Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile atenguliwa, Godwin Mollel achukua nafasi

Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile atenguliwa, Godwin Mollel achukua nafasi

Kukosoa UPUUZI wa kupiga Nyungu ndiyo kumemponza Dkt Ndugulile, hii nchi bhana
.

Jiwe anaondoa Daktari kwenye wizara ya Afya anamuacha yule layman binti wa kitanga
Barakoa ya hiliki mcheeeeezo?
 
Tunasubiri VIJEMBE, MIPASHO, MANENO YA SHOMBO, siku ya kuapishwa...

Sambamba na hayo, atapokea ripoti ya VIPIMIO VYA VIPIMO vya kina Elizabeth Ann & Co..ili awasute MABEBERU na vibaraka wao..

Everyday is Saturday........................ 😎
 
Angetangaza kujiuzulu mwenyewe ingependeza sana,ila hongera ndugu ndugulile kusimamia taaluma yako.

Soon CDC watamnyakua.
 
hapo kwa anuani ya Msigwa inayosomeka Chato' hapo ndipo panaponitia tafakuri
na kumkumbuka historia Marques Nguema
duh nimemisi sana my home boy wangu
mdude
 
DKT FAUSTINE NDUGULILE ATENGULIWA

View attachment 1452133

Rais John Pombe Magufuli amemtengua Dr Faustine Ndugulile Naibu Waziri Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na Mbunge wa Kigamboni.

Nafasi hiyo imechukuliwa na Dkt Godwin Mollel, Mbunge wa Siha, aliyeteuliwa Mei 16 kushika nafasi ya Dkt Ndugulile

Uteuzi wa Dkt Mollel unaanza Mei 16, 2020

Faustine aliteuliwa 07 Oktoba 2017 akichukua nafasi ya Khamis Kigwangala aliyeenda kuwa Waziri wa Utalii

Tarehe 14 Des 2017, Mbunge wa Jimbo la Siha, Dk. Godwin Mollel alihama chama cha CHADEMA na kujiunga CCM.

Zaidi, soma

1). Tumwamini nani kati ya Rais Magufuli au Daktari Ndugulile kuhusu kujifukiza ili kukabiliana na COVID-19? - JamiiForums

2). Hongera Dkt. Faustine Ndugulile, Naibu Waziri wa Afya - JamiiForums

View attachment 1452235

Maoni ya Ndugulile kuhusiana na ugonjwa wa Corona:



Mchango wa Mollel bungeni:



Anatoa kichwa anaweka kichaa mollel

This speak volumes how mawe ni serious tatizo aisee
 
Aliyethibitisha hiyo miti ina impact ya ku compromise viral activity ni nani na kama inafanya kazi iwe extracted zipatikane vaccine....na hili swala la nyungu walitakiwa watumie watu gani yani mtu tayari ni victim ana dyspnoea afu ajifukize wakati tayari ana respiratory depression....medicine ni ngumu sana ila basi tuheshimu tu maamuzi ya mzee wetu.. Nimefikiria kwa sauti kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kiwaambia watu wajifukize Magufuli alisababisha vifo vingi ikiwemo vya watu wake wa karibu sana. Swala la kujifukiza kwa mtu mwenye Corona ilikuwa ni kosa kubwa sana na liligharimu wengi.

Nashukuru mimi ni moja ya watu ambao katu sitokuja kumuamini Magufuli hivyo kauli zake au ushauri wake hautokaa uniathiri maana sitokuja kuufuata, never!
 
DKT FAUSTINE NDUGULILE ATENGULIWA

View attachment 1452133

Rais John Pombe Magufuli amemtengua Dr Faustine Ndugulile Naibu Waziri Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na Mbunge wa Kigamboni.

Nafasi hiyo imechukuliwa na Dkt Godwin Mollel, Mbunge wa Siha, aliyeteuliwa Mei 16 kushika nafasi ya Dkt Ndugulile

Uteuzi wa Dkt Mollel unaanza Mei 16, 2020

Faustine aliteuliwa 07 Oktoba 2017 akichukua nafasi ya Khamis Kigwangala aliyeenda kuwa Waziri wa Utalii

Tarehe 14 Des 2017, Mbunge wa Jimbo la Siha, Dk. Godwin Mollel alihama chama cha CHADEMA na kujiunga CCM.

Zaidi, soma

1). Tumwamini nani kati ya Rais Magufuli au Daktari Ndugulile kuhusu kujifukiza ili kukabiliana na COVID-19? - JamiiForums

2). Hongera Dkt. Faustine Ndugulile, Naibu Waziri wa Afya - JamiiForums

View attachment 1452235

Maoni ya Ndugulile kuhusiana na ugonjwa wa Corona:



Mchango wa Mollel bungeni:


[/QUOTE.

.
 
Hongera kwa huyo Morreri ariye lamba kitengo katika hiyo Wizara ya Serikali ya Jamuhuri!! Pole kwa muheshimiwa Ndungulile Mungu atamlipia kwa kuongea kwa weledi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wote tuombe, Taifa limekwama mahali
Baraza la mawaziri kinavunjwa lini?

Yaani atakaa ofisini kwa wiki mbili tu?

Huo uteuzi una faida gani kwa mlala hoi? Au lengo ni kutaka Mollel apate kiinua mgongo cha Uwaziri?
 
Ndugulile hana utalaam wowote ndio maana alipewa unaibu na ndo maana katenguliwa afanyi kazi iliyo mpeleka kaz kupiga majungu kuhusu maamuzi ya Magu king of Africa
Atakuwa alikuwa hakubaliani na tabia ya mkulu katika uendeshaji wa vita dhidi ya corona, si unajua Faust ni mtaalam? Atakuwa hakutaka mambo ya bra bra na huyu mzeee yeye anataka ufanye kile anachokitaka hata Kama sio kizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom