazo ya live (on time) pamoja na recorded contents kama tu vituo vingine vya runinga bila minara, madish bali kwa computer zenye internet access kwa ubora ule ule.
Hii itasaidia kuingiza pesa nyingi sana pamoja na ajira nyingi iwapo wazo litafanikiwa.
Changamoto ni pesa za uwekezaji katika wazo hili.
Toka nijitambue nimetokea kupenda media na naamini kuwa maisha yangu yapo katika hii tasnia (nitatobolea huku) lakini misingi ya kiuchumi haijawa supportive kwa upande wangu.
Nimewahi pia kuunda fm transmitter na kurusha matangazo ndani ya kata 1 kwa miezi minne lakini nilisitisha maana nilitakiwa kusafiri kwa muda mrefu.
Nakuomba katika nafasi yako unisaidie kufanikisha haya maono kwa namna moja au nyingine.
Hii media itakuwa kubwa sanaaaa!!.
Point Kuu: Nakaribisha wawekezaji kwa hili wazo la tv na radio station yangu. Mashirika, taasisi, makampuni, watu binafsi, nk karibuni mezani tufanye kazi.
Pia nakukaribisha wewe kijana/binti unayependa media, uliye tayari kufanya kazi nami.
Mrejesho:
+255622 000 802 WhatsApp
heromediatanzania@gmail.com
Asante.
ALECO,
HERO RADIO
Sikiliza Radio: 👉HAPA
Hapana.Wewe ndiyo ulianzishaga radio Ilemi pale mapelele.?
Hongera kwa kazi ulioifanya mpaka sasa.Habari wakuu!
Suala ni hili wakuu,
Nina online radio ambayo inasikilizwa kwa kiasi hapa nchini na zaidi ni nchi za nje kama Misri, Algeria, Germany, Finland, nk. Hali iliyopelekea watu wa nje wengi wanitafute kwa ajili ya kuomba airtime, hasa wasanii (nyimbo, interviews ).
Pia saivi niko mbioni kuanzisha online live tv ambayo nitaiweka kwenye ving'amuzi mbalimbali kama azam, zuku, dstv pamoja na cables za mikoa mbalimbali. Hivyo itatazamwa kama vile channel ya sinema zetu au azam two au itv kupitia visimbuzi hivyo.
Hii online tv ina uwezo wa kurusha matangazo ya live (on time) pamoja na recorded contents kama tu vituo vingine vya runinga bila minara, madish bali kwa computer zenye internet access kwa ubora ule ule.
Hii itasaidia kuingiza pesa nyingi sana pamoja na ajira nyingi iwapo wazo litafanikiwa.
Changamoto ni pesa za uwekezaji katika wazo hili.
Toka nijitambue nimetokea kupenda media na naamini kuwa maisha yangu yapo katika hii tasnia (nitatobolea huku) lakini misingi ya kiuchumi haijawa supportive kwa upande wangu.
Nimewahi pia kuunda fm transmitter na kurusha matangazo ndani ya kata 1 kwa miezi minne lakini nilisitisha maana nilitakiwa kusafiri kwa muda mrefu.
Nakuomba katika nafasi yako unisaidie kufanikisha haya maono kwa namna moja au nyingine.
Hii media itakuwa kubwa sanaaaa!!.
Point Kuu: Nakaribisha wawekezaji kwa hili wazo la tv na radio station yangu. Mashirika, taasisi, makampuni, watu binafsi, nk karibuni mezani tufanye kazi.
Pia nakukaribisha wewe kijana/binti unayependa media, uliye tayari kufanya kazi nami.
Mrejesho:
+255622 000 802 WhatsApp
heromediatanzania@gmail.com
Asante.
ALECO,
HERO RADIO
Sikiliza Radio: 👉HAPA
Namba ya wasikilizaji toka tar 1 JanuaryHongera kwa kazi ulioifanya mpaka sasa.
Naomba kuuliza haya.
1 ni njia gani utatumia ku monetize hii radio?
Nimeona unasema king'amuzi. Ila kwa ving'amuzi mpak ufikie hiyo level ya kuiweka radio yko kweny decorder zo ujue radio yako inasikilizwa sana na wameona impact ndo mtaanza kuongelea mabo ya malipo tofauti na hpo itakua kama Free to air radio
2 najua ndo mwanzo. Ila unaweza kutoa analytics au namba za wasikilizaji wako wanatokea eneo gani na wapo active muda gani
UNgejikita kwenye media upande wa youtube zaide ili upate wafuasi na presence kisha ndo uwahamishie kwenye uo upande wa online radio
Issue ya kuweka kwenye ving'amuzi ni kwa ajili ya online live tv, nitailink na ving'amuzi hivyo itaonekena tu kama channels nyingine zinavyoonekana. Itaweza kurusha live and recorded contents kama vituo vingine.Hongera kwa kazi ulioifanya mpaka sasa.
Naomba kuuliza haya.
1 ni njia gani utatumia ku monetize hii radio?
Nimeona unasema king'amuzi. Ila kwa ving'amuzi mpak ufikie hiyo level ya kuiweka radio yko kweny decorder zo ujue radio yako inasikilizwa sana na wameona impact ndo mtaanza kuongelea mabo ya malipo tofauti na hpo itakua kama Free to air radio
2 najua ndo mwanzo. Ila unaweza kutoa analytics au namba za wasikilizaji wako wanatokea eneo gani na wapo active muda gani
UNgejikita kwenye media upande wa youtube zaide ili upate wafuasi na presence kisha ndo uwahamishie kwenye uo upande wa online radio
Naona numners za online radio bdo ni chache bongo
So far namba zpo vzrNamba ya wasikilizaji toka tar 1 January
Imagine una tv station yako ambayo inaonekana kwa Azam, Startimes, Zuku decoders na contents zako ziko vizuri! Utashindwaje kumake pesa mkuu!!Hongera kwa kazi ulioifanya mpaka sasa.
Naomba kuuliza haya.
1 ni njia gani utatumia ku monetize hii radio?
Nimeona unasema king'amuzi. Ila kwa ving'amuzi mpak ufikie hiyo level ya kuiweka radio yko kweny decorder zo ujue radio yako inasikilizwa sana na wameona impact ndo mtaanza kuongelea mabo ya malipo tofauti na hpo itakua kama Free to air radio
2 najua ndo mwanzo. Ila unaweza kutoa analytics au namba za wasikilizaji wako wanatokea eneo gani na wapo active muda gani
UNgejikita kwenye media upande wa youtube zaide ili upate wafuasi na presence kisha ndo uwahamishie kwenye uo upande wa online radio
Naona numners za online radio bdo ni chache bongo
AsanteSo far namba zpo vzr
Imagine una tv station yako ambayo inaonekana kwa Azam, Startimes, Zuku decoders na contents zako ziko vizuri! Utashindwaje kumake pesa mkuu!!
Utofauti pekee na tv stations nyingine ni kuwa hii itakuwa inaruka toka online/ kupitia mtandao. Hivyo unaweza itazama kupitia ving'amuzi itamowekwa pia kupitia link yake tu. Tena kwa ubora ule ule.
Asante.
Kwa hii njia ya online unapataje pesa?Sikiliza simulizi tamu ya maisha, visasi, uhalifu na mahusiano hapa HERO RADIO:
![]()
Iko hewani muda huu!
Mkuu labda ungefafanua zaidi kwa mwekezaji kuhusu yafuatayo.Habari wakuu!
Suala ni hili wakuu,
Nina online radio ambayo inasikilizwa kwa kiasi hapa nchini na zaidi ni nchi za nje kama Misri, Algeria, Germany, Finland, nk. Hali iliyopelekea watu wa nje wengi wanitafute kwa ajili ya kuomba airtime, hasa wasanii (nyimbo, interviews ).
Pia saivi niko mbioni kuanzisha online live tv ambayo nitaiweka kwenye ving'amuzi mbalimbali kama azam, zuku, dstv pamoja na cables za mikoa mbalimbali. Hivyo itatazamwa kama vile channel ya sinema zetu au azam two au itv kupitia visimbuzi hivyo.
Hii online tv ina uwezo wa kurusha matangazo ya live (on time) pamoja na recorded contents kama tu vituo vingine vya runinga bila minara, madish bali kwa computer zenye internet access kwa ubora ule ule.
Hii itasaidia kuingiza pesa nyingi sana pamoja na ajira nyingi iwapo wazo litafanikiwa.
Changamoto ni pesa za uwekezaji katika wazo hili.
Toka nijitambue nimetokea kupenda media na naamini kuwa maisha yangu yapo katika hii tasnia (nitatobolea huku) lakini misingi ya kiuchumi haijawa supportive kwa upande wangu.
Nimewahi pia kuunda fm transmitter na kurusha matangazo ndani ya kata 1 kwa miezi minne lakini nilisitisha maana nilitakiwa kusafiri kwa muda mrefu.
Nakuomba katika nafasi yako unisaidie kufanikisha haya maono kwa namna moja au nyingine.
Hii media itakuwa kubwa sanaaaa!!.
Point Kuu: Nakaribisha wawekezaji kwa hili wazo la tv na radio station yangu. Mashirika, taasisi, makampuni, watu binafsi, nk karibuni mezani tufanye kazi.
Pia nakukaribisha wewe kijana/binti unayependa media, uliye tayari kufanya kazi nami.
Mrejesho:
+255622 000 802 WhatsApp
heromediatanzania@gmail.com
Asante.
ALECO,
HERO RADIO
Sikiliza Radio: 👉HAPA
Kwa hatua hii bado, changamoto za bando kwa msikilizajiKwa hii njia ya online unapataje pesa?
Kuna watu wanapitishia matangazo yao kwenye radio yangu, wanalipa. Mfano Jumatano saa 1 asubuhi, Alhamisi saa 2 asubuhi na Jumapili saa 12 asubuhi nina vipindi vya Mchungaji wa Marekani.Kwa hii njia ya online unapataje pesa?
Mkuu labda ungefafanua zaidi kwa mwekezaji kuhusu yafuatayo.
Lengo kuu la media, je ni habari, burudani, elimu, n.k.
Target market ni watu wa aina gani.
Mtapataje mapato? matangazo? ufadhili?
Unahitaji vifaa gani kukua na kuwa available muda wote
Umeandaa mfumo upi wa marketing
Kuirasmisha media
Nje ya topic, hizi rangi ulizoweka zinaumiza macho chagua rangi za kawaida black.
Mkuu labda ungefafanua zaidi kwa mwekezaji kuhusu yafuatayo.
Lengo kuu la media, je ni habari, burudani, elimu, n.k.
Target market ni watu wa aina gani.
Mtapataje mapato? matangazo? ufadhili?
Unahitaji vifaa gani kukua na kuwa available muda wote
Umeandaa mfumo upi wa marketing
Kuirasmisha media
Nje ya topic, hizi rangi ulizoweka zinaumiza macho chagua rangi za kawaida black.