Naibu Rais wa Kenya maji ya shingo, akimbilia mahakamani kujaribu kuzuia kung'olewa kwenye nafasi yake

Naibu Rais wa Kenya maji ya shingo, akimbilia mahakamani kujaribu kuzuia kung'olewa kwenye nafasi yake

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Naibu wa rais Kenya amelazimika kukimbilia mahakamani kujaribu kuzuia mchakato wa kubanduliwa kwake ofisini ingawa uwezekano wa bunge kumuondoa bado ni mkubwa zaidi.

Tayari wabunge wapatao 242 wameridhia muswada huo kuletwa bungeni kati ya angalau wabunge 117 waliohitajika kisheria.

Endapo spika ataridhika kwamba matakwa ya kisheria yametimizwa ataidhinisha mjadala wa hoja na kupiga kura katika kikao cha mashauriano, na iwapo theluthi mbili ya wabunge yaani wabunge 233 kati ya 349 watapiga kura ya ndiyo ili Gachagua aondolewe mamlakani, basi ni mahakama pekee ndiyo inaweza kumnusuru asalie kwenye nafasi yake kwa mujibu wa katiba ya Kenya ya 2010.

Pamoja na mambo mengine, Naibu wa Rais huyo wa Kenya Rigathi Gachagua, anatuhumiwa kukiuka katiba, kukiuka sheria za nchi, utovu wa nidhamu uliokithiri, matumizi mabaya ya ofisi na tuhuma nyingine nyingine ambazo zitawekwa wazi na mtoa hoja mapema wiki ijayo.

Ni yapi maoni yako, ajiuzulu au apambane?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Viongozi ngazi za juu wakiondolewa heshma ya viongozi kwa wananchi huongezeka...sisi hukukwetu Kila kukicha ni kiongozi wajuu anafukuzafukuza wachini vyeo wakati mwenyewe anafanya vitu duni kabisa!!
Huyo G atimuliwe huwa anamudomo murefu na Ako na mazereu mob😁
 
Viongozi ngazi za juu wakiondolewa heshma ya viongozi kwa wananchi huongezeka...sisi hukukwetu Kila kukicha ni kiongozi wajuu anafukuzafukuza wachini vyeo wakati mwenyewe anafanya vitu duni kabisa!!
Huyo G atimuliwe huwa anamudomo murefu na Ako na mazereu mob😁
Huyo haondolewi Kwa maslahi ya wananchi huyo anaondolewa Kwa maslahi na bifu na mkumbwa wake wa kazi
 
Viongozi ngazi za juu wakiondolewa heshma ya viongozi kwa wananchi huongezeka...sisi hukukwetu Kila kukicha ni kiongozi wajuu anafukuzafukuza wachini vyeo wakati mwenyewe anafanya vitu duni kabisa!!
Huyo G atimuliwe huwa anamudomo murefu na Ako na mazereu mob😁
Katiba yetu ni mbovu sn haina maana yoyote
 

Attachments

  • IMG_20240929_065255_7.jpg
    IMG_20240929_065255_7.jpg
    1.4 MB · Views: 4
Huu ni unafiki mkubwa na kukosa fadhila kwa Ruto, kwasbb bila Rigathe Gachagua kumpambania asingeweza kupata kiti cha urais. Ame-play role kubwa sana.

Hiki ndicho alichokifanya Samia pia. Baada ya kifo cha jiwe, sukuma gang hawakutaka Samia ashike wadhifa wa urais....walitaka wamchezee kekundu.

Msoga gang ikasimama kidete kuhakikisha Samia anakikalia kiti. Lkn hivi sasa Samia anaisulubu Msoga gang na kuikumbatia Sukuma gang.
 
Unaumia ukiwa wapi?
Huu ni unafiki mkubwa na kukosa fadhila kwa Ruto, kwasbb bila Rigathe Gachagua kumpambania asingeweza kupata kiti cha urais. Ame-play role kubwa sana.

Hiki ndicho alichokifanya Samia pia. Baada ya kifo cha jiwe, sukuma gang hawakutaka Samia ashike wadhifa wa urais....walitaka wamchezee kekundu.

Msoga gang ikasimama kidete kuhakikisha Samia anakikalia kiti. Lkn hivi sasa Samia anaisulubu Msoga gang na kuikumbatia Sukuma gang.
 
Huu ni unafiki mkubwa na kukosa fadhila kwa Ruto, kwasbb bila Rigathe Gachagua kumpambania asingeweza kupata kiti cha urais. Ame-play role kubwa sana.

Hiki ndicho alichokifanya Samia pia. Baada ya kifo cha jiwe, sukuma gang hawakutaka Samia ashike wadhifa wa urais....walitaka wamchezee kekundu.

Msoga gang ikasimama kidete kuhakikisha Samia anakikalia kiti. Lkn hivi sasa Samia anaisulubu Msoga gang na kuikumbatia Sukuma gang.
kwamba hata ingalikua ni wewe, unamuacha tu atambe kwa kumnyima au kukataa kukataa kumpa kiwango cha rushwa anayoitaka ili aachie nafasi ya unaibu wa Rais, tana anagonga meza kabisaa dah kibabe?🐒
 

Attachments

  • IMG_20240929_100431_4.jpg
    IMG_20240929_100431_4.jpg
    1.4 MB · Views: 5
  • Thanks
Reactions: G4N
Back
Top Bottom