Naibu Waziri wa Afya, Dkt Godwin Mollel, kuzungumza na vyombo vya habari leo 11 Februari 2021

Mda bado au wandishi wa habari walikuwa sokoni morogoro
 
Ingekua poa kama katika kubwabwaja bwabwaja kwake akatupatia update za bwana Shariff Hamad ambae aliugua corona muda mfupi baada ya kuonana na rais magufoool
 
Mbona walisema hamna haja ya kulizungumzia jambo hilo kwa kuwa ni ujinga kusubiri watu waambiwe, wanakwendaje kuongea na wajinga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…