Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
True, bdo vichwa kama Msukuma, lusinde Na mlinga kupewa uwaziriI'm happy huyu Mollel kichwa kizuri sana asante Rais kwa kumuona huyu comrade, he is such an awesome brain
Pole sana Yaani kumbe ukijiunga hapa tayari wewe ni msomi? Nadhani shida ni vielimu vyetu hivi. Unahisi unajua kila kitu hapa duniani. Kisa tu JF. Mara ohh great thinker. Duh!!!!Umeandika nini msomi!?
Harmonize naye akishalamba ubunge wake kama alivyopendeka jiwe agombee, naye anakula uwaziri au unaibu waziri.True, bdo vichwa kama Msukuma, lusinde Na mlinga kupewa uwaziri
Hapana, huyu yupo, tena sana maana ana kile kitu kitamlinda vyema!Naona kwenye wizara kabaki Ummy tu, sasa sijui na yeye siku zake zinahesabika?
Muda mwalimu mzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyethibitisha hiyo miti ina impact ya ku compromise viral activity ni nani na kama inafanya kazi iwe extracted zipatikane vaccine....na hili swala la nyungu walitakiwa watumie watu gani yani mtu tayari ni victim ana dyspnoea afu ajifukize wakati tayari ana respiratory depression....medicine ni ngumu sana ila basi tuheshimu tu maamuzi ya mzee wetu.. Nimefikiria kwa sauti kubwaUkiwa na "layman" kwenye masuala nyeti harafu mbishi, mjeuri na mwenye ego kubwa kuliko kichwa chake, ni tatizo.
Dr. Ndungulile alipinga huo ujinga wa kupropagate the so called nyungu bila facts (miti ipi, kiasi gani, ujifukize dakika ngapi etc). Pia alipinga mambo ya barakoa za kushona. Kiufupi alikuwa anampa shule Jiwe na kwa Jiwe hilo ni kosa kubwa
Hahaaa jamaa anakula vichwa balaa kama clinical hiviKufanya kazi na Jiwe ukubali kuwa zezeta , ukijaribu kutumia akili yako lazima uliwe kichwa
Mheshimiwa Raisi Dr John Pombe Magufuli hajakosea kabisa kutengua uteuzi wa Mheshimiwa Faustine Ndugulile kwa sababuNdungulile alitaka sayansi itawale na sio ujinga wa nyungu sijui kujifukiza ambako hakuna ushahidi wa kisayansi kama kunatibu ugonjwa. Hii iko kinyume na matakwa ya boss anaetaka ujinga ndio utumike kama tiba ya corona...
Ndungulile anasema nyungu zina madhara lakini anasahau kwamba hata hizo dawa anazoziamini yeye toka nchi zilizoendelea zina madhara pia. Kwangu mimi hakua na faida yoyote kwani ameshindwa kuboresha tulichonacho anabaki kusubiri kuletewa dawa na nchi zilizoendelea ambazo hata wenyewe wana hali mbaya kwa hili.
Akakae kando kidogo ajifunze