johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hahahaaaa......... Labda ahamie Nccr mageuzi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa......... Labda ahamie Nccr mageuzi!
Nadhani tungeruhusu wataalamu wa afya,
what if matone yakadondokea kwenye barakoa na vitundu vyake vinapitisha kirusi?
inakuwa imekusaidia nini?
Bashite kwanini anaachwa apoteze raia na elimu yake ya fafafafafafafafa div zero? Yaani anatamka kabisa watu wafunge vitambaa vya jasho kufunika pua na mdomo kujikinga na corona?? Jackma kagawa barakoa bure,matajiri wamechangia bil 6 kwanini wasinunue "santaiza na max" na kuwapa wananchi bure?
Naunga mkono hojaHapa anahitajika mganga mkuu wa serikali kutoa msimamo wa kitaifa juu ya Barakoa tunazopaswa kutumia na namna ya matumizi yake.
Ndiposa namuomba mganga mkuu wa serikali atoe ufafanuzi wa kitaifa utakaojikita kwenye sayansi na uchumi.
Naomba kuwasilisha.
Maendeleo hayana vyama!
Yericko Nyerere?!Na kigamboni ilivyo na wasukuma wengi vile,, atapita asubuhi tu,,
Mie ya nyuma!
Muhimu ni umbali wa mita moja!Mie ya nyuma!
Na kunawa mikono!Muhimu ni umbali wa mita moja!
Na kuvaa barakoa!Na kunawa mikono!
N95 na surgical mask tu!Makanga,maleso hayazuii virusi!Na kuvaa barakoa!
Matokeo yake ni haya.Hapa anahitajika mganga mkuu wa serikali kutoa msimamo wa kitaifa juu ya Barakoa tunazopaswa kutumia na namna ya matumizi yake.
Tumeshalisikia agizo la RC Makonda kwamba tuvae barakoa hata za Leso na vitambaa vingine na tumemsikia pi Naibu waziri wa afya Daktari Ndugulili kwamba kitambaa hakizuii virusi wala bakteria kumdhuru mtu. Wote tunawashimu na mawazo yao pia.
Ndiposa namuomba mganga mkuu wa serikali atoe ufafanuzi wa kitaifa utakaojikita kwenye sayansi na uchumi.
Naomba kuwasilisha.
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa...... Kule Yericko Nyerere ( Chadema/ Nccr) kigamboni kuchele!Haha kwahiyo Gavana anakwenda kupambana na Dr??
Duh.......hii tena kali kwa kweli!
Kama hatujajipanga kwa barakoa za kutosha ndio tunafika hapa.Duh.......hii tena kali kwa kweli!