Pre GE2025 Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk aandika barua ya kujiuzulu Ubunge

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
km ni wa kuyeuliwa sawa na kama wakuchaguliwa utaitishwa uchaguzi mdogo
 
big brains wenyewe akina Msigwa
 
Uzi mwingine wa kurejea siku mbili tatu hizi.
 
Magufuli aliendesha nchi bila baraza Kwa kipindi kirefu huku akiendelea kusuka baraza lake nje ya bunge. Mwishowe wakaishia kumuabudu na kumuita Mhe. Mungu.

Akina Magiga, Kabudi n wengine ndani baraza lake hawakuwa Wabunge. In short hii nchi Ina watu wenye vichwa vizito.
 
Wa kufanya hayo sasa ndio changamoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…