Naibu Nishati: Tumelazimika kutafuta wakandarasi wa bei kubwa lakini kwa uharaka. Aahidi kadhia ya umeme kukoma Januari

Naibu Nishati: Tumelazimika kutafuta wakandarasi wa bei kubwa lakini kwa uharaka. Aahidi kadhia ya umeme kukoma Januari

Naibu waziri wa Nishati amewaomba watanzania kuwavumilia na kwasasa wanarekebisha mitambo ya gesi yenye matatizo na wanaamini kufikia Januari tatizo kama litakuwa halijapungua kabisa litakuwa limekwisha.

Naibu waziri amesema wamelazimia kuwapata wakandarasi wenye gharama kubwa kurekebisha mitambo hiyo lakini kwa uharaka ili kuweza kutatua tatizo lakini sasa wamejifunza na tatizo halitajirudia.

Pia Byabato amesema kipindi kifupi kijacho watajaza maji katika bwawa la Nyerere kufanya majaribio ya uzalishaji umeme na mpaka kukamilika kwake litagaharimu jumla ya trilioni 6.5 ambapo mpaka sasa Rais Samia ameshatoa zaidi ya trilioni 4 na ukikamilika utazidi uwezo wa Tanzania kuzalisha umeme uliopo sasa.

Tangu mwaka 1991 tulikuwa tunaaambiwa tatizo la kukatika kwa umeme litakuwa historia hadi leo lugha ileile, yaani Watanzania tumefanywa vifaranga vya kuku tutanyonya keho.
 
Kweli hii nchi toka uhuru 1961 tunahangaika na umeme na maji kwa watu wetu?
 
Baada ya Mvua kunyesha, mnabadili visingizio?

Bado CCM mnazidi kuhangaika na "UFISADI"

Makamba alituambia Magufuli aliizeesha Mitambo,hivyo tumpe Muda airekebishe!

Baadae akabadili ikawa ni Uchakavu wa njia za kusafirishia Umeme!

Baadae ikawa ni Ukame,ingawa aliumbuliwa na Meneja wa Bwawa la Mtera!

Majuzi tena ametuambia ni Ukame nchi nzima!

Sasa Mvua zimeanza mmebadili gear kwamba ni Mitambo ya Gesi?

Makamba huyohuyo anatuambia Tanesco inao uwezo wa kuzalisha Megawati 1900.

Mahitaji na Matumizi halisi ya Watanzania nchini ni Megawati 1500 pekee.
Hivyo tunayo ziada ya megawati 400.

Lakini tunayo shortage ya Megawati 2oo kutokana na Ukame!

Je! Hizi Megawati zingine 200 kati zimeenda wapi?

Hivi hili bunge halina kamati ya Nishati?

Kama ipo mbona hatuioni ikihangaika na huu udanganyifu?

Au kwa sababu ma-Chawa kina "Musukuma" ndio wajumbe wa kamati hiyo?

CCM mnatia aibu Sana!
CCM mnatuudhi sana!
CCM mmezeeka mpaka mmeuchoka uzee!
Sasa mnatamani kuzama na CCM yenu!
Mvua zimenyesha kidatu,mtera na nyumba ya Mungu!?..ni mvua kiasi gani imenyesha?
 
Naibu waziri wa Nishati amewaomba watanzania kuwavumilia na kwasasa wanarekebisha mitambo ya gesi yenye matatizo na wanaamini kufikia Januari tatizo kama litakuwa halijapungua kabisa litakuwa limekwisha.

Naibu waziri amesema wamelazimia kuwapata wakandarasi wenye gharama kubwa kurekebisha mitambo hiyo lakini kwa uharaka ili kuweza kutatua tatizo lakini sasa wamejifunza na tatizo halitajirudia.

Pia Byabato amesema kipindi kifupi kijacho watajaza maji katika bwawa la Nyerere kufanya majaribio ya uzalishaji umeme na mpaka kukamilika kwake litagaharimu jumla ya trilioni 6.5 ambapo mpaka sasa Rais Samia ameshatoa zaidi ya trilioni 4 na ukikamilika utazidi uwezo wa Tanzania kuzalisha umeme uliopo sasa.

Politics from politicians
 
Naibu waziri wa Nishati amewaomba watanzania kuwavumilia na kwasasa wanarekebisha mitambo ya gesi yenye matatizo na wanaamini kufikia Januari tatizo kama litakuwa halijapungua kabisa litakuwa limekwisha.

Naibu waziri amesema wamelazimia kuwapata wakandarasi wenye gharama kubwa kurekebisha mitambo hiyo lakini kwa uharaka ili kuweza kutatua tatizo lakini sasa wamejifunza na tatizo halitajirudia.

Pia Byabato amesema kipindi kifupi kijacho watajaza maji katika bwawa la Nyerere kufanya majaribio ya uzalishaji umeme na mpaka kukamilika kwake litagaharimu jumla ya trilioni 6.5 ambapo mpaka sasa Rais Samia ameshatoa zaidi ya trilioni 4 na ukikamilika utazidi uwezo wa Tanzania kuzalisha umeme uliopo sasa.

Yule aliyesema mwishoni mwa disemba alimaanisha kuwa deals zake zitakuwa zimekamilika december? Huyu naye deals zake ni mpaka january?
 
Swali la kujiuliza ni vigezo gani vilivyo tumika kuajiri outside sources zenye gharama kutokana na tatizo lilikuwepo?

Nature ya tatizo ni beyond ya engineers wetu?

Kwanini hawana utaalamu wa kutatua hilo tatizo? Hawana uelewa wa mechanical system nzima to how it works, na kwanini awakupewa training kabla ya kusimamia operation (there is no point of having engineers the oversee the system if they can’t do trouble shoot or repair faults).

Kwa kifupi hiyo wizara inahitaji mtaalamu. TANESCO ni technical
ni taasisi chache duniani ambazo zinataka mtaalamu wa maswala ya umeme aliefundishwa management skills. with time; sio mropokaji kama Maharage Chande.

Juzi nimemskiliza mkurugenzi wa TANESCO anaapa hakuna kufunguliwa kwa maji.

Sasa nilitegemea kwenye kuhakikisha kwake atasema tunajua kisayansi mabwawa yote ya maji yakijaa kila moja muda wake wa kuisha.

Tunapokea report ya kina cha maji kila siku na kujiridhisha kutokana na matumizi yake kisayansi na kama kuna sababu za kupungua kwa kina tofauti na sababu za kisayansi tunachunguza.

Tuna yellow and red alerts za kuchukua tahadhari kuhakikisha maji yapo na kuelezea nini kinafanyika kabla ya chanzo kukosa maji ya kuzalisha umeme..

Hila majibu yake yalikuwa ujinga mtupu ayaonyeshi kama mtu mwenye uelewa wa inventory control ya mabwawa.

Huyo waziri mwenyewe ukimsikiliza ndio salaleh, muhimu asije kujiongombea na rafiki zake wengine anaotaka kuwapa departments sensitive hawana wanachokijua.

Huyu Makamba aliwaondoa wabobezi kwenye bodi ya Tanesco ameweka washikaji, wapigaji, matajiri wasio na utaalamu wa kutosha.


Tutegemee visingio kibao kama kawaida sio kutatua changamoto. Kama kawaida ya hii serikali na hii wizara Kwa sasa.
 
Naibu waziri wa Nishati amewaomba watanzania kuwavumilia na kwasasa wanarekebisha mitambo ya gesi yenye matatizo na wanaamini kufikia Januari tatizo kama litakuwa halijapungua kabisa litakuwa limekwisha.

Naibu waziri amesema wamelazimia kuwapata wakandarasi wenye gharama kubwa kurekebisha mitambo hiyo lakini kwa uharaka ili kuweza kutatua tatizo lakini sasa wamejifunza na tatizo halitajirudia.

Pia Byabato amesema kipindi kifupi kijacho watajaza maji katika bwawa la Nyerere kufanya majaribio ya uzalishaji umeme na mpaka kukamilika kwake litagaharimu jumla ya trilioni 6.5 ambapo mpaka sasa Rais Samia ameshatoa zaidi ya trilioni 4 na ukikamilika utazidi uwezo wa Tanzania kuzalisha umeme uliopo sasa.

Huu uchawa huu,Samia anatoa wapi tilioni 4.5!kujenga mradi wa Taifa,kama anahizo pesa,alitaka Uraisi wa nini?
 
Mkandarasi mwenye gharama kubwa sio 😁😁😁 ndani yake kuna 10% zenu kwani nani hawajui ninyi wachumi wa tumbo.

Huu mgao wameutengeneza ili kupiga hela, sasa wameona mvua zimeanza kunyesha, Imebidi waseme kuna wataalamu wa bei mbaya haraka ili maji yakijaa kwenye mabwawa, waseme hao wataalamu ndio wametengeneza.
 
Back
Top Bottom