change formula
JF-Expert Member
- Sep 8, 2020
- 729
- 1,559
- Thread starter
- #21
Inawezekana ila sio afya kwa ustawi wa siasa za Simba na yanga,itamletea shida hata uyo Madam president.Anaenda na upepo wa samia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana ila sio afya kwa ustawi wa siasa za Simba na yanga,itamletea shida hata uyo Madam president.Anaenda na upepo wa samia
Simba sc ina lalamika sanaYanga imelitia aibu taifa kivipi?
Aliyewateua kasema hadharani, wale kwa urefu wa kamba zao kama yeye.Toka uyu ndugu anayeitwa Hamis Mwinjuma,maarufu kama (mwana FA)ateuliwe na Rais kuwa naibu waziri wa wizara ya michezo ameonyesha kuwa hatoshi kuwa kwenye nafasi hio.
Ni mtu hatari kwa usalama na ustawi wa amani na utulivu wa nchi.
Toka ateuliwe nafasi hio amekuwa anatumia muda mwingi kwenye ofisi za wafadhili wake pale posta kwenye jengo la suremander towel kwa mfanyabiashara maarufu anaejulikana kama gsm.
Amekuwa anatumia ukaribu wake na mfanyabiashara uyo kwa kutumia nafasi yake ya unaibu waziri kutekeleza matakwa ya mfanyabiashara uyo bila kujali kuwa ni hatari kwa afya ya ustawi wa sekta anayoisimamia kama naibu waziri.
Sote tunajua mfanyabiashara uyo maarufu (gsm) ana miliki na kufadhili baadhi ya vilabu vya michezo! hasa mpira wa miguu, hivyo kitendo cha naibu waziri uyo kugeuza ofisi za mfanyabiashara uyo kama nyumbani kwake, kunatishia uhai wa sekta ya michezo na hii inaweza kuleta sintofahamu na kutishia amani na ustawi na ustaarabu wa nchi yetu uliojengwa kwa miaka mingi.
Toka uyu ndugu Hamis Mwinjuma,apate nafasi hii ya unaibu waziri,timu inayomilikiwa kinyemela na uyu mfanyabiashara ( gsm) Young African (yanga) imekuwa ikipata upendeleo wa shahili dhahili kutoka serikalini na hii inaleta sintofahamu kwa washabiki wa vilabu vingine vya michezo hasa Simba sc ambayo mashabiki wake wamevumilia hali hio kwa muda mrefu na sasa wameanza kutoka hadharani kulalamika, hii ni hatari!! huu upendeleo kwa timu ya yanga ni juhudi za naibu waziri uyo kumfurahisha uyo tajiri (gsm) kwa manufaa yake.
Serikali isipokuwa macho na kuchukua hatua kwa naibu waziri uyu mwenye mahaba mazito na mfanyabiashara uyo (gsm) inawezekana ikaleta hatari kwa ustawi wa nchi yetu.
mashabiki wa Simba wanaweza kuingia barabarani kuandamana kupinga upendeleo wa wazi wazi unaofanywa na serikali kupitia naibu waziri uyo.
Kama serikali inaona yanga ndio club pekee hapa nchini basi itangaze rasmi watanzania wote wajue na sio kufanya upendeleo usio na afya kwa taifa letu,wote tunajua taifa letu limegawanyika pande mbili za Simba na yanga kwenye suala la michezo!
Haiwezekani Simba ambayo kwa miaka zaidi ya mitano inawakilisha taifa kwa mafanikio makubwa haijawahi kupewa sapoti yeyote na serikali!! Ila yanga ambayo imekuwa ikitia aibu taifa inapata misaada ya wazi na ya kificho kutoka serikalini kwa msaada wa naibu waziri uyo kwa manufaa anayojua yeye.
Serikali ya Mh Rais Samia Suluhu ijitafakali na kumchukulia hatua naibu waziri uyu haraka kabla amani ya nchi haijatoweka! Washabiki wa Simba ni wengi nchi hii ni zaidi ya millioni thelathini.
Naibu waziri kushinda kwenye ofisi za mfanyabiashara ni hatari! inawezekana kuna biashara haramu inafanyika hapo maana si jambo la kawaida! Uyo naibu waziri ikitokea akawa waziri kamili (MUNGU aepushie mbali) siri zote za vikao vya baraza la mawaziri zitakuwa wazi kama mapaja ya malaya kwenye ofisi za mfanyabiashara uyo.
Vijana wanaopata nafasi hizi za uongozi ni vyema kuzingatia maadili, waache tamaa za kutaka utajiri haramu wa haraka!
Kuna mengi sana mambo haramu juu ya naibu waziri uyu hafai kabisa na mh. Rais amtoe kwenye nafasi hio kwa usalama wa nchi yetu.
Ilo ni tatizo kubwa sana! Hio kauli haikuwa na afya kwa maendeleo ya nchi,alipotoka kidogo madam presidentAliyewateua kasema hadharani, wale kwa urefu wa kamba zao kama yeye.
nashauri ungejikita kwa bidii kwenye kazi na majukumu yako ya kujipatia kipato, kuliko kung'ag'ana na kupoteza muda kumfatulia NW yuko wapi, na nani na anafanya nini 🐒Toka uyu ndugu anayeitwa Hamis Mwinjuma,maarufu kama (mwana FA)ateuliwe na Rais kuwa naibu waziri wa wizara ya michezo ameonyesha kuwa hatoshi kuwa kwenye nafasi hio.
Ni mtu hatari kwa usalama na ustawi wa amani na utulivu wa nchi.
Toka ateuliwe nafasi hio amekuwa anatumia muda mwingi kwenye ofisi za wafadhili wake pale posta kwenye jengo la suremander towel kwa mfanyabiashara maarufu anaejulikana kama gsm.
Amekuwa anatumia ukaribu wake na mfanyabiashara uyo kwa kutumia nafasi yake ya unaibu waziri kutekeleza matakwa ya mfanyabiashara uyo bila kujali kuwa ni hatari kwa afya ya ustawi wa sekta anayoisimamia kama naibu waziri.
Sote tunajua mfanyabiashara uyo maarufu (gsm) ana miliki na kufadhili baadhi ya vilabu vya michezo! hasa mpira wa miguu, hivyo kitendo cha naibu waziri uyo kugeuza ofisi za mfanyabiashara uyo kama nyumbani kwake, kunatishia uhai wa sekta ya michezo na hii inaweza kuleta sintofahamu na kutishia amani na ustawi na ustaarabu wa nchi yetu uliojengwa kwa miaka mingi.
Toka uyu ndugu Hamis Mwinjuma,apate nafasi hii ya unaibu waziri,timu inayomilikiwa kinyemela na uyu mfanyabiashara ( gsm) Young African (yanga) imekuwa ikipata upendeleo wa shahili dhahili kutoka serikalini na hii inaleta sintofahamu kwa washabiki wa vilabu vingine vya michezo hasa Simba sc ambayo mashabiki wake wamevumilia hali hio kwa muda mrefu na sasa wameanza kutoka hadharani kulalamika, hii ni hatari!! huu upendeleo kwa timu ya yanga ni juhudi za naibu waziri uyo kumfurahisha uyo tajiri (gsm) kwa manufaa yake.
Serikali isipokuwa macho na kuchukua hatua kwa naibu waziri uyu mwenye mahaba mazito na mfanyabiashara uyo (gsm) inawezekana ikaleta hatari kwa ustawi wa nchi yetu.
mashabiki wa Simba wanaweza kuingia barabarani kuandamana kupinga upendeleo wa wazi wazi unaofanywa na serikali kupitia naibu waziri uyo.
Kama serikali inaona yanga ndio club pekee hapa nchini basi itangaze rasmi watanzania wote wajue na sio kufanya upendeleo usio na afya kwa taifa letu,wote tunajua taifa letu limegawanyika pande mbili za Simba na yanga kwenye suala la michezo!
Haiwezekani Simba ambayo kwa miaka zaidi ya mitano inawakilisha taifa kwa mafanikio makubwa haijawahi kupewa sapoti yeyote na serikali!! Ila yanga ambayo imekuwa ikitia aibu taifa inapata misaada ya wazi na ya kificho kutoka serikalini kwa msaada wa naibu waziri uyo kwa manufaa anayojua yeye.
Serikali ya Mh Rais Samia Suluhu ijitafakali na kumchukulia hatua naibu waziri uyu haraka kabla amani ya nchi haijatoweka! Washabiki wa Simba ni wengi nchi hii ni zaidi ya millioni thelathini.
Naibu waziri kushinda kwenye ofisi za mfanyabiashara ni hatari! inawezekana kuna biashara haramu inafanyika hapo maana si jambo la kawaida! Uyo naibu waziri ikitokea akawa waziri kamili (MUNGU aepushie mbali) siri zote za vikao vya baraza la mawaziri zitakuwa wazi kama mapaja ya malaya kwenye ofisi za mfanyabiashara uyo.
Vijana wanaopata nafasi hizi za uongozi ni vyema kuzingatia maadili, waache tamaa za kutaka utajiri haramu wa haraka!
Kuna mengi sana mambo haramu juu ya naibu waziri uyu hafai kabisa na mh. Rais amtoe kwenye nafasi hio kwa usalama wa nchi yetu.
Na waendelee kutembea hukohuko mbali bila kutumia rasilomali za walipakodi wa Tanzania kujifurahisha na kujinufaisha wao binafsi.Mwana fa na salah wametoka mbali sana
Hata MO ni muhuni tu,ninacho sisitiza viongozi wa umma waache kutumia vyeo vyao kwa manufaa yao na rafiki zao.Mbona hujaeleza uhatari wenyewe uko wapi?. Uhatari huo kwa ustawi wa nchi ni wapi pana hatari. Sema tu una wivu kumuona kwa GSM,ila ungemuona kwa mo roho yako najua uaingesema neno. (Tafakari hili)
Unalia lia tred nzima lakini maudhui ya kilio chako ni yale yale tu. Hata ungewasirisha kwa mistari miwili tu ingetosha
Nimemsikia Msigwa akibwabwaja bila aibu kuwa timu inayosaidia na Serikali ni ile yenye mafanikio. Wakati hiyo yéyé ni Shabiki wa Yanga na kwa namna yoyote anamaanisha kuwa Yanga ndio inastahili msaada wa Serikali. Wakumbuke kuwa Mpira ni zaidi ya Siasa. Tutafikia hatua ya kutoana roho.Tangu huyu ndugu anayeitwa Hamis Mwinjuma ,maarufu Mwana FA ateuliwe na Rais kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Michezo ameonesha kuwa hatoshi kuwa kwenye nafasi hiyo.
Ni mtu hatari kwa usalama na ustawi wa amani na utulivu wa nchi.
Tangu ateuliwe nafasi hiyo amekuwa anatumia muda mwingi kwenye ofisi za wafadhili wake pale posta kwenye jengo la Suremander tower kwa mfanyabiashara maarufu anaejulikana kama GSM.
Amekuwa anatumia ukaribu wake na mfanyabiashara huyo kwa kutumia nafasi yake ya Unaibu Waziri kutekeleza matakwa ya mfanyabiashara huyo bila kujali kuwa ni hatari kwa afya ya ustawi wa sekta anayoisimamia kama Naibu Waziri.
Sote tunajua GSM anamiliki na kufadhili baadhi ya vilabu vya michezo hasa mpira wa miguu, hivyo kitendo cha Naibu Waziri kugeuza ofisi za mfanyabiashara huyo kama nyumbani kwake, kunatishia uhai wa sekta ya michezo na hii inaweza kuleta sintofahamu na kutishia amani na ustawi na ustaarabu wa nchi yetu uliojengwa kwa miaka mingi.
Tangu Hamis Mwinjuma, apate nafasi hii ya Unaibu Waziri, timu inayomilikiwa kinyemela na GSM, Young African (Yanga) imekuwa ikipata upendeleo wa shahili dhahili kutoka Serikalini na hii inaleta sintofahamu kwa washabiki wa vilabu vingine vya michezo hasa Simba SC ambayo mashabiki wake wamevumilia hali hio kwa muda mrefu na sasa wameanza kutoka hadharani kulalamika
Hii ni hatari!! huu upendeleo kwa timu ya Yanga ni juhudi za Naibu Waziri huyo kumfurahisha GSM kwa manufaa yake.
Serikali isipokuwa macho na kuchukua hatua kwa Naibu Waziri huyu mwenye mahaba mazito na mfanyabiashara uyo (GSM) inawezekana ikaleta hatari kwa ustawi wa nchi yetu.
Mashabiki wa Simba wanaweza kuingia barabarani kuandamana kupinga upendeleo wa wazi wazi unaofanywa na Serikali kupitia Naibu Waziri huyo.
Kama Serikali inaona Yanga ndio Klabu pekee hapa nchini basi itangaze rasmi Watanzania wote wajue na sio kufanya upendeleo usio na afya kwa taifa letu. Wote tunajua taifa letu limegawanyika pande mbili za Simba na Yanga kwenye suala la michezo!
Haiwezekani Simba ambayo kwa miaka zaidi ya mitano inawakilisha taifa kwa mafanikio makubwa haijawahi kupewa sapoti yoyote na Serikali!! Ila Yanga ambayo imekuwa ikitia aibu taifa inapata misaada ya wazi na ya kificho kutoka serikalini kwa msaada wa Naibu Waziri huyo kwa manufaa anayojua yeye.
Serikali ya Rais Samia Suluhu ijitafakali na kumchukulia hatua Naibu Waziri huyu haraka kabla amani ya nchi haijatoweka! Washabiki wa Simba ni wengi nchi hii ni zaidi ya millioni thelathini.
Naibu Waziri kushinda kwenye ofisi za mfanyabiashara ni hatari! Inawezekana kuna biashara haramu inafanyika hapo maana si jambo la kawaida! Huyo Naibu Waziri ikitokea akawa Waziri kamili (MUNGU aepushie mbali) siri zote za vikao vya baraza la mawaziri zitakuwa wazi kama mapaja ya malaya kwenye ofisi za mfanyabiashara huyo.
Vijana wanaopata nafasi hizi za uongozi ni vyema kuzingatia maadili, waache tamaa za kutaka utajiri haramu wa haraka!
Kuna mengi sana mambo haramu juu ya Naibu Waziri huyu hafai kabisa na Rais amtoe kwenye nafasi hio kwa usalama wa nchi yetu.
Nimetoa tu ushauli na hatari iliyopo kwa wawaziri kujifungia kwenye vyumba vya wafanyabiashara,sina stress hata kidogo.nashauri ungejikita kwa bidii kwenye kazi na majukumu yako ya kujipatia kipato, kuliko kung'ag'ana na kupoteza muda kumfatulia NW yuko wapi, na nani na anafanya nini 🐒
sasa hiyo si inakupa stress tu na gubu moyoni 🐒
Wanajua ila hawajali kwakua ni wabinafsi.Nimemsikia Msigwa akibwabwaja bila aibu kuwa timu inayosaidia na Serikali ni ile yenye mafanikio. Wakati hiyo yéyé ni Shabiki wa Yanga na kwa namna yoyote anamaanisha kuwa Yanga ndio inastahili msaada wa Serikali. Wakumbuke kuwa Mpira ni zaidi ya Siasa. Tutafikia hatua ya kutoana roho.
Sio team pendwa kwa Serikali. [emoji23][emoji23][emoji23]Nakumbuka biashala United ilishindwa kusafili inamana hili fungu kipindi Hiko halikiwepo
Nchi hii ina upendeleo na siasa nyingi sana!Sio team pendwa kwa Serikali. [emoji23][emoji23][emoji23]
Nini kikubwa kinahusu ukaribu wao? Tujuze emTangu salah anasoma St marys high school alikuwa anatembelewa shule na mwana fa
Okay umefanya vizuri mkuu,Nimetoa tu ushauli na hatari iliyopo kwa wawaziri kujifungia kwenye vyumba vya wafanyabiashara,sina stress hata kidogo.
Najua uko bongo mnaishi kichawa ndio mpate tonge! Na hamna mapenzi na nchi yetu wala hamuoni hatari ya viongozi wa umma kujifungia vyumbani na wafanyabiashara wenye historia ya ukwepaji kodi
Jua kali uyo!Nini kikubwa kinahusu ukaribu wao? Tujuze em
HaipingwiiiiNchi hii ina upendeleo na siasa nyingi sana!