Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile aelezea aina za Barakoa za kuvaa na Utaratibu wa kutengeneza ya kitambaa

Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile aelezea aina za Barakoa za kuvaa na Utaratibu wa kutengeneza ya kitambaa

Ujue tatizo ni kwamba, hata hao tunaopaswa tuwasikilize sio wataalamu wa Afya, ni full kuchanganyana tu.

Tuliambiwa tumsikilize Rais, M/Rais, Waziri Mkuu, Waziri wa Afya, na mwingine mmoja, niambie, kati ya hao nani mwenye utaalamu wa hayo mambo?

Utakuta wanapewa ushauri mzuri na wataalamu wa Afya, then badala waulete kwetu kama ulivyo, wanauchanganya na ujuaji wao kidogo, matokeo yake ukifika kwetu unakuwa haueleweki.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jinsi ya kutengeneza barakoa (mask) ya kujikinga na corona kwa tumia soksi

 
Mbona naibu waziri kabadili maelekezo.pia ubunge unaingiaje hapo Wa kigamboni?
 
Hapa anahitajika mganga mkuu wa serikali kutoa msimamo wa kitaifa juu ya Barakoa tunazopaswa kutumia na namna ya matumizi yake.

Tumeshalisikia agizo la RC Makonda kwamba tuvae barakoa hata za Leso na vitambaa vingine na tumemsikia pi Naibu waziri wa afya Daktari Ndugulili kwamba kitambaa hakizuii virusi wala bakteria kumdhuru mtu. Wote tunawashimu na mawazo yao pia.

Ndiposa namuomba mganga mkuu wa serikali atoe ufafanuzi wa kitaifa utakaojikita kwenye sayansi na uchumi.

Naomba kuwasilisha.

Maendeleo hayana vyama!
Naibu waziri yupo sahihi,sasa wewe unawezaje kumsikiliza mr.zero ni bahati nzuri tu Tanzania tuna nafasi nyingi za uteuzi na mteuaji ndo anajua sifa za mteuliwa na si matakwa ya nafasi husika otherwise tusingekuwa na akina bashite
 
Kwenye kutafuta kiki wanaishia kuyumbisha watu, kama watu wanamudu barakoa za vitambaa wavae, wale wenye pesa watumie zile zilizo bora zaidi N95, vipato havifanani....lakini muhimu kujikinga kwa namna yoyote ile...
 
Hapa anahitajika mganga mkuu wa serikali kutoa msimamo wa kitaifa juu ya Barakoa tunazopaswa kutumia na namna ya matumizi yake.

Tumeshalisikia agizo la RC Makonda kwamba tuvae barakoa hata za Leso na vitambaa vingine na tumemsikia pi Naibu waziri wa afya Daktari Ndugulili kwamba kitambaa hakizuii virusi wala bakteria kumdhuru mtu. Wote tunawashimu na mawazo yao pia.

Ndiposa namuomba mganga mkuu wa serikali atoe ufafanuzi wa kitaifa utakaojikita kwenye sayansi na uchumi.

Naomba kuwasilisha.

Maendeleo hayana vyama!
Dr Ngungulile ni MD
 
Hapa anahitajika mganga mkuu wa serikali kutoa msimamo wa kitaifa juu ya Barakoa tunazopaswa kutumia na namna ya matumizi yake.

Tumeshalisikia agizo la RC Makonda kwamba tuvae barakoa hata za Leso na vitambaa vingine na tumemsikia pi Naibu waziri wa afya Daktari Ndugulili kwamba kitambaa hakizuii virusi wala bakteria kumdhuru mtu. Wote tunawashimu na mawazo yao pia.

Ndiposa namuomba mganga mkuu wa serikali atoe ufafanuzi wa kitaifa utakaojikita kwenye sayansi na uchumi.

Naomba kuwasilisha.

Maendeleo hayana vyama!
unaleta siasa za kizushi sana ! Waziri hajalisema leo hilo jambo
 
Back
Top Bottom