Nahitaji wawekezaji kwa wazo langu

Nahitaji wawekezaji kwa wazo langu

Habari wakuu!
Suala ni hili wakuu,

Nina online radio ambayo inasikilizwa kwa kiasi hapa nchini na zaidi ni nchi za nje kama Misri, Algeria, Germany, Finland, nk. Hali iliyopelekea watu wa nje wengi wanitafute kwa ajili ya kuomba airtime, hasa wasanii (nyimbo, interviews ).

Pia saivi niko mbioni kuanzisha online live tv ambayo nitaiweka kwenye ving'amuzi mbalimbali kama azam, zuku, dstv pamoja na cables za mikoa mbalimbali. Hivyo itatazamwa kama vile channel ya sinema zetu au azam two au itv kupitia visimbuzi hivyo.

Hii online tv ina uwezo wa kurusha matangazo ya live (on time) pamoja na recorded contents kama tu vituo vingine vya runinga bila minara, madish bali kwa computer zenye internet access kwa ubora ule ule.

Hii itasaidia kuingiza pesa nyingi sana pamoja na ajira nyingi iwapo wazo litafanikiwa.

Changamoto ni pesa za uwekezaji katika wazo hili.
Toka nijitambue nimetokea kupenda media na naamini kuwa maisha yangu yapo katika hii tasnia (nitatobolea huku) lakini misingi ya kiuchumi haijawa supportive kwa upande wangu.

Nimewahi pia kuunda fm transmitter na kurusha matangazo ndani ya kata 1 kwa miezi minne lakini nilisitisha maana nilitakiwa kusafiri kwa muda mrefu.

Nakuomba katika nafasi yako unisaidie kufanikisha haya maono kwa namna moja au nyingine.
Hii media itakuwa kubwa sanaaaa!!.

Point Kuu: Nakaribisha wawekezaji kwa hili wazo la tv na radio station yangu. Mashirika, taasisi, makampuni, watu binafsi, nk karibuni mezani tufanye kazi.

Pia nakukaribisha wewe kijana/binti unayependa media, uliye tayari kufanya kazi nami.

Mrejesho:
+255622 000 802 WhatsApp
heromediatanzania@gmail.com

Asante.

ALECO,
HERO RADIO

Sikiliza Radio: 👉HAPA
Wewe ndiyo ulianzishaga radio Ilemi pale mapelele.?
 
Habari wakuu!
Suala ni hili wakuu,

Nina online radio ambayo inasikilizwa kwa kiasi hapa nchini na zaidi ni nchi za nje kama Misri, Algeria, Germany, Finland, nk. Hali iliyopelekea watu wa nje wengi wanitafute kwa ajili ya kuomba airtime, hasa wasanii (nyimbo, interviews ).

Pia saivi niko mbioni kuanzisha online live tv ambayo nitaiweka kwenye ving'amuzi mbalimbali kama azam, zuku, dstv pamoja na cables za mikoa mbalimbali. Hivyo itatazamwa kama vile channel ya sinema zetu au azam two au itv kupitia visimbuzi hivyo.

Hii online tv ina uwezo wa kurusha matangazo ya live (on time) pamoja na recorded contents kama tu vituo vingine vya runinga bila minara, madish bali kwa computer zenye internet access kwa ubora ule ule.

Hii itasaidia kuingiza pesa nyingi sana pamoja na ajira nyingi iwapo wazo litafanikiwa.

Changamoto ni pesa za uwekezaji katika wazo hili.
Toka nijitambue nimetokea kupenda media na naamini kuwa maisha yangu yapo katika hii tasnia (nitatobolea huku) lakini misingi ya kiuchumi haijawa supportive kwa upande wangu.

Nimewahi pia kuunda fm transmitter na kurusha matangazo ndani ya kata 1 kwa miezi minne lakini nilisitisha maana nilitakiwa kusafiri kwa muda mrefu.

Nakuomba katika nafasi yako unisaidie kufanikisha haya maono kwa namna moja au nyingine.
Hii media itakuwa kubwa sanaaaa!!.

Point Kuu: Nakaribisha wawekezaji kwa hili wazo la tv na radio station yangu. Mashirika, taasisi, makampuni, watu binafsi, nk karibuni mezani tufanye kazi.

Pia nakukaribisha wewe kijana/binti unayependa media, uliye tayari kufanya kazi nami.

Mrejesho:
+255622 000 802 WhatsApp
heromediatanzania@gmail.com

Asante.

ALECO,
HERO RADIO

Sikiliza Radio: 👉HAPA
Hongera kwa kazi ulioifanya mpaka sasa.
Naomba kuuliza haya.

1 ni njia gani utatumia ku monetize hii radio?

Nimeona unasema king'amuzi. Ila kwa ving'amuzi mpak ufikie hiyo level ya kuiweka radio yko kweny decorder zo ujue radio yako inasikilizwa sana na wameona impact ndo mtaanza kuongelea mabo ya malipo tofauti na hpo itakua kama Free to air radio

2 najua ndo mwanzo. Ila unaweza kutoa analytics au namba za wasikilizaji wako wanatokea eneo gani na wapo active muda gani

UNgejikita kwenye media upande wa youtube zaide ili upate wafuasi na presence kisha ndo uwahamishie kwenye uo upande wa online radio
Naona numners za online radio bdo ni chache bongo
 
Hongera kwa kazi ulioifanya mpaka sasa.
Naomba kuuliza haya.

1 ni njia gani utatumia ku monetize hii radio?

Nimeona unasema king'amuzi. Ila kwa ving'amuzi mpak ufikie hiyo level ya kuiweka radio yko kweny decorder zo ujue radio yako inasikilizwa sana na wameona impact ndo mtaanza kuongelea mabo ya malipo tofauti na hpo itakua kama Free to air radio

2 najua ndo mwanzo. Ila unaweza kutoa analytics au namba za wasikilizaji wako wanatokea eneo gani na wapo active muda gani

UNgejikita kwenye media upande wa youtube zaide ili upate wafuasi na presence kisha ndo uwahamishie kwenye uo upande wa online radio
Namba ya wasikilizaji toka tar 1 January
 

Attachments

  • Screenshot_20250129_115811_Chrome.jpg
    Screenshot_20250129_115811_Chrome.jpg
    133.8 KB · Views: 4
  • Screenshot_20250129_115631_Chrome.jpg
    Screenshot_20250129_115631_Chrome.jpg
    186 KB · Views: 4
  • Screenshot_20250129_115713_Chrome.jpg
    Screenshot_20250129_115713_Chrome.jpg
    123.3 KB · Views: 4
  • Screenshot_20250129_115706_Chrome.jpg
    Screenshot_20250129_115706_Chrome.jpg
    128.1 KB · Views: 4
  • Screenshot_20250129_115654_Chrome.jpg
    Screenshot_20250129_115654_Chrome.jpg
    129.4 KB · Views: 4
  • Screenshot_20250129_115646_Chrome.jpg
    Screenshot_20250129_115646_Chrome.jpg
    130.4 KB · Views: 4
  • Screenshot_20250129_115728_Chrome.jpg
    Screenshot_20250129_115728_Chrome.jpg
    128 KB · Views: 3
  • Screenshot_20250129_115720_Chrome.jpg
    Screenshot_20250129_115720_Chrome.jpg
    121.6 KB · Views: 3
  • Screenshot_20250129_115734_Chrome.jpg
    Screenshot_20250129_115734_Chrome.jpg
    130.5 KB · Views: 4
  • Screenshot_20250129_115749_Chrome.jpg
    Screenshot_20250129_115749_Chrome.jpg
    131.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_20250129_115806_Chrome.jpg
    Screenshot_20250129_115806_Chrome.jpg
    126.9 KB · Views: 3
Hongera kwa kazi ulioifanya mpaka sasa.
Naomba kuuliza haya.

1 ni njia gani utatumia ku monetize hii radio?

Nimeona unasema king'amuzi. Ila kwa ving'amuzi mpak ufikie hiyo level ya kuiweka radio yko kweny decorder zo ujue radio yako inasikilizwa sana na wameona impact ndo mtaanza kuongelea mabo ya malipo tofauti na hpo itakua kama Free to air radio

2 najua ndo mwanzo. Ila unaweza kutoa analytics au namba za wasikilizaji wako wanatokea eneo gani na wapo active muda gani

UNgejikita kwenye media upande wa youtube zaide ili upate wafuasi na presence kisha ndo uwahamishie kwenye uo upande wa online radio
Naona numners za online radio bdo ni chache bongo
Issue ya kuweka kwenye ving'amuzi ni kwa ajili ya online live tv, nitailink na ving'amuzi hivyo itaonekena tu kama channels nyingine zinavyoonekana. Itaweza kurusha live and recorded contents kama vituo vingine.
 
Hongera kwa kazi ulioifanya mpaka sasa.
Naomba kuuliza haya.

1 ni njia gani utatumia ku monetize hii radio?

Nimeona unasema king'amuzi. Ila kwa ving'amuzi mpak ufikie hiyo level ya kuiweka radio yko kweny decorder zo ujue radio yako inasikilizwa sana na wameona impact ndo mtaanza kuongelea mabo ya malipo tofauti na hpo itakua kama Free to air radio

2 najua ndo mwanzo. Ila unaweza kutoa analytics au namba za wasikilizaji wako wanatokea eneo gani na wapo active muda gani

UNgejikita kwenye media upande wa youtube zaide ili upate wafuasi na presence kisha ndo uwahamishie kwenye uo upande wa online radio
Naona numners za online radio bdo ni chache bongo
Imagine una tv station yako ambayo inaonekana kwa Azam, Startimes, Zuku decoders na contents zako ziko vizuri! Utashindwaje kumake pesa mkuu!!

Utofauti pekee na tv stations nyingine ni kuwa hii itakuwa inaruka toka online/ kupitia mtandao. Hivyo unaweza itazama kupitia ving'amuzi itamowekwa pia kupitia link yake tu. Tena kwa ubora ule ule.

Asante.
 
Imagine una tv station yako ambayo inaonekana kwa Azam, Startimes, Zuku decoders na contents zako ziko vizuri! Utashindwaje kumake pesa mkuu!!

Utofauti pekee na tv stations nyingine ni kuwa hii itakuwa inaruka toka online/ kupitia mtandao. Hivyo unaweza itazama kupitia ving'amuzi itamowekwa pia kupitia link yake tu. Tena kwa ubora ule ule.

Asante.

Kuna redio za serikali zinazo pata ruzuku na wafanyakaz wake kulipwa na serikal na hizi redio private ambazo zinajiendesha kutokana na mradi wenyew na wazabuni/ wawekezaji



umejipangaje kutengeneza pesa kupitia rafio yako? Kuna njia nyingne?
Ukiachana na ishu ya kuingiza redio kwenye king'amuzi
 
Habari wakuu!
Suala ni hili wakuu,

Nina online radio ambayo inasikilizwa kwa kiasi hapa nchini na zaidi ni nchi za nje kama Misri, Algeria, Germany, Finland, nk. Hali iliyopelekea watu wa nje wengi wanitafute kwa ajili ya kuomba airtime, hasa wasanii (nyimbo, interviews ).

Pia saivi niko mbioni kuanzisha online live tv ambayo nitaiweka kwenye ving'amuzi mbalimbali kama azam, zuku, dstv pamoja na cables za mikoa mbalimbali. Hivyo itatazamwa kama vile channel ya sinema zetu au azam two au itv kupitia visimbuzi hivyo.

Hii online tv ina uwezo wa kurusha matangazo ya live (on time) pamoja na recorded contents kama tu vituo vingine vya runinga bila minara, madish bali kwa computer zenye internet access kwa ubora ule ule.

Hii itasaidia kuingiza pesa nyingi sana pamoja na ajira nyingi iwapo wazo litafanikiwa.

Changamoto ni pesa za uwekezaji katika wazo hili.
Toka nijitambue nimetokea kupenda media na naamini kuwa maisha yangu yapo katika hii tasnia (nitatobolea huku) lakini misingi ya kiuchumi haijawa supportive kwa upande wangu.

Nimewahi pia kuunda fm transmitter na kurusha matangazo ndani ya kata 1 kwa miezi minne lakini nilisitisha maana nilitakiwa kusafiri kwa muda mrefu.

Nakuomba katika nafasi yako unisaidie kufanikisha haya maono kwa namna moja au nyingine.
Hii media itakuwa kubwa sanaaaa!!.

Point Kuu: Nakaribisha wawekezaji kwa hili wazo la tv na radio station yangu. Mashirika, taasisi, makampuni, watu binafsi, nk karibuni mezani tufanye kazi.

Pia nakukaribisha wewe kijana/binti unayependa media, uliye tayari kufanya kazi nami.

Mrejesho:
+255622 000 802 WhatsApp
heromediatanzania@gmail.com

Asante.

ALECO,
HERO RADIO

Sikiliza Radio: 👉HAPA
Mkuu labda ungefafanua zaidi kwa mwekezaji kuhusu yafuatayo.

Lengo kuu la media, je ni habari, burudani, elimu, n.k.

Target market ni watu wa aina gani.

Mtapataje mapato? matangazo? ufadhili?

Unahitaji vifaa gani kukua na kuwa available muda wote

Umeandaa mfumo upi wa marketing

Kuirasmisha media

Nje ya topic, hizi rangi ulizoweka zinaumiza macho chagua rangi za kawaida black.
 
Mkuu labda ungefafanua zaidi kwa mwekezaji kuhusu yafuatayo.

Lengo kuu la media, je ni habari, burudani, elimu, n.k.

Target market ni watu wa aina gani.

Mtapataje mapato? matangazo? ufadhili?

Unahitaji vifaa gani kukua na kuwa available muda wote

Umeandaa mfumo upi wa marketing

Kuirasmisha media

Nje ya topic, hizi rangi ulizoweka zinaumiza macho chagua rangi za kawaida black.

Nimeandaa business proposal inayoeleza vizuri sana mkuu.
 

Attachments

  • IMG_6219.JPG
    IMG_6219.JPG
    322.3 KB · Views: 2
Mkuu labda ungefafanua zaidi kwa mwekezaji kuhusu yafuatayo.

Lengo kuu la media, je ni habari, burudani, elimu, n.k.

Target market ni watu wa aina gani.

Mtapataje mapato? matangazo? ufadhili?

Unahitaji vifaa gani kukua na kuwa available muda wote

Umeandaa mfumo upi wa marketing

Kuirasmisha media

Nje ya topic, hizi rangi ulizoweka zinaumiza macho chagua rangi za kawaida black.

Karibu,
Naomba tuwasiliane tafadhali.
 
Back
Top Bottom