km ni wa kuyeuliwa sawa na kama wakuchaguliwa utaitishwa uchaguzi mdogoSiyo issue ya Maadili mkuu.. point iko hapo wazi kabisa..kuna Reshuffle ya Cabinet..huyo kapewa maelekezo ajiudhuru,ili ateuliwe mtu mwingine awe mbunge na anaweza kuwa ni aidha Makonda ama Msigwa na akalamba uwaziri ama unaibu uwaziri.. na huyo aliye jiuzuru akateuliwa nafasi nyingine serikalini.
Mkuu, kwani Nape amekosea nini? Yeye kaelezea hali halisi ya namna ya kushinda Uchaguzi Mkuu Nchini, kweni kipya ni nini kwenye chaguzi zetu ambacho hakishabaiani ni kauli yake?Makamba gone!!?naibu wake atakua waziri rasmi!!?
Nape na kauli zake vipi!!?
big brains wenyewe akina MsigwaNingekuwa Rais ningefanya haya!
Ningeunda Baraza dogo ambalo almost robo tatu ya Mawaziri ni big brains niliowatoa nje ya Bunge kwenye sekta zao.
Pili ningeanzisha mchakato wa katiba mpya haraka.
Tanzania tunahitaji hayo. Big brains lwenye nafasi za juu za maamuzi na Katiba Mpya ambayo ni bora.
Mengine yote ni siasa uchwara tu!
How Wakati kajiengua?Makamba gone!!?naibu wake atakua waziri rasmi!!?
Nape na kauli zake vipi!!?
LabdaAu leo ni sikukuu ya wajinga
Imetangazwa hata ITVLabda
KumekuchaMbunge wa kuteuliwa na Rais na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amemuandikia Spika wa Bunge la Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson barua ya kujiuzulu Ubunge leo Jumapili tarehe 21 Julai, 2024.
View attachment 3048086
Huyu tusahau😆😆Nape yeye anaandika lini?
Shaka naye ni nafasi ya muungano?Nafasi ya muungano hivyo lazima ajaye atoke Zanzibar
USSR
Leo nyuzi za siasa zimetrend sana60 people are here🤔
Uzi mwingine wa kurejea siku mbili tatu hizi.Changamoto ya kijamii, ni nini hicho ?
Je Mbarouk kupelekwa ktk Ubalozi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa New York
Tetesi za JamiiForums:
Kutoka maktaba 11 Julai 2024
Tetesi: - Hussein Katanga, Katibu Mkuu wa zamani kurejea kivingine
Katibu mkuu Kiongozi anaweza rejea nafasiniii au akalamba sehemu fulan nzito Keep waiting…. Britaniccawww.jamiiforums.com
Kazi za kibalozi na vituo alivyohudumu kati ya mwezi May 27, 2013 - Nov, 2019:
Mh. Mbarouk Nassor Mbarouk balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania huko Abu Dhabi, UAE pia kuwakilisha Tanzania katika nchi za Pakistan, Iran na Bahrain ambapo Tanzania haikuwa na ofisi ya ubalozi.
Magufuli aliendesha nchi bila baraza Kwa kipindi kirefu huku akiendelea kusuka baraza lake nje ya bunge. Mwishowe wakaishia kumuabudu na kumuita Mhe. Mungu.Ningekuwa Rais ningefanya haya!
Ningeunda Baraza dogo ambalo almost robo tatu ya Mawaziri ni big brains niliowatoa nje ya Bunge kwenye sekta zao.
Pili ningeanzisha mchakato wa katiba mpya haraka.
Tanzania tunahitaji hayo. Big brains lwenye nafasi za juu za maamuzi na Katiba Mpya ambayo ni bora.
Mengine yote ni siasa uchwara tu!
Wa kufanya hayo sasa ndio changamoto.Ningekuwa Rais ningefanya haya!
Ningeunda Baraza dogo ambalo almost robo tatu ya Mawaziri ni big brains niliowatoa nje ya Bunge kwenye sekta zao.
Pili ningeanzisha mchakato wa katiba mpya haraka.
Tanzania tunahitaji hayo. Big brains lwenye nafasi za juu za maamuzi na Katiba Mpya ambayo ni bora.
Mengine yote ni siasa uchwara tu!
Katiba ina kibyongo!Mbunge kateuliwa na Rais, inakuaje aombe kujiuzulu kwa Spika, pamoja na kwamba Spika ni bosi wa wabunge (mwenye kuelewa katiba hii imekaaje?)