Lakini hata kuwa Righy G!ni ngumu kufikia hitimisho kwa hili tu, maana hatuwezi jua huwenda DP ajae akatokea Mlimani na akawa better zaidi ya Riggy G
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini hata kuwa Righy G!ni ngumu kufikia hitimisho kwa hili tu, maana hatuwezi jua huwenda DP ajae akatokea Mlimani na akawa better zaidi ya Riggy G
Tusubirie lkn hakika soon wataanza kuvuruganani ngumu kufikia hitimisho kwa hili tu, maana hatuwezi jua huwenda DP ajae akatokea Mlimani na akawa better zaidi ya Riggy G
It was expected, nothing new.Pole Rigathi Gachagua, Former Deputy President.
=====
Hii ni baada ya seneti kupiga kura kupitisha shtaka la kwanza la misingi yake ya kuondolewa madarakani Ambapo Maseneta 53 kati ya 67 wamependekeza afukuzwe.
Kati ya mashtaka 11, kupatikana na hatia kwenye shtaka lolote kunapelekea kuondolewa madarakani.
View attachment 3128196
Pia soma:
Mbona ipo..Soma Katiba.Na huku kwetu wangeleta kama hii unadhani tungeanza na nani?
Kikuyu ArroganceIt was expected, nothing new.
Kwa hali jinsi ilivyokuwa DP Gachagua alipaswa kujiudhuru haraka Sana mara tu alipopigiwa kura na Wabunge juu ya kukosa Imani naye. Kwa namna yoyote ile Gachagua asingeweza kunusurika kwenye vurumai hiyo kwa sababu tayari alishazingirwa na maadui zake na kuwekwa mtu Kati.
OkayKikuyu Arrogance
Angejiuzuru kabla ingeua career yake.It was expected, nothing new.
Kwa hali jinsi ilivyokuwa DP Gachagua alipaswa kujiudhuru haraka Sana mara tu alipopigiwa kura na Wabunge juu ya kukosa Imani naye. Kwa namna yoyote ile Gachagua asingeweza kunusurika kwenye vurumai hiyo kwa sababu tayari alishazingirwa na maadui zake na kuwekwa mtu Kati.
Career ipi? Umesoma katiba ya Kenya?Angejiuzuru kabla ingeua career yake.
Kuvurugana? Mmezoea ujinga wa CCM na uchawa, no one above the lawTusubirie lkn hakika soon wataanza kuvurugana
Angeonekana yote aloshutumiwa nayo ni kweli, kwa sasa imeonekana wazi it was a cooked plan! Yeye sio mjinga.Career ipi? Umesoma katiba ya Kenya?
[emoji23][emoji23]Kuvurugana? Mmezoea ujinga wa CCM na uchawa, no one above the law
😁😁😁🇹🇿Kenya komaeni na katiba yenu msije ifanya iwe ya hovyo kama ya 255.
Si ajabu ana mpango wa urais, na atasema alionewa na RutoAngejiuzuru kabla ingeua career yake.
Huyumpuuzi kaingia na wenziee na matokeoo mapemaa wakaona ujingaPole Rigathi Gachagua, Former Deputy President.
=====
Hii ni baada ya seneti kupiga kura kupitisha mashtaka 5 kati ya 11 misingi yake ya kuondolewa kwake madarakani.
Spika Amason Kingi: Seneti imeamua kumng'oa madarakani kwa hati ya mashtaka, Naibu Rais Rigathi Gachagua. Hivyo basi, anakoma kushika wadhifa huo rasmi.
Kati ya mashtaka 11, kupatikana na hatia kwenye shtaka lolote kunapelekea kuondolewa madarakani.
View attachment 3128228
View attachment 3128196
Pia soma:
Removed from the office by impeachment inakuondolea sifa ya kugombea cheo chochote KenyaAngeonekana yote aloshutumiwa nayo ni kweli, kwa sasa imeonekana wazi it was a cooked plan! Yeye sio mjinga.
Spika mwehuSeneti imeendelea bila yeye kuwepo