Nahitajika Mshirika tuchange naye BTTS mbili kianzio 10000 kila siku formula hii hapa

Nahitajika Mshirika tuchange naye BTTS mbili kianzio 10000 kila siku formula hii hapa

Niliwahi kupata hili wazo nikaweka hadi timu 1 na nikaliwa 🤣🤣
 
Sina mambo Mengi sana ipo hivi nataka mshirika aliye serious tufanye ushirikiano wa kula hela japo ndogondogo kila siku formula hii hapa yeye Atachagua team moja ya GG Na Mimi nitachagua yangu moja kisha tutazicombine na angalau zikitoa maximum odds ya 3 basi tunaweka mzigo wa 20000 yeye 10000 na mimi 10000 ikitiki Mara ya kwanza tunagawa ile faida ya 40000 sawa kwa sawa na kesho tena tunatupia ile 20000 kianzio chetu.


Tukikosa siku hiyo tunatulia ila kesho tuna upgrade stake yeye aweke 20000 na Mimi niweke 20000 option ni ile ile team moja moja za GG Means kwamba 40000 yetu Mara odds 3 tutapata 120000 tutagawana 100000 na kesho yake tutaweka tena stake ya 20000.


Day 1-20,000 x3=60000
Day 2-40,000 X 3=120,000
Day 3-80,000 x 3=240,000

Ila kila tutapokuwa tunakula basi tu narudi kwenye mtaji wetu wa mwanzo wa 20000 ili tusiumie sana.
NB:lengo la kutafuta partner ni ili kupunguza Maumivu endapo tutaliwa ili tupeane moyo tusikate tamaa.

Stake tutaachiana zamu kuweka leo kwako kesho kwangu hivohivo kama kuna swali nakaribisha.Na kama mtu anataka tufanye Demo ya 1000 tufanye naye ili aone kama ni kweli inalipa
Hiyo inaitwa Martinegale technique. Ukiwa unaiwaza inaonekana kama effective hivi, ila in long run unaishia kupoteza kibunda cha haja.
 
Just ombi hamna neno mbadala wa "kuliwa".
Kuna sehemu ilileta kesi mke alimpigia simu mumewe akimuarifu yuko kwa mchina na "ameliwa" mara mbili halafu simu ikakatika sijui kiliendelea nini baadaye.
 
Maccabi Haifa vsMaccabi Tel AvivISR 21:30
BTTS/GG

Persik Kediri vs Bali United
INDO PL 15:00
BTTS/GG

Vasas vs Szeged 2011
HUN 22:00
BTTS/GG

Apoel Nicosia vs AEK Larnaca
CYP 20:00
BTTS/GG

Ethnikos Achna vs AE Zakakiou
CYP 20:00

Kesho fuatilia hizi Mechi za leo lazima ukute GG zaidi ya tatu ama nne SO NDO MAANA NATAKA MSHIRIKA MMOJA ILI MIMI NITOE MOJA TU YA UHAKIKA NA YEYE ATOE YAKE YA UHAKIKA

Kubeti sio rahisi hivo mkuu kiasi kwamba Hadi useme kuna kutoa mechi ya uhakika

Katika hizo mechi 5 ni 2 tu ndio zimetoa GG kwahiyo kuna possiblity kubwa katika kuchagua kwako hiyo team mechi unayosema ya uhakika ungechagua katika hizo 3 ambazo hazijatoa

Bet pale ambapo unaona hisia zako zinakuambia ubet, usibet kila siku ikawa addiction, ukiwa addicted utakuwa unaliwa 200000 wewe unakula 40000 unafurahi kuwa umekula

ila katika long run utajikuta umeliwa 1M alafu wewe ulikula 200k ila ukila unapata Amani ya moyo na mzuka kuwa maybe upepo ndio umekuja kumbe wapi
 
Back
Top Bottom