Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulijua Bi Kidawa?Spika mwehu
Kama ulivyojua shangaziUlijua Bi Kidawa?
Shangazi apambane na wazungu hukoKama ulivyojua shangazi
Asee hawa jamaa wako vizur kila kitu kunakuwa live and directPole Rigathi Gachagua, Former Deputy President.
=====
Hii ni baada ya seneti kupiga kura kupitisha mashtaka 5 kati ya 11 misingi yake ya kuondolewa kwake madarakani.
Spika Amason Kingi: Seneti imeamua kumng'oa madarakani kwa hati ya mashtaka, Naibu Rais Rigathi Gachagua. Hivyo basi, anakoma kushika wadhifa huo rasmi.
Kati ya mashtaka 11, kupatikana na hatia kwenye shtaka lolote kunapelekea kuondolewa madarakani.
View attachment 3128228
View attachment 3128196
Pia soma:
Katiba itamruhusu?!Si ajabu ana mpango wa urais, na atasema alionewa na Ruto
Kindiki ni failure sijui wanampendea nini hao UDA!!Prof Kindiki Kithure.
AU
Anne Waiguru.
Labda Katiba ya CccmKatiba itamruhusu?!
They will be fools to accept the position. Kikuyu will revolt. The charges were fabricated at best. It was not a fair fight. They wanted him out come rain come sunshine. He presented his case for the world to see that it had no merit. He think Raila will stick to him but he is wrong. Raila is an opportunist who will leave him the moment he smell defeat!Prof Kindiki Kithure.
AU
Anne Waiguru.
Mbariki na Ayatollah aboubakàr Mbowe.Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya
Hata hivyo amepambana sana, lakini bila shaka rafiki yake Ruto ndio ameamla kumtosa ili kulinda kiti cha uRais.
Na kunyume chake sinto shangaa ikawa ndio political milage ya Righathi Gachagua kwa mwaka wa uchaguzi akagombea kiti ya Presidency
Nilitaka kutumia nno baya; lakini nikastuka ni wewe mkuu 'Dokta'!Na huku kwetu wangeleta kama hii unadhani tungeanza na nani?
Siyo urais tu. Unaondolewa kimoja kwenye maswala ya kisiasa.Ukishakuwa impeached hugombei urais milele
Mhaini.. kwanza akiendelea kuishi akatoe sadaka.Hata hivyo amepambana sana, lakini bila shaka rafiki yake Ruto ndio ameamla kumtosa ili kulinda kiti cha uRais.
Na kunyume chake sinto shangaa ikawa ndio political milage ya Righathi Gachagua kwa mwaka wa uchaguzi akagombea kiti ya Presidency
Very well argued Mkuu, jamii forum Bado tupo vizuriThey will be fools to accept the position. Kikuyu will revolt. The charges were fabricated at best. It was not a fair fight. They wanted him out come rain come sunshine. He presented his case for the world to see that it had no merit. He think Raila will stick to him but he is wrong. Raila is an opportunist who will leave him the moment he smell defeat!