Naibu Waziri Mkuu Dotto Biteko ni Turufu Kuu ya Rais Samia katika kupata Kura nyingi za Kanda ya Ziwa

Kaombe Passport na pua yako ya Kinyarwanda na lafudhi ya kikenya, ndiyo utajua kama Rwanda , Congo na nchi nyingine ni Makoloni ya Ujerumani au lah!
Ndiyo utajua kama ninyi ni wamoja au ni ngonjera tu.
 
Say no to liceism
 
Kaombe Passport na pua yako ya Kinyarwanda na lafudhi ya kikenya, ndiyo utajua kama Rwanda , Congobna nchi nyingine ni Makoloni ya Ujerumani au lah!
Ndiyo utajua kama ninyi ni wamoja au ni ngonjera tu.
Daaah

Pole mkuu....wewe ni mgonjwa....
 
Dotto nwenyewe mbona hana ushawishi wowote ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…