Nahitaji wawekezaji kwa wazo langu

Nahitaji wawekezaji kwa wazo langu

Napenda sana nikipata mchoro na niunde mwenyewe. Japo ku-repair naweza pia. Nimejifunza taratiibu toka nikiwa mdogo na michoro niliyoiona ta faida basi niliihifadhi. Niliwahi jifunza mtandaoni japo siyo YouTube. Japo sijishughulishi na ufundi. Ujuzi hauzeeki.
Turudi pale kwenye fm transmitter uliundaje ukajitengenezea frequency zako na ilikuaje ukaachana na masuala ya frequency nini kiliku-discourage?
 
Habari wakuu!
Suala ni hili wakuu,

Nina online radio ambayo inasikilizwa kwa kiasi hapa nchini na zaidi ni nchi za nje kama Misri, Algeria, Germany, Finland, nk. Hali iliyopelekea watu wa nje wengi wanitafute kwa ajili ya kuomba airtime, hasa wasanii (nyimbo, interviews ).

Pia saivi niko mbioni kuanzisha online live tv ambayo nitaiweka kwenye ving'amuzi mbalimbali kama azam, zuku, dstv pamoja na cables za mikoa mbalimbali. Hivyo itatazamwa kama vile channel ya sinema zetu au azam two au itv kupitia visimbuzi hivyo.

Hii online tv ina uwezo wa kurusha matangazo ya live (on time) pamoja na recorded contents kama tu vituo vingine vya runinga bila minara, madish bali kwa computer zenye internet access kwa ubora ule ule.

Hii itasaidia kuingiza pesa nyingi sana pamoja na ajira nyingi iwapo wazo litafanikiwa.

Changamoto ni pesa za uwekezaji katika wazo hili.
Toka nijitambue nimetokea kupenda media na naamini kuwa maisha yangu yapo katika hii tasnia (nitatobolea huku) lakini misingi ya kiuchumi haijawa supportive kwa upande wangu.

Nimewahi pia kuunda fm transmitter na kurusha matangazo ndani ya kata 1 kwa miezi minne lakini nilisitisha maana nilitakiwa kusafiri kwa muda mrefu.

Nakuomba katika nafasi yako unisaidie kufanikisha haya maono kwa namna moja au nyingine.
Hii media itakuwa kubwa sanaaaa!!.

Point Kuu: Nakaribisha wawekezaji kwa hili wazo la tv na radio station yangu. Mashirika, taasisi, makampuni, watu binafsi, nk karibuni mezani tufanye kazi.

Pia nakukaribisha wewe kijana/binti unayependa media, uliye tayari kufanya kazi nami.

Mrejesho:
+255622 000 802 WhatsApp
heromediatanzania@gmail.com

Asante.

ALECO,
HERO RADIO

Sikiliza Radio: 👉HAPA
Hongera sana. Ongeza jitihada, utatoboa tu. Mungu akusimamie
 
Saiv kuna Pastor wa USA ana kipindi jumatano na Jumapili saa 12 - 2 Asubuhi. So hata ukiwa mbali unaweza kuhost kipindi.
Mkuu siwezi judge hustle zako kwa sababu sizielewi kwa sababu hata Mimi kuna watu hawanielewi

Lakini ningekuomba uangalie online radio zilipo bongo maana zipo lakini nyingi zinapumulia machine. Lakini pia angalia numbers kwa hizi radio au TV kubwa kama ITV, CLOUDS, EATV, CROWN zinapoenda online, wanapata viewers wangapi?.....

Angalia online podcast ambazo nyingi ni recorded kama msasa online, salama Na, pastor tony... Angalia pia performance yake kwenye platforms tofauti

Kumbuka zote hizi ni free lakini wewe umekuja na njia ya kulipia na unaona reaction ni nzuri. Ila ningekuomba upitie hizi categories taratibu, ukipata majibu yake naamini itakusaidia. All the best
 
Mkuu siwezi judge hustle zako kwa sababu sizielewi kwa sababu hata Mimi kuna watu hawanielewi

Lakini ningekuomba uangalie online radio zilipo bongo maana zipo lakini nyingi zinapumulia machine. Lakini pia angalia numbers kwa hizi radio au TV kubwa kama ITV, CLOUDS, EATV, CROWN zinapoenda online, wanapata viewers wangapi?.....

Angalia online podcast ambazo nyingi ni recorded kama msasa online, salama Na, pastor tony... Angalia pia performance yake kwenye platforms tofauti

Kumbuka zote hizi ni free lakini wewe umekuja na njia ya kulipia na unaona reaction ni nzuri. Ila ningekuomba upitie hizi categories taratibu, ukipata majibu yake naamini itakusaidia. All the best
Naji funza hapa.
 
Mkuu siwezi judge hustle zako kwa sababu sizielewi kwa sababu hata Mimi kuna watu hawanielewi

Lakini ningekuomba uangalie online radio zilipo bongo maana zipo lakini nyingi zinapumulia machine. Lakini pia angalia numbers kwa hizi radio au TV kubwa kama ITV, CLOUDS, EATV, CROWN zinapoenda online, wanapata viewers wangapi?.....

Angalia online podcast ambazo nyingi ni recorded kama msasa online, salama Na, pastor tony... Angalia pia performance yake kwenye platforms tofauti

Kumbuka zote hizi ni free lakini wewe umekuja na njia ya kulipia na unaona reaction ni nzuri. Ila ningekuomba upitie hizi categories taratibu, ukipata majibu yake naamini itakusaidia. All the best
Sawa, Shukrani mkuu.
 
Mie nakuomba komaa ifikie wakati watu watakuwa wanakubembeleza kuwa naomba tuwekeze pamoja ama naomba shares kadhaa. Kuna jamaa alikomaa shule ikawika watu wanamletea hata 400M wanamwambia chukua hizi upanue shule anakataa
 
Hongera.

Mimi sasa sina financial support Ila nahitaji kuwa nakutangazia bure.

Kipindi cha Madini kuwajenga watu akili katika mahusiano na maisha generally.

Najua tukiwa na vipindi vya michezo , maisha na mahusiano tunaweza kuongeza listeners .


Hongera Sana nimependa Sana unachokifanya.
 
Hongera.

Mimi sasa sina financial support Ila nahitaji kuwa nakutangazia bure.

Kipindi cha Madini kuwajenga watu akili katika mahusiano na maisha generally.

Najua tukiwa na vipindi vya michezo , maisha na mahusiano tunaweza kuongeza listeners .


Hongera Sana nimependa Sana unachokifanya.
Wasije wakaingilia kati tu wale jamaa wa una leseni ya mamlaka ya mapato una leseni ya biashara una leseni ya nini sijui bodi ya utangazaji habari na mawasiliano una vibari TCRA una certificate ya utangazaji, shule ulienda kusomea wapi uandishi wa habari na utangazaji? Empty talent inauliwa mchana kweupe character assassin hawakosekani hata Serikalini
 
Wasije wakaingilia kati tu wale jamaa wa una leseni ya mamlaka ya mapato una leseni ya biashara una leseni ya nini sijui bodi ya utangazaji habari na mawasiliano una vibari TCRA una certificate ya utangazaji, shule ulienda kusomea wapi uandishi wa habari na utangazaji? Empty talent inauliwa mchana kweupe character assassin hawakosekani hata Serikalini


Nafikiri Kijana Kama huyu anahitaji support maana akitoboa atatoa Ajira kwa vijana wengi so binafsi wasimzuie Ila asapotiwe zaidi maana ni hazina Kwa Taifa.
 
Nafikiri Kijana Kama huyu anahitaji support maana akitoboa atatoa Ajira kwa vijana wengi so binafsi wasimzuie Ila asapotiwe zaidi maana ni hazina Kwa Taifa.
Sasa Serikali yako hailijui hilo hivi unamkumbuka yule jamaa alianzisha uzi humu kuomba support kuna kitu ilibidi afanye kwenye masuala ya mawasiliano alitaka kuanzisha free WiFi nahisi kwa Dar ila alipoenda kuwaelezea TCRA walimwambia kuna gharama ya usajiri wa hio huduma anatakiwa alipie zaidi ya million 20 usajiri tu km sijasahau na kukosea na jamaa aliishia kuja JF kujielezea ila sijui km alitoboa, sasa nani anampa support your government is sleeping over there na ukienda kuomba support hupewi support mpaka utoe hela you see?
 
Sasa Serikali yako hailijui hilo hivi unamkumbuka yule jamaa alianzisha uzi humu kuomba support kuna kitu ilibidi afanye kwenye masuala ya mawasiliano alitaka kuanzisha free WiFi nahisi kwa Dar ila alipoenda kuwaelezea TCRA walimwambia kuna gharama ya usajiri wa hio huduma anatakiwa alipie zaidi ya million 20 usajiri tu km sijasahau na kukosea na jamaa aliishia kuja JF kujielezea ila sijui km alitoboa, sasa nani anampa support your government is sleeping over there na ukienda kuomba support hupewi support mpaka utoe hela you see?
Daaah 😢😢
 
Back
Top Bottom