Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapigi vyombo lakini ukimuangalia na kumsikiliza utadhani mpiga maji 🤣Huyo mzee ni mjuaji mnoo,nmefuatilia clips zake kadhaa hafai kabisa.atemwe tu. Anashindwa hata kumtafuta Ruto wakae amuombe radhi wayamalize??
Budget ya Kenya unaifahamu wewe chawa?Hayomaendeleo Msingi wake mkubwa ni uwekezajo wa Wazungu waliokuwepo kabla ya ukoloni. Zaidi ya hapo tuambie kipi wamewekeza cha uzalishaji wa ajira na mapato. Tueleze!
Mzigo kwa walipa kodi hakuna faida ya kuwa naounachanganya mambo sasa 🤣
mbona ni vitu viwili tofauti sana unaojaribu kulinganisha ?
Ndiyo CCM wanafurahia kuwa na katiba ya hovyo wanaiba bila usumbufu wowoteYaani katiba yetu haina amsha amsha hatupigana kama Kenya!!
Nahisi hujanifahamu Dogo.Budget ya Kenya unaifahamu wewe chawa?
Nikufahamu wewe mvua?Nahisi hujanifahamu Dogo.
Hapana. Mi babaako! Ahahahahaha!!!Nikufahamu wewe mvua?
Dadeki igeni tena kenya mtolewe kamasi sehemu zote za wazi,,,,,,kila nchi ina formula yake msitake mambo ya kucopy na ku paste naona Gen Z ya kenya iliwahamasisha sana mkajua na huku mtaweza wakati huku Gen Z ni wasambaza Uti sugu tu bora hata mngeenda na millenials japo nao ni ma keyboard warriors ,,,,,ila mwanasiasa ambae kaweka matumaini yake kwa Gen Z ya bongo kapotea vibaya sanaNdiyo maana Kenya ipo juu kimaendeleo huku nchi ya kijinga hata diwani hatuwezi kumtoa sababu ya katiba ya kishetani
Naby Keita hawezi kuwa mjinga kiasi cha kuwa chawa namna hii.Dadeki igeni tena kenya mtolewe kamasi sehemu zote za wazi,,,,,,kila nchi ina formula yake msitake mambo ya kucopy na ku paste naona Gen Z ya kenya iliwahamasisha sana mkajua na huku mtaweza wakati huku Gen Z ni wasambaza Uti sugu tu bora hata mngeenda na millenials japo nao ni ma keyboard warriors ,,,,,ila mwanasiasa ambae kaweka matumaini yake kwa Gen Z ya bongo kapotea vibaya sana
Tena sio keyboard warriorNaby Keita hawezi kuwa mjinga kiasi cha kuwa chawa namna hii.
Wamekubali kiaina,!kubali kiaina!💃💃💃UWT ni kipindi chenu cha kuvuna
UWT ni wajanja snWamekubali kiaina,!kubali kiaina!💃💃💃
Naimba tuu😃😃
Tumfanyie swapping huyo aje Tz na wa Tz aende KenyaRiggy G Ni mnunda Sana Bora atemwe tu
Hamia Kenya.Ndiyo maana Kenya ipo juu kimaendeleo huku nchi ya kijinga hata diwani hatuwezi kumtoa sababu ya katiba ya kishetani
Ahamie Kenya ili wajomba zako Toka uarabuni wazidi kujitanua au sio!?Hamia Kenya.
Kwan unavyosema alimpambania yy gachagua alipiga kura ngap kias kwamba wakenya wengine hawaku pambana?Huu ni unafiki mkubwa na kukosa fadhila kwa Ruto, kwasbb bila Rigathe Gachagua kumpambania asingeweza kupata kiti cha urais. Ame-play role kubwa sana.
Hiki ndicho alichokifanya Samia pia. Baada ya kifo cha jiwe, sukuma gang hawakutaka Samia ashike wadhifa wa urais....walitaka wamchezee kekundu.
Msoga gang ikasimama kidete kuhakikisha Samia anakikalia kiti. Lkn hivi sasa Samia anaisulubu Msoga gang na kuikumbatia Sukuma gang.