MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Rais akiagiza Mawaziri wote wavae kiasili kama waganga wa kienyeji, nina uhakika atakayejiuzuru ni mmoja tu. Wengine wote wataitikia wito, watavua suti na magauni na hijab watajifunga visepe na hirizi.Nchi ilipitia pagumu hapa imagine eti walikuwa wanafanya ndio wanashauri wananchi namna ya kutibu Covid -19.View attachment 2750166View attachment 2750166View attachment 2750165 View attachment 2750164
Hawa wawili hawa....mmh, halafu kipindi kile cha covid mi nlikua najua ni mtu na mke wake
Haya majitu sijui mwendazake alitumia kigezo gani kumpa kazi ya u Naibu Waziri huyu kiazi. Naye Samia kaendelea nayeMara nyingi Mh. Rais nikiona dereva amechelewa, naenda kwanza kwenye Instagram ya Ikulu, nikiona PDF ya Zuhura haipo basi nakuwa na confidence, namuita dereva.
Lakini siku hiyo nikajisahu, nikawa nimeacha Instagram emoj ipo juu, nikaona kama kitu kimepita pale nikaogopa kuangalia nikawa naangalia simu nyingine kuangalia nini kinaendelea. Nikaona mtu ameniambia hongera mdogo wangu nikajua Mkuu nimenusurika.
Mh. Rais nakushukuru sana, nikathubutu kusoma ile kitu. Mh. Rais Nakushukuru sana kwa mimi kunusurika"
Alisema Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel, alipopewa nafasi ya kutoa neno katika hafla ya ufunguzi wa barabara ya Mtwara leo Sptemba 15 2023.
Na huyu mama alijua kujifyatua kwakweli.....ila sahivi naona yupo timamu.View attachment 2750174
Mume wake huyo hapo wakionyesha jinsi ya kujikinga na Covid -19.
Kweli Tanzania ilipata ajali ya kisiasa 2015 inagharimu nchi hadi leo.
Hivi imefika hatua kule ccm watu hawawezi kuishi bila teuzi??Mara nyingi Mh. Rais nikiona dereva amechelewa, naenda kwanza kwenye Instagram ya Ikulu, nikiona PDF ya Zuhura haipo basi nakuwa na confidence, namuita dereva.
Lakini siku hiyo nikajisahu, nikawa nimeacha Instagram emoj ipo juu, nikaona kama kitu kimepita pale nikaogopa kuangalia nikawa naangalia simu nyingine kuangalia nini kinaendelea. Nikaona mtu ameniambia hongera mdogo wangu nikajua Mkuu nimenusurika.
Mh. Rais nakushukuru sana, nikathubutu kusoma ile kitu. Mh. Rais Nakushukuru sana kwa mimi kunusurika"
Alisema Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel, alipopewa nafasi ya kutoa neno katika hafla ya ufunguzi wa barabara ya Mtwara leo Sptemba 15 2023.
Aibu sana Mkuu... aibuYaani umepewa nafas ya kuongea mbele ya hadhara mwanaume mzima unaongea ujinga namna hii?
Huyu Mollel kubwa jinga ovyoKuna mtu mmoja aliwahi sema hii nchi imejaa wajinga wengi sana,
Halafu ni yeye huyohuyo alisema maneno hayo.Kuna mtu mmoja aliwahi sema hii nchi imejaa wajinga wengi sana,
Kwa raisi makini baada ya hii kauli angemfukuza huyu mpuuzi. Lakini kwa huyu maza sizaniMkuu ina maana huwa unawa-rate high sana mawaziri wetu nini? Nakuhakikishia wote ni wale wale, hakuna mwenye nafuu. Huyo jamaa Molel ni hovyo kuliko hovyo yenyewe. Hapa inaonyesha kuwa hawajui kuwa cheo ni dhamana au uwaziri maana yake ni kuwajibika. Wao wanadhani uwaziri ni upendeleo wa kula bata waliopewa na rais. Na rais akisikia hilo anafurahi kweli kwa kulinganishwa na Mungu mgawa riziki.
Hivi tumejiridhisha kweli;hatuongozwi na Mawaziri wenye upeo mdogo na shida ya ugonjwa wa akili!!!
nyingi Mh. Rais nikiona dereva amechelewa, naenda kwanza kwenye Instagram ya Ikulu, nikiona PDF ya Zuhura haipo basi nakuwa na confidence, namuita dereva.
Lakini siku hiyo nikajisahu, nikawa nimeacha Instagram emoj ipo juu, nikaona kama kitu kimepita pale nikaogopa kuangalia nikawa naangalia simu nyingine kuangalia nini kinaendelea. Nikaona mtu ameniambia hongera mdogo wangu nikajua Mkuu nimenusurika.
Mh. Rais nakushukuru sana, nikathubutu kusoma ile kitu. Mh. Rais Nakushukuru sana kwa mimi kunusurika"
Alisema Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel, alipopewa nafasi ya kutoa neno katika hafla ya ufunguzi wa barabara ya Mtwara leo Sptemba 15 2023.