Naibu Waziri Mkuu Dotto Biteko ni Turufu Kuu ya Rais Samia katika kupata Kura nyingi za Kanda ya Ziwa

Naibu Waziri Mkuu Dotto Biteko ni Turufu Kuu ya Rais Samia katika kupata Kura nyingi za Kanda ya Ziwa

Acha uongo wewe... Mimi nimezaliwa Usukumani na nimefanya kazi Usukumani tena nimeingia mpaka kule Bush ndani ndani... Wasukuma hawana Ukabila kabisa, mimi nimepokelewa Usukumani hakuna anayenijua ila nimepewa Misosi ya kila aina tena bure kabisa... Kidogo nipewe na mke ila nikakataa kwa sababu nilikuwa ninae mtoto mzuri.

Dotto Biteko mwenyewe ni msukuma, kazaliwa huko Geita. Na ni mbunge wa huko Geita. Kuhusu Angelina Mabula hakuna mtu anayeumia kwa sababu Angelina Mabula ni mbunge wa Mwanza mjini jimbo la Ilemela. Jimbo la Ilemela lina watu wa makabila mengi sana, kutolewa kwa Angelina Mabula hakuwezi kufanya watu wa Ilemela kukasirika.

Hapo kwenye Wasukuma na Ukabila umezingua, japo mimi sio msukuma. Wenye ukabila ni hayo makabila ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro huko ndiko kuna Ukabila, hao jamaa na wakenya tabia zao ni moja
Wewe huwajui vizuri wasukuma hata kidogo yaani huna abc za wasukuma hata kidogo ukitaka kujua wasukuma Wana ubinafsi fanya mambo yafuatayo

Mosi, eneo Hilo wawe wasukuma tu na kabila kingne kidogo halaf wawe. Na maduka ya kuuza vitu mbalimbali nenda wewe wa kabila lingne jichomeke pale utakubali show!

Pili, zitokee nafasi na wewe unaomba halaf mkubwa pale awe msukuma halaf waonbe wasukuma wenzake ambao unajua kabisa vigezo unawazid then wawe wengi nafasi ni chache utakubali huo mziki

Tatu, uishi nao wasukuma wengi halaf nyie wengne wachache itokee waibiwe mtajua hamjui Mimi nimeishi nao sana SEMA tu ni Kwa vile kabila letu walikuwa wanaliogopa hivyo wasingeweza kufanya chochote
 
Inawezekana kweli amewekwa lwa lengo hilo lakini nachojiuliza mbona DB(Dotto Biteko) ni kama hana ushawishi katika kanda hii ya ziwa.

Kuhusu matola kutoamini kama kanda ya ziwa inaushawishi katika kura amekurupuka sana. Maana ni ukweli ulio wazi kuwa hii kanda ndiyo ina watu wengi sana na wenye misimamo yao, naomba usiwa underrate wasukuma mkuu matola hawa watu wana misimamo yao wakiamua huwafanyi kitu umedai wako mikoa mitatu tu kwa kutumia neno mwashita mimi nimekuelewa kuwa umemaanisha wapo mwanza, shinyanga na tabora kitu ambacho si sahihi

Japo wasukuma hawana ukabila kama ambavyo wewe unaona wanao lakini ndiyo kabila linaloenea kwa kasi ya ajabu katika nchi.

Mikoa ambayo naweza nikakutajia ina asilimia kubwa ya wasukuma ni Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Tabora, Katavi, Mbeya, Kigoma, Morogoro, Rukwa, Kagera, Mara na hata Tanga karibia wilaya yote ya Kilindi ni wasukuma kwahiyo hao watu sio wa kubeza
Mkuu Bado ruvuma wapo ingawa syo wengi??
 
Acha uongo wewe... Mimi nimezaliwa Usukumani na nimefanya kazi Usukumani tena nimeingia mpaka kule Bush ndani ndani... Wasukuma hawana Ukabila kabisa, mimi nimepokelewa Usukumani hakuna anayenijua ila nimepewa Misosi ya kila aina tena bure kabisa... Kidogo nipewe na mke ila nikakataa kwa sababu nilikuwa ninae mtoto mzuri.

Dotto Biteko mwenyewe ni msukuma, kazaliwa huko Geita. Na ni mbunge wa huko Geita. Kuhusu Angelina Mabula hakuna mtu anayeumia kwa sababu Angelina Mabula ni mbunge wa Mwanza mjini jimbo la Ilemela. Jimbo la Ilemela lina watu wa makabila mengi sana, kutolewa kwa Angelina Mabula hakuwezi kufanya watu wa Ilemela kukasirika.

Hapo kwenye Wasukuma na Ukabila umezingua, japo mimi sio msukuma. Wenye ukabila ni hayo makabila ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro huko ndiko kuna Ukabila, hao jamaa na wakenya tabia zao ni moja
Upo sahihi, Ilemela walichaguwa mbunge Mchaga Highness Kiwia, Wakamtosa Msukuma mwenzao Anthony Diallo.
 
Wewe huwajui vizuri wasukuma hata kidogo yaani huna abc za wasukuma hata kidogo ukitaka kujua wasukuma Wana ubinafsi fanya mambo yafuatayo

Mosi, eneo Hilo wawe wasukuma tu na kabila kingne kidogo halaf wawe. Na maduka ya kuuza vitu mbalimbali nenda wewe wa kabila lingne jichomeke pale utakubali show!

Pili, zitokee nafasi na wewe unaomba halaf mkubwa pale awe msukuma halaf waonbe wasukuma wenzake ambao unajua kabisa vigezo unawazid then wawe wengi nafasi ni chache utakubali huo mziki

Tatu, uishi nao wasukuma wengi halaf nyie wengne wachache itokee waibiwe mtajua hamjui Mimi nimeishi nao sana SEMA tu ni Kwa vile kabila letu walikuwa wanaliogopa hivyo wasingeweza kufanya chochote
Hizi nadharia zenu zingekuwa na msingi wowote Nelson Mandela asingekuwa Rais wa South Africa, Chief Mangosuthu Buthelezi ndio angekuwa Rais.

Kura hazipigwi hivyo, siasa ni sayansi na ushawishi.

Ingekuwa ni hivyo Lisu asingepata watu kwenye mikutano yake Chato.
 
Usukumani unayoijua ni mikoa ipi tuanzie hapo kwanza
anzia mwanza, geita, simiyu, shinyanga, haifikishi majimbo 150? Ongeza mikoa mingine waliko, tabora, kigoma, ruvuma, kagera, mara, katavi, rukwa, mbeya, singida, bado majimbo 150 hayatimii? Tatizo wengi ni ccm na hawana muamko wa siasa za mageuzi
 
Asee wasukuma hatari sana, wako wengi. Yaani ndani ya miaka 10 kijiji chetu kimemezwa chote, lugha imegeuka ni ya wasukuma, inauma sana.
kuna vijiji wilayani manyoni/itigi na wilayani ikungi mkoani singida wasukuma ni wengi kiasi cha kufanya lugha yao kuwa ndiyo lugha kuu ya kijiji. Wana sikukuu zao za mavuno na mila na desturi zao hufanyika utadhani wapo katika ardhi ya asili yao huko sukumaland. Uzuri wanaishi vizuri na wenyeji waliowakuta japo wanajaza vijiji hivyo huko walikohamia
 
Mikoa ya kilimanjaro, arusha na manyara kuna vijiji wasukuma wanaweza kuhamia na kujaa kwa wingi ila wasiwe wafugaji kwa kuwa tayari vijiji hivyo vina wafugaji wa kimasai, wasonjo na wabarbaigi
 
Huu upuuzi wa kusema wasukuma wanasikitishwa na kuondokewa na mtu wao ukome kwani yeye alikua nani mpaka asife? Aliambiwa achukuwe tahadhari ya korona akaleta ujuaji akafa naona kama mnataka kuibeba kama agenda narudia tena huo ni upuuzi.
Ni upuuzi ndio lakini ndio ukweli wenyewe upende ukubali upende ukatae,,
 
Dotto biteko kisiasa bado hana mixixi ya ushawishi kwa kanda ya ziwa na isitoshe 2025 hata huko ndani ya CCM kutakuwa na kundi lingine liki oppose kundi Samia.

Haitakuwa kazi rahisi ki viile!
 
Kanda ya Ziwa ndiyo yenye Utajiri mkubwa wa Mikoa mingi na yenye Wapiga Kura wengi na ambao Wakiudhiwa na wasipotulizwa wanaweza kufanya Maamuzi yasiyotegemewa katika Sanduku la Kupiga Kura.
Acha uongo Dr Slaa alizoa kura Kanda nzima ya ziwa ila Bado mkaenda mtangaza JK Kashinda. CCM haijawahi tegemea kura za wananchi kushinda kama unabisha angalia 2020.

Kata yetu diwani alipita bila kupingwa na mbunge alipita bila kupingwa..... Ila kura za Urais wananchi walijitokeza 100% na eti 100% wakamchagua JPM. Sasa kwa staili hiyo unadhani wanategemea kura za sisi wananchi?

Acheni kutuletea propaganda za ajabu
 
Kanda ya Ziwa ndiyo yenye Utajiri mkubwa wa Mikoa mingi na yenye Wapiga Kura wengi na ambao Wakiudhiwa na wasipotulizwa wanaweza kufanya Maamuzi yasiyotegemewa katika Sanduku la Kupiga Kura.

Baada ya Kugundua Watu wa Kanda ya Ziwa wana Visununu vikubwa Viwili 1. Kuondoka kwa Mtu Wao kuwa na Mashaka mengi na 2. Kutengwa na kuonekana hawana Umuhimu Serikalini huku Wengine wakiondolewa katika Nafasi / Nyadhifa zao illilazimika Akili Kubwa kutumika ili kuwarejesha katika Mstari.

Hivyo basi Kuteuliwa Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu ni kwa Kimkakati zaidi ili amrahisishie Kazi Mama ( Mheshimiwa Rais Samia ) Kuaminika, Kukubalika na kupata Kura nyingi kutoka Kanda ya Ziwa yenye Utajiri mkubwa wa Mikoa na Makabila yenye Maamuzi na Ushawishi wa Kisiasa kwa Tanzania.

Kampeni za 2025 zikianza tu Naibu Waziri Mkuu Dk. Dotto Biteko atatumiza kama Lifti Kuu ya Kumbeba Rais Samia ambaye no doubt kuwa atagombea Urais wa Kupigiwa Kura Yeye kama Yeye tofauti na ilivyo sasa ambapo GENTAMYCINE sioni Aibu au Uwoga kusema kuwa Yeye ni Rais Deiwaka tu akiwa amechukua nchi baada ya aliyekuwa Boss wake John Pombe Magufuli kututoka duniani / Kufariki mwaka 2021.

Kanda ya Ziwa yote mpaka Mikoa ya Jirani watakuwa Wanaambiwa Nichagueni Mimi nifanye Kazi na Mtoto wenu Dk. Dotto Biteko Jambo ambalo kwa Sayansi ya Siasa na kwa Mazingira yatakayokuweko pamoja na Ushawishi wa Kiproganda itamsaidia sana Mama na CCM yake Kuzoa Kura nyingi Kanda ya Ziwa na Mikoa Jirani.

Kwa kumalizia tu GENTAMYCINE naomba nichukue nafasi hii adhimu ( in advance ) kabisa Kumpongeza Dk. Dotto Biteko kwa kwenda kuwa Waziri Mkuu Kamili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania November, 2025 huku nikimuomba awe makini ( tena kupita Maelezo ) ili yale ya Marehemu Deo Filikunjombe yasije Kumtokea na akawa Historia.
Anaandaliwa kuwa waziri mkuu 2025 Katelephone atakuwa keshamaliza miaka yake 10 anakula pesion tuu🤣🤣🤣🤣🤣
 
Dotto biteko kisiasa bado hana mixixi ya ushawishi kwa kanda ya ziwa na isitoshe 2025 hata huko ndani ya CCM kutakuwa na kundi lingine liki oppose kundi Samia.

Haitakuwa kazi rahisi ki viile!
Hata mimi huo ushawishi wa Dotto kwa wasukuma siuoni, jina lake huku halisikiki kabisa. Ushawishi anaoweza kuwa nao labda nguvu ya pesa, vinginevyo sioni kama ana ngome kiasi hicho. Pia watu wa huku hupenda kutambua wageni kama watu wa kuja tofauti na wao wazawa. Sioni influence yake kwa wasukuma.
 
wewe jamaa hapa jamiiforums huwa unajifanya una akili kuliko members wote ilhali kumbe ni miongoni mwa members wapumbavu mno na wa kupuuzwa.

hivi kuna upinzani thabiti tanzania wa kuweza kuiondoa ccm madarakani? hayati baba wa taifa katika moja ya hotuba zake aliwahi kusema kwa upinzani dhaifu ulioko nchini siku ccm ikimtangaza mgombea wake huenda ikawa imeshantangaza rais ajaye. itafute ili ujiridhishe nayo.

ni ushamba na Upumbavu kujiita dr fulani hapa jamiiforums wakati kichwani mwako kumejaa tu usaha na uchangiaji wako umejaa ushamba, ujivuni wa kijinga na story nyingi za vijiweni.

badilika unaboa ila watu hawakuambii tu badala yake wanakunyamazia huku wakikusanifu na wewe kujiona mjanja na mjuaji wakati kumbe ni lofa na juha tu.
Jamaa anaboa sana ana ushabiki wa kijinga as if ana Cheo hapo upinzani
 
wewe jamaa hapa jamiiforums huwa unajifanya una akili kuliko members wote ilhali kumbe ni miongoni mwa members wapumbavu mno na wa kupuuzwa.

hivi kuna upinzani thabiti tanzania wa kuweza kuiondoa ccm madarakani? hayati baba wa taifa katika moja ya hotuba zake aliwahi kusema kwa upinzani dhaifu ulioko nchini siku ccm ikimtangaza mgombea wake huenda ikawa imeshantangaza rais ajaye. itafute ili ujiridhishe nayo.

ni ushamba na Upumbavu kujiita dr fulani hapa jamiiforums wakati kichwani mwako kumejaa tu usaha na uchangiaji wako umejaa ushamba, ujivuni wa kijinga na story nyingi za vijiweni.

badilika unaboa ila watu hawakuambii tu badala yake wanakunyamazia huku wakikusanifu na wewe kujiona mjanja na mjuaji wakati kumbe ni lofa na juha tu.
I totally agree🙏🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom