Naibu Spika Dkt. Tulia: Jesca Kishoa hii kauli yako either uifute, ofisi ya Spika haina taarifa ya wewe kuondolewa kwenye chama chako

Ni jambo jema!

Baada ya hotuba ya jana kuna kila dalili covid 19 watatimuliwa bungeni.

Aka Tumbili ataisoma namba T 2020 RAS
Kama kweli chadema watakubali kukutana na mh rais hawa covid 19 watakuwa kwenye hatihati ya kubaki.
 

 
Your browser is not able to display this video.


Kwamba wabunge maCOVID 19 na maspika wabunge ni wazalendo kuliko katiba yenyewe.

Ni mambo ya kusikitika sana mhimili unapokuwa laghai kwa kiwango hiki
 
Reactions: BAK
Ndugai na Tulia wote ni waongo wakubwa.
 
Ha ha ha kazi iendelee
Namshangaa Naibu Spika. Msemaji kasema alishaondolewa kwenye Chama Chake, badala ya kuchukua hatua stahiki kwa asiye na chama kuwa bungeni yeye anamlazimisha afute kauli na aseme yeye ana Chama vinginevyo anamuondoa bungeni kuogopa kuvunja katiba. Katiba ilishavunjwa siku nyingi. Mnachoendelea nacho hata mkiwalazimisha wafutaga kauli ni dhambi tu. Hakuna kingine
 
 
Ataenda kuolewa ampikie Mme wake,ndio kazi naomba 1 ya mwanamke yoyote hapa duniani kuwa msaidizi wa mwanaume.
 
Ni jambo jema!

Baada ya hotuba ya jana kuna kila dalili covid 19 watatimuliwa bungeni.

Aka Tumbili ataisoma namba T 2020 RAS

Then familia yako ndio itakuwa na maisha bora?au ndio ajira zitapatikana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…