Nahitaji website kwa 100k

Nahitaji website kwa 100k

Daah mnaharibu fani za watu..
Ndio maana mnapigwa
 
Hakuna ninayemnyonya mkuu,
Huwezi kufanya kama haina maslai,ambaye amefanya basi jua inamlipa.

Inbox yangu ina vijana wengi mpaka sasa wanataka hii kazi.
Hata mimi najua kuwa watakuja wengi. All in all hata mimi huwa natangaza kazi mbalimbali (graphics, web apps, mobile apps, etc) ila huwa naangalia bei ya soko ndo namlipa mtu siwezi mnyonya eti kisa wamekuja kibao.

By the way I'm a professional accountant na ethics and integrity huwa kwangu ni kipaumbele.

Think it this way:
Fani ya lawyers - muhuri tu wa ku attest/notarise wanacharge from 40k and above.

Fani ya accountants - muhuri kwenye hesabu za mwaka ni from 200k and above. Just muhuri.

Fani ya IT - website complete (hosting, domain, graphics, installations, customizations, etc) unataka uwape 100k.

Halafu unasema sio unyonyaji. Acheni kunyonya vijana wa IT bongo.
 
Hata mimi najua kuwa watakuja wengi. All in all hata mimi huwa natangaza kazi mbalimbali (graphics, web apps, mobile apps, etc) ila huwa naangalia bei ya soko ndo namlipa mtu siwezi mnyonya eti kisa wamekuja kibao.

By the way I'm a professional accountant na ethics and integrity huwa kwangu ni kipaumbele.

Think it this way:
Fani ya lawyers - muhuri tu wa ku attest/notarise wanacharge from 40k and above.

Fani ya accountants - muhuri kwenye hesabu za mwaka ni from 200k and above. Just muhuri.

Fani ya IT - website complete (hosting, domain, graphics, installations, customizations, etc) unataka uwape 100k.

Halafu unasema sio unyonyaji. Acheni kunyonya vijana wa IT bongo.
Kaka usisahau mimi ni photographer,
Graphic designer pia nafanya,
Ni muda tu umenibana pia photographer ni kazi ya ziada ndio mana sijaweka sana effort kubwa,na ainilipi kiiivo coz ajira maalum inanibana....
So nikitulia na YouTube naweza chomoa website nzuri tu...muda ndio tatizo..

Pia kama 100k haina maslai tunaweza lindana zaidi ki ungwana.

Sema mkuu umenisimamia kooni...haya hebu sema unataka niwalipe kiasi gani vijana na mimi napata kiasi gani kwa kila session moja ya wedding ya one hour.
 
Kaka usisahau mimi ni photographer,
Graphic designer pia nafanya,
Ni muda tu umenibana pia photographer ni kazi ya ziada ndio mana sijaweka sana effort kubwa,na ainilipi kiiivo coz ajira maalum inanibana....
So nikitulia na YouTube naweza chomoa website nzuri tu...muda ndio tatizo..

Pia kama 100k haina maslai tunaweza lindana zaidi ki ungwana.

Sema mkuu umenisimamia kooni...haya hebu sema unataka niwalipe kiasi gani vijana na mimi napata kiasi gani kwa kila session moja ya wedding ya one hour.
Lazima nikukalie kooni yes mana hakuna kitu kinaniuma kama maisha ya vijana wa kitanzania.

Pia nimefanya projects kadhaa na vijana wa IT udsm nayajua mapito yao. Na mtaani nayajua pia mapito yao mana nipo kwenye baadhi ya miradi inayopambania vijana.

Usimlipe mtu laki aisee, pataneni ila sio laki.

Na kama biashara bado haipo poa basi mlipe japo instalments. Unaweza mpa kidogo afanye kazi then mwezi mwingine ukamuongeza kadri mtavyopatana.
 
Au sio [emoji3] tena huko upwork kuna wapigaji balaa! Akalizwe hiyo laki yake bure akapatiwa facebook page [emoji3]
Hakuna mpigaji Upwork acha ujuaji pesa inawekwa bond mpaka Mwenye kazi ajiridhishe na Kazi yake ndo Upwork wanakabidhi pesa yote sasa upigaji gani huo unaoongelea wewe mkuu
 
Website ya laki😁.
Jamaa zangu wa ICT haya kazi kwenu😁
 
Chief-Mkwawa kwa status ulojijengea JF nadhani bora ungeachana na hii mada aisee. Kwamba ndo mtu atengeneze kwa 40k installations, customizations, graphics (logo, etc).

Watu wanajaziwa fomu za pasports or visa pale immigrations wanalipa above 60k just online form kwa mtu wa stationery. Leo hii ukamlipe dogo eti ainstall wp, apandishe theme, a customise afu umletee zile swaga rangii hii dah labda ungeweka ingine. Mara hiyo logo hapo haijakaa poa.

Ndo mana kumbe vijana wengi wa IT bongo wanakaa stationery wanaona bora ale hela ya kuchapa makaratasi na kujazia watu forms kuliko kuhangaika na profession ambayo watu hawaiheshimu.
Hayo mambo ya Rangi hii unayasema wewe mkuu, hajasema yeye, ambae anaona inamlipa anaweza wasiliana nae wakakubaliana,

Sababu ya hizi Complication ndio maana vitu kama website vinaonekana anasa na watu wanaamua tu wawe na Page FB ama Insta.

Mimi nimeongelea wordpress, hosting na Domain ki pro zaidi ila hii project unaweza fanya Blogspot, Wix, Tumblr etc ni website simple ya ku upload picha za Harusi.
 
Kwanza kabisa sidhani kama kuna provider walio stable wanatoa domain+ hosting kwa $25

Pia kumbuka hii ni site ya picha lazima hosting iwe ya uhakika sababu ya storage na speed

Anyway mimi naamini kwa kazi yake ni muhimu kuwa na site nzuri (speed + storage) for showcase, ni ngumu mtu kumtengenezea kwa hiyo bei labda huyo mtu ni rafiki ake

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimetumia Nexusbyte kwa muda mrefu sana kabla hawajazingua mwanzoni mwa mwaka huu, kuna Hostinger na wengine wengi tu.

Mwaka wa kwanza Domain provider karibia wote wanatoa punguzo mwaka wa pili ndio unaanza kulipa around $12.

Pia jamaa ana upload picha za harusi, pengine ni chini ya 1GB akatumia mwaka mzima as long as anajua kucompress picha zake.
 
Kaka usisahau mimi ni photographer,
Graphic designer pia nafanya,
Ni muda tu umenibana pia photographer ni kazi ya ziada ndio mana sijaweka sana effort kubwa,na ainilipi kiiivo coz ajira maalum inanibana....
So nikitulia na YouTube naweza chomoa website nzuri tu...muda ndio tatizo..

Pia kama 100k haina maslai tunaweza lindana zaidi ki ungwana.

Sema mkuu umenisimamia kooni...haya hebu sema unataka niwalipe kiasi gani vijana na mimi napata kiasi gani kwa kila session moja ya wedding ya one hour.
Nakushauri utulie huko youtube utengeneze mwenyewe uone kama hiyo 100k yako haijaishia kwenye vifurushi vya internet na hapo bado haujaambulia chochote! 😀 Na hapo bado haujalipia domain name, hosting n.k
 
Hiyo kazi inafanyika hosting ni $2.99/mon ifastnet
Domain 1.99 godady .com
Free WordPress installation, free theme na free plugins

Pia anaweza kupata premium theme na plugins kutoka kwa nulled communities

Mfano kiforum kangu hiki nilichouziwa mbuzi kwa gunia nakilipia $2.99 ila this mon ndio mwisho nipo radhi nikigawe bure TangaForums
 
Hiyo kazi inafanyika hosting ni $2.99/mon ifastnet
Domain 1.99 godady .com
Free WordPress installation, free theme na free plugins

Pia anaweza kupata premium theme na plugins kutoka kwa nulled communities

Mfano kiforum kangu hiki nilichouziwa mbuzi kwa gunia nakilipia $2.99 ila this mon ndio mwisho nipo radhi nikigawe bure TangaForums
Mkuu we subiri tu waje,utashambuliwa.
 
Back
Top Bottom