TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Uhuru akiwa wapi??Kuna uwezekano ali orchestrate zile vurugu!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhuru akiwa wapi??Kuna uwezekano ali orchestrate zile vurugu!!!
Tayari umesahau roho za vijana zaidi ya 100Vizuri amekuwa impeached kwa sababu sasa atasema ukweli na Gen Z wakirudi barabarani huyo jambazi wa Ikulu atassga meno
Jana nilifuatilia impeachment live, nilimsikia Seneta mmoja akiibua hoja ya wa Milimani....Jambazi mkuu Bado yupo pale
MkuuTayari umesahau roho za vijana zaidi ya 100
Aisee
That simple
Conflicting…. Maana umeunga mkono kuondolewa kwa mtetezi wa genZMkuu
Kenya linapokuja suala la kitaifa huwa wanajitoa unyonge.
Ukiogopa kufa ni sawa na Mtanzania ambaye nduguye anatekwa na polisi kisha anauawa huku familia ikiogopa kudai haki ya kuishi ya ndugu yao.
Ukiwaza nje ya box, ili mmea uote na kuzaa ni shurti ufe kwanza.Conflicting…. Maana umeunga mkono kuondolewa kwa mtetezi wa genZ
Nilidhani ungemtetea mtetezi wao
Career gani?Angejiuzuru kabla ingeua career yake.
Watanzania ni wapumbavu sana! Ujuaji mwingi huku na ujinga tele.Career gani?
Mbona sasa hivi amekosa kila kitu, yaani 'amekosa bara na pwani.'!
What about ruto the kingpin ya maafa ya genZUkiwaza nje ya box, ili mmea uote na kuzaa ni shurti ufe kwanza.
Hii ni reborn ya Gachagua
Why generalizing?Watanzania ni wapumbavu sana! Ujuaji mwingi huku na ujinga tele.
Hiyo ni kwakatiba yetu na sio katiba ya Kenya mzeeUkishakuwa impeached hugombei urais milele
Hawezi kugombea kwa miaka kumi baada ya kupatikana na hatia.Si ajabu ana mpango wa urais, na atasema alionewa na Ruto
Sio milele hataweza kugombea nafasi yeyote ya kuchaguliwa kwa miaka 10.Ukishakuwa impeached hugombei urais milele
Hata hivyo amepambana sana, lakini bila shaka rafiki yake Ruto ndio ameamla kumtosa ili kulinda kiti cha uRais.
Na kunyume chake sinto shangaa ikawa ndio political milage ya Righathi Gachagua kwa mwaka wa uchaguzi akagombea kiti ya Presidency
[/QUOTETayari amekosa sifa Kwa kufukuzwa,ange resign alikua na chance ya kugombea urais
Ondoka katika usingizi nduguAmeondolewaje na wakati aneshajiuzulu?!
Mstari umechorwa na sasa kinachoendelea ni warrooms settingsWhat about ruto the kingpin ya maafa ya genZ