Naibu Rais wa Kenya maji ya shingo, akimbilia mahakamani kujaribu kuzuia kung'olewa kwenye nafasi yake

Naibu Rais wa Kenya maji ya shingo, akimbilia mahakamani kujaribu kuzuia kung'olewa kwenye nafasi yake

Huyu mzee yupo pale kama pambo hata yeye job description yake ukimuuliza hajui
Hata Kenya awali walikua na vice president kama ilivyo Tanzania tu.
ambae ni principal assistant to the head of the state. Full stop.

sasa kwenye katiba yao mpya ya 2010, wakabadili kutoka vice president hadi deputy president kwa mbwembwe na ujuaji mwiiiingi wa kazi na majukumu ya kisheria ya naibu wa Rais,

sasa haya wanayopitia ni miongoni mwa matokeo yake na yanaonekana kuithiri Kenya pakubwa tangu baaada ya uchaguzi wa 2018 ya katika serikali ya Uhuru na Ruto 🐒
 
Naibu wa rais Kenya amelazimika kukimbilia mahakamani kujaribu kuzuia mchakato wa kubanduliwa kwake ofisini ingawa uwezekano wa bunge kumuondoa bado ni mkubwa zaidi.

Tayari wabunge wapatao 242 wameridhia muswada huo kuletwa bungeni kati ya angalau wabunge 117 waliohitajika kisheria.

Endapo spika ataridhika kwamba matakwa ya kisheria yametimizwa ataidhinisha mjadala wa hoja na kupiga kura katika kikao cha mashauriano, na iwapo theluthi mbili ya wabunge yaani wabunge 233 kati ya 349 watapiga kura ya ndiyo ili Gachagua aondolewe mamlakani, basi ni mahakama pekee ndiyo inaweza kumnusuru asalie kwenye nafasi yake kwa mujibu wa katiba ya Kenya ya 2010.

Pamoja na mambo mengine, Naibu wa Rais huyo wa Kenya Rigathi Gachagua, anatuhumiwa kukiuka katiba, kukiuka sheria za nchi, utovu wa nidhamu uliokithiri, matumizi mabaya ya ofisi na tuhuma nyingine nyingine ambazo zitawekwa wazi na mtoa hoja mapema wiki ijayo.

Ni yapi maoni yako, ajiuzulu au apambane?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Hapa kwetu kuongea tu na waandishi wa habari unakamatwa na polisi. Sijui ni lini tutaondokana na utumwa wa CCM?
 
Hata Kenya awali walikua na vice president kama ilivyo Tanzania tu.
ambae ni principal assistant to the head of the state. Full stop.

sasa kwenye katiba yao mpya ya 2010, wakabadili kutoka vice president hadi deputy president kwa mbwembwe na ujuaji mwiiiingi wa kazi na majukumu ya kisheria ya naibu wa Rais,

sasa haya wanayopitia ni miongoni mwa matokeo yake na yanaonekana kuithiri Kenya pakubwa tangu baaada ya uchaguzi wa 2018 ya katika serikali ya Uhuru na Ruto 🐒
Mpango anafaida gani zaidi ya kutuongezea gharama tu walipa kodi?
 
Mama kasema muwe mnamsaidia kujibu tuhuma dhidi yake, hayo ya majirani hayakuhusu..
 
Mama kasema muwe mnamsaidia kujibu tuhuma dhidi yake, hayo ya majirani hayakuhusu..
si kweli hata kidogo, hakuna tuhuma hata kidogo..

hata hivyo,
kila mTanzania mzalendo mwenye mapema mema anawajibu wa kuisemea Tanzania bila ruhusa kutoka popote..

wapinzani waache Imani potofu za kushirikiana, ramli chonganishi, kutoana kafara, waache kuwafanya vijana wao misukule na kusingizia sijui nini na nini huko 🐒
 
Ndiyo maana Kenya ipo juu kimaendeleo huku nchi ya kijinga hata diwani hatuwezi kumtoa sababu ya katiba ya kishetani
Hayomaendeleo Msingi wake mkubwa ni uwekezajo wa Wazungu waliokuwepo kabla ya ukoloni. Zaidi ya hapo tuambie kipi wamewekeza cha uzalishaji wa ajira na mapato. Tueleze!
 
Huyo mzee ni mjuaji mnoo,nmefuatilia clips zake kadhaa hafai kabisa.atemwe tu. Anashindwa hata kumtafuta Ruto wakae amuombe radhi wayamalize??
 
We ungejiuzulu??
Naibu wa rais Kenya amelazimika kukimbilia mahakamani kujaribu kuzuia mchakato wa kubanduliwa kwake ofisini ingawa uwezekano wa bunge kumuondoa bado ni mkubwa zaidi.

Tayari wabunge wapatao 242 wameridhia muswada huo kuletwa bungeni kati ya angalau wabunge 117 waliohitajika kisheria.

Endapo spika ataridhika kwamba matakwa ya kisheria yametimizwa ataidhinisha mjadala wa hoja na kupiga kura katika kikao cha mashauriano, na iwapo theluthi mbili ya wabunge yaani wabunge 233 kati ya 349 watapiga kura ya ndiyo ili Gachagua aondolewe mamlakani, basi ni mahakama pekee ndiyo inaweza kumnusuru asalie kwenye nafasi yake kwa mujibu wa katiba ya Kenya ya 2010.

Pamoja na mambo mengine, Naibu wa Rais huyo wa Kenya Rigathi Gachagua, anatuhumiwa kukiuka katiba, kukiuka sheria za nchi, utovu wa nidhamu uliokithiri, matumizi mabaya ya ofisi na tuhuma nyingine nyingine ambazo zitawekwa wazi na mtoa hoja mapema wiki ijayo.

Ni yapi maoni yako, ajiuzulu au apambane?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Huyo mzee ni mjuaji mnoo,nmefuatilia clips zake kadhaa hafai kabisa.atemwe tu. Anashindwa hata kumtafuta Ruto wakae amuombe radhi wayamalize??
Anaclips anamuwakia rutto kama awako serikalin pamoja anyway
 
Samia ni genge gani??

Arab gang? Islamic Gang? Wezi Gang?

Acheni huo upumbavu wa kulishusha na kulidogosha kabila la Wasukuma.

Ukweli ni kwamba hakuna genge, kuna Kabila la Wasukuma.

Itoshe, Rais Samia anatekeleza Magulification of Africa.

Magulification must go on, hence, "Kazi iendelee"
Upo?
Magufulication anaikumbuka asubuhi kukiwa kunakucha! Hapo mwanzo alikuwa anakula na nani!? By the way sishangai, si ndio maana ule uwendawazimu wa kupotezana umerudi Tena, . Muuaji Daudi Albert Bashite eti naye anapewa Uongozi! Si tausi hili. Bado yule mhalifu mwingine Sabaya, tunasubiri na yeye apewe cheo.
 
Back
Top Bottom