Naibu Nishati: Tumelazimika kutafuta wakandarasi wa bei kubwa lakini kwa uharaka. Aahidi kadhia ya umeme kukoma Januari

Naibu Nishati: Tumelazimika kutafuta wakandarasi wa bei kubwa lakini kwa uharaka. Aahidi kadhia ya umeme kukoma Januari

MKUU UMEFAFANUA VYEMA KABISA NA NAFURAHI PIA KUA BADO ASILIMIA KUBWA WATANZANIA TUNA AKILI SANA YA KUHOJI NA HATUWEZ KUDANGANYWA KIPUMBAVU AU KIJINGA, ILA SASA TUKIHOJI HIVI TUNAAMBIWA KUA TUNAPENDA VYA BURE, TUMEMSIKIA HUKO ARUSHA AKITUNANGA WATANZANIA KUA TUNAPENDA VYA BURE, NAONA AMEANZA KULEWA MADARAKA, AULIZIE WALIOLEWA MADARAKA WAKO WAPI KWA SASA, WENGINE NI MAREHEMU, WENGINE WAKO THE HAGUE.
Mama ni ana bahati ya kupata hela ila ni kilaza; angekuwa na dira kwa hela alizotoa ndani ya mfupi mfupi asingewavumilia watu wanaofanya atukanwe wakati amewapa rasimali fedha ya kutosha.

Amewapa nyezo zote za kushinda vita kama angekuwa msimamizi mkali na mwenye angenda ya kuona matokeo chanya ila wamemwangusha.

Hana uwezo wa kuongoza nchi

Jamani rahisi Samia kawapa hela za kufanya mambo makubwa hawa watu kwa muda mfupi; ila na wao wamezipiga kweli kweli.

Ndio hapo akubali hana uwezo wa kuendesha nchi.

Huyu mama mafisadi wamemwaribia, yaani kwa alivyowapa walitakiwa wamfanyie makubwa sana.

Ni malkia wa nyuki anafanya kazi kubwa kuwafurahisha walambaji. Amejitahidi lakini hana uwezo wa kusimamia nchi (huo ndio ukweli).
 
Baada ya Mvua kunyesha, mnabadili visingizio?

Bado CCM mnazidi kuhangaika na "UFISADI"

Makamba alituambia Magufuli aliizeesha Mitambo,hivyo tumpe Muda airekebishe!

Baadae akabadili ikawa ni Uchakavu wa njia za kusafirishia Umeme!

Baadae ikawa ni Ukame,ingawa aliumbuliwa na Meneja wa Bwawa la Mtera!

Majuzi tena ametuambia ni Ukame nchi nzima!

Sasa Mvua zimeanza mmebadili gear kwamba ni Mitambo ya Gesi?

Makamba huyohuyo anatuambia Tanesco inao uwezo wa kuzalisha Megawati 1900.

Mahitaji na Matumizi halisi ya Watanzania nchini ni Megawati 1500 pekee.
Hivyo tunayo ziada ya megawati 400.

Lakini tunayo shortage ya Megawati 2oo kutokana na Ukame!

Je! Hizi Megawati zingine 200 kati zimeenda wapi?

Hivi hili bunge halina kamati ya Nishati?

Kama ipo mbona hatuioni ikihangaika na huu udanganyifu?

Au kwa sababu ma-Chawa kina "Musukuma" ndio wajumbe wa kamati hiyo?

CCM mnatia aibu Sana!
CCM mnatuudhi sana!
CCM mmezeeka mpaka mmeuchoka uzee!
Sasa mnatamani kuzama na CCM yenu!
Kiongozi mwenye kutafuta visingizio kila siku, ili aweze kukwepa majukumu yake ya kutafuta ufumbuzi wa kudumu katika eneo la kazi hafai hata kidogo kupewa dhamana hiyo.

Kiongozi mwenye kupenda kupeleka lawama kwa watu wengine ili tu aweze kuhalalisha madhaifu hatufai hata kidogo.

Badala ya kujikita katika kutafuta vyanzo vingine mbadala vya nishati ya umeme wakati wa dharira kama vile makaa ya mawe, mionzi jua na upepo, wao hutafuta visingizio kila siku katika matatizo ya uzalishaji wa umeme kupitia vyanzo gesi na maji.

Toka lini jambo la dharura likakabiliwa ni mipango ya "business as usual"!? Ukame kila baada ya muda hujitokeza katika maeneo mbalimbali barani Afrika, na kusabanisha "power rationing" lakini nchi nyingine makini ndivyo hufanya kama sisi ili kukabiliana na uhaba wa nishati hii muhimu!?

Tuseme ukweli tu, akili ndogo ya kitaalamu haiwezi kutatua "complex problem" zaidi ya kutafuta visingizio ili kulikwepa tatizo. Ni heri kumpa dhamana katika wizara hii mtu mwenye uthubutu wa kuleta matokeo, kuliko kuweka "just a figurehead" eti tu kwa kuwa ni sehemu ya kufanikisha ufisafi wa kimkakati.

Mimi siyo sehemu ya kile kinachoitwa "sukuma gang" lakini Mh. Kalemani aliitendea haki wizara kwa kumlinganisha na huyu "office bearer" wa sasa.
 
Naibu waziri wa Nishati amewaomba watanzania kuwavumilia na kwasasa wanarekebisha mitambo ya gesi yenye matatizo na wanaamini kufikia Januari tatizo kama litakuwa halijapungua kabisa litakuwa limekwisha.

Naibu waziri amesema wamelazimia kuwapata wakandarasi wenye gharama kubwa kurekebisha mitambo hiyo lakini kwa uharaka ili kuweza kutatua tatizo lakini sasa wamejifunza na tatizo halitajirudia.

Pia Byabato amesema kipindi kifupi kijacho watajaza maji katika bwawa la Nyerere kufanya majaribio ya uzalishaji umeme na mpaka kukamilika kwake litagaharimu jumla ya trilioni 6.5 ambapo mpaka sasa Rais Samia ameshatoa zaidi ya trilioni 4 na ukikamilika utazidi uwezo wa Tanzania kuzalisha umeme uliopo sasa.

Mkandarasi mwenye gharama kubwa sio 😁😁😁 ndani yake kuna 10% zenu kwani nani hawajui ninyi wachumi wa tumbo.
 
Hivi kwanini kwenye ziara zote za RAIS Samia, Waziri wa nishati mara zote anawakilishwa na Byabato?!... Sijawahi kumwona ata mara moja akiambatana na RAIS wetu kwenye ziara za hapa nchini kwetu tangu kuteuliwa kwake.
 
Kukosekana kwa umeme wa uhakika ni.... failure plan ya wachumia TUMBO Waliojipa madaraka ya kutuongoza,
Kama hauna uwezo wa kutatua titizo wewe ni sehemu ya,tatizo sasa wapishe hapo wote.....
 
MKUU, KWA HESHIMA KUBWA KABISA NIKUAMBIE NA NIWAAMBIE NA WATANZANIA WOTE KUA WIZARA YA NISHATI NZIMA ILIYOPO TANZANIA IKIONGOZWA NA TANESCO NI KICHAKA CHA MAFISADI WA KUTISHA, MATAPELI WA VIWANGO VYA KUSHANGAZA, WEZI WA KUTISHA KABISA KUWAHI KUTOKEA TANGU DUNIA KUUMBWA, NA HILI NI KAMA LILE LA ESCROW NA DOWANS LINARUDI KWASTAILI NYINGINE ILA MUNGU WETU AISHIVYO IPO SIKU.
Huko mkuu ndiko pesa zinakopigwa kweupe
 
Hivi kwanini kwenye ziara zote za RAIS Samia, Waziri wa nishati mara zote anawakilishwa na Byabato?!... Sijawahi kumwona ata mara moja akiambatana na RAIS wetu kwenye ziara za hapa nchini kwetu tangu kuteuliwa kwake.
Anakuwa busy na kazi za Rostam
 
Naibu waziri wa Nishati amewaomba watanzania kuwavumilia na kwasasa wanarekebisha mitambo ya gesi yenye matatizo na wanaamini kufikia Januari tatizo kama litakuwa halijapungua kabisa litakuwa limekwisha.

Naibu waziri amesema wamelazimia kuwapata wakandarasi wenye gharama kubwa kurekebisha mitambo hiyo lakini kwa uharaka ili kuweza kutatua tatizo lakini sasa wamejifunza na tatizo halitajirudia.

Pia Byabato amesema kipindi kifupi kijacho watajaza maji katika bwawa la Nyerere kufanya majaribio ya uzalishaji umeme na mpaka kukamilika kwake litagaharimu jumla ya trilioni 6.5 ambapo mpaka sasa Rais Samia ameshatoa zaidi ya trilioni 4 na ukikamilika utazidi uwezo wa Tanzania kuzalisha umeme uliopo sasa.

Economic hitmen wapo kazini, na kibaya kabisa tena kabisa wanafahamu watanzania hatuna umoja yaani mfano Zitto alishakula rushwa ukijumlisha na udini wake kwa muislamu mwenzake Rais Samia basi kimyaa utadhani hakuna kinachoendelea. Na niwahakikishie na nina uhakika hili suala la umeme yaani kipindi hiki ni afadhali mno, kipindi kijacho hali itakuwa mbaya sana tena sana. Kama unaweza nunua jenereta tu. Economic hitmen watahakikisha miundombinu yetu ya umeme iko vibaya sana ili tushindwe kabisa uwekezaji wa viwanda na wale waliopo waondoke. Kingine wanahakikisha wanatukopesha mikopo mingi ili baaaye wachukue resources kiurahisi. Wanasiasa wetu wengi wapo kwenye payroll za economic hitmen. Watajifanya kuonesha nia ila lengo hasa ni kuhakikisha mambo yanakuwa mbaya ili hao hao economic hitmen waje waseme tunawasaidia. Mfano tu kuharibika hiyo mitambo ya gas ni hujuma na bado.
 
Naibu waziri wa Nishati amewaomba watanzania kuwavumilia na kwasasa wanarekebisha mitambo ya gesi yenye matatizo na wanaamini kufikia Januari tatizo kama litakuwa halijapungua kabisa litakuwa limekwisha.

Naibu waziri amesema wamelazimia kuwapata wakandarasi wenye gharama kubwa kurekebisha mitambo hiyo lakini kwa uharaka ili kuweza kutatua tatizo lakini sasa wamejifunza na tatizo halitajirudia.

Pia Byabato amesema kipindi kifupi kijacho watajaza maji katika bwawa la Nyerere kufanya majaribio ya uzalishaji umeme na mpaka kukamilika kwake litagaharimu jumla ya trilioni 6.5 ambapo mpaka sasa Rais Samia ameshatoa zaidi ya trilioni 4 na ukikamilika utazidi uwezo wa Tanzania kuzalisha umeme uliopo sasa.

Wachaneni na ma umeme ya maji, ongezeni mitambo ya dharula ya Gas
 
Naibu waziri wa Nishati amewaomba watanzania kuwavumilia na kwasasa wanarekebisha mitambo ya gesi yenye matatizo na wanaamini kufikia Januari tatizo kama litakuwa halijapungua kabisa litakuwa limekwisha.

Naibu waziri amesema wamelazimia kuwapata wakandarasi wenye gharama kubwa kurekebisha mitambo hiyo lakini kwa uharaka ili kuweza kutatua tatizo lakini sasa wamejifunza na tatizo halitajirudia.

Pia Byabato amesema kipindi kifupi kijacho watajaza maji katika bwawa la Nyerere kufanya majaribio ya uzalishaji umeme na mpaka kukamilika kwake litagaharimu jumla ya trilioni 6.5 ambapo mpaka sasa Rais Samia ameshatoa zaidi ya trilioni 4 na ukikamilika utazidi uwezo wa Tanzania kuzalisha umeme uliopo sasa.

Wakati wa shida ndio wakati wa neema.
 
Naibu waziri wa Nishati amewaomba watanzania kuwavumilia na kwasasa wanarekebisha mitambo ya gesi yenye matatizo na wanaamini kufikia Januari tatizo kama litakuwa halijapungua kabisa litakuwa limekwisha.

Naibu waziri amesema wamelazimia kuwapata wakandarasi wenye gharama kubwa kurekebisha mitambo hiyo lakini kwa uharaka ili kuweza kutatua tatizo lakini sasa wamejifunza na tatizo halitajirudia.

Pia Byabato amesema kipindi kifupi kijacho watajaza maji katika bwawa la Nyerere kufanya majaribio ya uzalishaji umeme na mpaka kukamilika kwake litagaharimu jumla ya trilioni 6.5 ambapo mpaka sasa Rais Samia ameshatoa zaidi ya trilioni 4 na ukikamilika utazidi uwezo wa Tanzania kuzalisha umeme uliopo sasa.

😞😞😞😞😞😞
Tanzania yangu kila kukicha inakucha na yake, maneno mengi kuliko vitendo, vitendo ni vingi matokeo sifuri, mpaka liniii haya yataisha
 
Naibu waziri wa Nishati amewaomba watanzania kuwavumilia na kwasasa wanarekebisha mitambo ya gesi yenye matatizo na wanaamini kufikia Januari tatizo kama litakuwa halijapungua kabisa litakuwa limekwisha.

Naibu waziri amesema wamelazimia kuwapata wakandarasi wenye gharama kubwa kurekebisha mitambo hiyo lakini kwa uharaka ili kuweza kutatua tatizo lakini sasa wamejifunza na tatizo halitajirudia.

Pia Byabato amesema kipindi kifupi kijacho watajaza maji katika bwawa la Nyerere kufanya majaribio ya uzalishaji umeme na mpaka kukamilika kwake litagaharimu jumla ya trilioni 6.5 ambapo mpaka sasa Rais Samia ameshatoa zaidi ya trilioni 4 na ukikamilika utazidi uwezo wa Tanzania kuzalisha umeme uliopo sasa.

Hivi hii inchi ina wanaume kweli??? Kuvumilia huu ujinga??
 
Wachaga wamekufanya nini mkuu kila mtu unadhani mchaga[emoji1787][emoji23]Byabato toka lini akawa mchaga
Nawakubali sana wachagga wao ndio walituletea Television baada ya wale Wahindi wa CTN na DTV
 
Naibu waziri wa Nishati amewaomba watanzania kuwavumilia na kwasasa wanarekebisha mitambo ya gesi yenye matatizo na wanaamini kufikia Januari tatizo kama litakuwa halijapungua kabisa litakuwa limekwisha.

Naibu waziri amesema wamelazimia kuwapata wakandarasi wenye gharama kubwa kurekebisha mitambo hiyo lakini kwa uharaka ili kuweza kutatua tatizo lakini sasa wamejifunza na tatizo halitajirudia.

Pia Byabato amesema kipindi kifupi kijacho watajaza maji katika bwawa la Nyerere kufanya majaribio ya uzalishaji umeme na mpaka kukamilika kwake litagaharimu jumla ya trilioni 6.5 ambapo mpaka sasa Rais Samia ameshatoa zaidi ya trilioni 4 na ukikamilika utazidi uwezo wa Tanzania kuzalisha umeme uliopo sasa.

maneno yao yatakuja kuwatafuna,nawatahadharishwa wawe na akiba ya maneno.mwenzake alisema tuna surplus naye huyu waitu anabwabwaja ya kwake.kweli nchi hii ni ngumu sana.
 
Back
Top Bottom