Naibu Waziri Mambo ya Ndani afika eneo la ajali ya Treni na Basi iliyoua watu 13, Novemba 29, 2023

Naibu Waziri Mambo ya Ndani afika eneo la ajali ya Treni na Basi iliyoua watu 13, Novemba 29, 2023

Ya umeme itapita juu ya barabara

Kwenye madaraja ya juu ikiwa inaingia katikati ya Dar tu.

Hizo kilometer zingine njia hazina hata fence, huko madongo poromoko kama inatokea kwenye corner onyo lako no oni tu wakati ujakaa vizuri hii hapa kazi kwako kama mifugo hipo kwenye reli.

Ndugu zetu wafugaji sijui itakuwaje.

Busara ni kuanza na hii mitumba tunayoikejeli na speed limit ya 50km/ph watu waelewe hatari ya fast trains na kuacha kuichukulia poa maana watanzania tunajuana wenyeee baadae ndio tuanze kuangalia speed.

Kuwa na miundombinu yenye uwezo wa kusukuma train mpaka 160km/ph aina maana uhakikishe unapata train zenye speed hizo.

Nchi nyingi sana zina maximum speeds ya train zake way below, speed ambayo miundombinu inaruhusu.

Busara ni kuanza na train zenye speed ya 50m/ph mpaka tupate uzoefu, bado kuna swala la stress za ‘road railways’ train zinapotembea speed upkeep costs are too high maana miundombinu inakuwa too stressed. Fanya uzembe kwenye upkeep maintancr train iachie njia misiba yake 100+ ni kawaida.

Inabidi tuelewe tunaanzia wapi na hizi high speed railways risks ni nyingi sana tunapolilia train za 160km/ph.
 
Eti haikutegemewa dereva aliefundishwa vizuri
Hawa waajiri nao wapewe onyo kama gari lake litauwa atawajibika nae
Naona wao pia wanafurahia upumbavu huu wa madereva wao pindi wanapoambia imemchukua masaa machache sana kufika sehemu A mpaka B
Wao pia wana mkono kwenye vifo hivyo
Halafu pia NW kusema waongeze Doria
Doria sio suluhu
Hawa madereva wakifanya kosa warudi shule na license wasitishe kwa mda
Hivi kama hamjui kuwafundisha nipeni tenda hiyo yaani anatoka ana adabu
 
Ila hii nchi viongozi hawana mawazo kabisa,juzi imetokea ajali ya bus la baraka imeua watu wengi,hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa!leo imetokea hii ya allystars imeua watu 13,utashangaa inapita kimya!Mungu tu atusaidie kwa kweli
"The problem of Africans, those with ideas have no power and those with power have no ideas."
 
Ila hii nchi viongozi hawana mawazo kabisa,juzi imetokea ajali ya bus la baraka imeua watu wengi,hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa!leo imetokea hii ya allystars imeua watu 13,utashangaa inapita kimya!Mungu tu atusaidie kwa kweli
Dereva wa bus kugonga train serikali hapo imezembea Kwenye nini
 
Back
Top Bottom