Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua aondolewa madarakani

Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua aondolewa madarakani

Ni suala la muda tu, kitanuka tena na safari hii watu wa milimani watakinukisha mbaya
Mbinu ni kugawa mlima. Na ni kama mbinu inafanya kazi. Mlima unagawanywa East na West. Kupeleka shauri mahakamani ni kurasimisha vita baina ya pande za mlima!

Pia Nilishangaa sana Seneta anapendekeza DP ajaye lazima atoke kwa huo mlima. Pia nilishangaa Seneta mmoja ananukuu vifungu vya biblia kutetea Rigathi asitimuliwe kisa anatoka mlimani...mambo ya aibu. Ukabila umekita mizizi sana Kenya
 
Ni suala la muda tu, kitanuka tena na safari hii watu wa milimani watakinukisha mbaya
Mbinu ni kugawa mlima. Na ni kama mbinu inafanya kazi. Mlima unagawanywa East na West. Kupeleka shauri mahakamani ni kurasimisha vita baina ya pande za mlima! Nilishangaa sana Seneta anapendekeza DP ajaye lazima atoke kwa huo mlima. Pia nilishangaa Seneta mmoja ananukuu vifungu vya biblia kutetea Rigathi asitimuliwe kisa anatoka mlimani...mambo ya aibu. Ukabila umekita mizizi sana Kenya
Still kicking mahakamani!
 
Mbinu ni kugawa mlima. Na ni kama mbinu inafanya kazi. Mlima unagawanywa East na West. Kupeleka shauri mahakamani ni kurasimisha vita baina ya pande za mlima! Nilishangaa sana Seneta anapendekeza DP ajaye lazima atoke kwa huo mlima. Pia nilishangaa Seneta mmoja ananukuu vifungu vya biblia kutetea Rigathi asitimuliwe kisa anatoka mlimani...mambo ya aibu. Ukabila umekita mizizi sana Kenya

Still kicking mahakamani!
hatoboi
 
Ni kama mm Dr namugar nilitabiri anguko la rigath pale tu nilivyosikia hotuba yake akimkashifu uhuru kenyatta mbele ya alaiki na wakuu wa serekali za nch zilizo hudhuria uapisho huo,,, inauguration
Alimkashifu Kenyatta? Mimi sikufuatilia hiyo siku ya uapisho kwa sababu nilikasirika Odinga kushindwa. Hata haya mashtaka yaliyomwondoa siyo kitu kipya kufanywa na wanasiasa wetu wa Afrika. Kama Magufuli alikuwa na tabia ya kusema wale ambao hawakuchagua CCM hawatapelekewa maendeleo. Matamshi yake yote yalikuwa na mambo ya kawaida kabisa kwenye siasa za Kenya ila namna wamemchoka tu na alijitengenezea maadui kila kona.
 
Kwa kweli, pamoja na matatizo yao mengi, acha waKenya watufundishe katika baadhi ya mambo.

Sasa tusubiri fundisho jingine kama ataamua kwenda mahakamani.
mahakama ni geresha tu na kuvuta muda. Deputy President Elect Prof Kindiki anasubiri kuapishwa tu
 
mahakama ni geresha tu na kuvuta muda. Deputy President Elect Prof Kindiki anasubiri kuapishwa tu
Wewe unafikiri hivyo kwa kutojuwa. Kenya sasa ni tofauti kabisa na hapa kwetu, ambapo Rais akisha sema hakuna mwingine yeyote anaye weza kupinga.
 
Alimkashifu Kenyatta? Mimi sikufuatilia hiyo siku ya uapisho kwa sababu nilikasirika Odinga kushindwa. Hata haya mashtaka yaliyomwondoa siyo kitu kipya kufanywa na wanasiasa wetu wa Afrika. Kama Magufuli alikuwa na tabia ya kusema wale ambao hawakuchagua CCM hawatapelekewa maendeleo. Matamshi yake yote yalikuwa na mambo ya kawaida kabisa kwenye siasa za Kenya ila namna wamemchoka tu na alijitengenezea maadui kila kona.
Ukweli ni huu.
Bila ya Gachagua wakati huo kuwa na Ruto na kushutumu sana Uhuru Kenyatta na Raila wakati huo; leo hii Ruto asingekuwa rais wa Kenya.
Kura za Kikuyu zilikwenda kwa ruto shauri ya Rigathi
 
Back
Top Bottom