Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua aondolewa madarakani

Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua aondolewa madarakani

It was expected, nothing new.

Kwa hali jinsi ilivyokuwa DP Gachagua alipaswa kujiudhuru haraka Sana mara tu alipopigiwa kura na Wabunge juu ya kukosa Imani naye. Kwa namna yoyote ile Gachagua asingeweza kunusurika kwenye vurumai hiyo kwa sababu tayari alishazingirwa na maadui zake na kuwekwa mtu Kati.
Hakuna adui, ni mwizi tuu na kutumia madaraka vibaya, mkeka uliwekwa wazo akashindwa Kujitetea , guilty verdict in almost everything , aishie
 
Senate imekuwa na haraka sana kumuondoa DP gachagua madarakani bila hata kuheshimu mchakato rasmi unaotoa haki na muda wa kutosha kwa wananchi kupitia na kujiridhisha kikamilifu na tuhuma zilizoelekezwa kwake.

Suala la kuondolewa madarakani naibu Rais linagusa maslahi ya wapiga kura wote na siyo suala la wabunge wachache kuamua kukutana kwa muda mfupi na kupiga kura kumuondoa madarakani. Tafsiri yake haki ya wapiga kura imepokwa na bunge

Senate pia imeshindwa kutoa nafasi kwa mahakamani ya juu Kenya kupitia suala hilo na kutoa mwongozo wa kisheria Ili kuhakikisha haki inapatikana

Obviously kulikuwa na agenda dhidi ya gachagua ambayo wahusika wameitimiza

Imekuwa kichekecho cha Karne mhusika Mkuu anaumwa ghafla na amelazwa lakini senate inadai itaendelea na kesi kwani inabanwa na muda

Gachagua bado anayo nafasi kupambana haki yake mahakamani ijapokuwa next Friday bunge la kitaifa litakutana kupitisha jina la dp mpya ikiwa atateuliwa na Rais Ruto
 
Kenya wana katiba nzuri sana aisee, Sio huu uchafu tulionao huku na bunge lake.
 
Kwa siasa za Afrika, wote wameoza, huyu bahati mbaya ndiye kapatikana. Maseneta wote hakuna aliye msafi! Sina la kuwasifia maana wote ni wezi, wahujumu, kila mmoja anaangalia maslahi yake. Wivu, husuda na mengine kama hayo played a central role in his impeachment!
 
Hata hivyo amepambana sana, lakini bila shaka rafiki yake Ruto ndio ameamla kumtosa ili kulinda kiti cha uRais.
Na kunyume chake sinto shangaa ikawa ndio political milage ya Righathi Gachagua kwa mwaka wa uchaguzi akagombea kiti ya Presidency
Kenya ukishakua impeached huruhusiwi tena kushika madaraka ya umma.
 
Hii ndiyo Katiba inayowajibisha wenye dhamana
 
Hii ndiyo Katiba inayowajibisha wenye dhamana
Inayomlinda mh rais

Rigdy biggest problem wa s to have a go at the president … na baada ya kuweka publicly hasa kwenye genZ war

Establishments hazina hizo jinopembe
 
Inayomlinda mh rais

Rigdy biggest problem wa s to have a go at the president … na baada ya kuweka publicly hasa kwenye genZ war

Establishments hazina hizo jinopembe
Vizuri amekuwa impeached kwa sababu sasa atasema ukweli na Gen Z wakirudi barabarani huyo jambazi wa Ikulu atassga meno
 
Liende tuu, lina siasa za old school na ukabila, linaongea linafoka utafikiri linaongea na watoto wake, sample yake ni yale yakipata madaraka linafikiri lipo above the law, pumbaf sana
You have not been listening to the president. They are cut from the same cloth. Also he said the shareholders thing a long time ago. Why didn't they prosecute him then?
 
Inayomlinda mh rais

Rigdy biggest problem wa s to have a go at the president … na baada ya kuweka publicly hasa kwenye genZ war

Establishments hazina hizo jinopembe
Kuna uwezekano ali orchestrate zile vurugu!!!????
 
Back
Top Bottom