Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Wiki chache baada ya kumalizika kwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Naibu Waziri Ofisi ya Rais,Tawala za mikoa na Serikali za mitaa (TAMISEMI )Dkt. Festo Dugange amewapongeza watumishi wa TAMISEMI kwa kusimamia Uchaguzi vizuri
Dugange amesema kuwa pamoja na malalamiko yaliyokuwepo kutoka kwa wapinzani, lakini malalamiko hayo ni madogomadogo na ni kitu cha kawaida kwenye Uchaguzi
================================================
Sikujua kuwa wizi wa kura na kuengua wagombea ni makosa madogo madogo.
Tuna safari ndefu
Wiki chache baada ya kumalizika kwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Naibu Waziri Ofisi ya Rais,Tawala za mikoa na Serikali za mitaa (TAMISEMI )Dkt. Festo Dugange amewapongeza watumishi wa TAMISEMI kwa kusimamia Uchaguzi vizuri
Dugange amesema kuwa pamoja na malalamiko yaliyokuwepo kutoka kwa wapinzani, lakini malalamiko hayo ni madogomadogo na ni kitu cha kawaida kwenye Uchaguzi
================================================
Sikujua kuwa wizi wa kura na kuengua wagombea ni makosa madogo madogo.
Tuna safari ndefu