Pre GE2025 Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk aandika barua ya kujiuzulu Ubunge

Pre GE2025 Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk aandika barua ya kujiuzulu Ubunge

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Siyo issue ya Maadili mkuu.. point iko hapo wazi kabisa..kuna Reshuffle ya Cabinet..huyo kapewa maelekezo ajiudhuru,ili ateuliwe mtu mwingine awe mbunge na anaweza kuwa ni aidha Makonda ama Msigwa na akalamba uwaziri ama unaibu uwaziri.. na huyo aliye jiuzuru akateuliwa nafasi nyingine serikalini.
km ni wa kuyeuliwa sawa na kama wakuchaguliwa utaitishwa uchaguzi mdogo
 
Ningekuwa Rais ningefanya haya!
Ningeunda Baraza dogo ambalo almost robo tatu ya Mawaziri ni big brains niliowatoa nje ya Bunge kwenye sekta zao.

Pili ningeanzisha mchakato wa katiba mpya haraka.


Tanzania tunahitaji hayo. Big brains lwenye nafasi za juu za maamuzi na Katiba Mpya ambayo ni bora.

Mengine yote ni siasa uchwara tu!
big brains wenyewe akina Msigwa
 
Changamoto ya kijamii, ni nini hicho ?

Je Mbarouk kupelekwa ktk Ubalozi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa New York

Tetesi za JamiiForums:
Kutoka maktaba 11 Julai 2024


Kazi za kibalozi na vituo alivyohudumu kati ya mwezi May 27, 2013 - Nov, 2019:
Mh. Mbarouk Nassor Mbarouk balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania huko Abu Dhabi, UAE pia kuwakilisha Tanzania katika nchi za Pakistan, Iran na Bahrain ambapo Tanzania haikuwa na ofisi ya ubalozi.
Uzi mwingine wa kurejea siku mbili tatu hizi.
 
Ningekuwa Rais ningefanya haya!
Ningeunda Baraza dogo ambalo almost robo tatu ya Mawaziri ni big brains niliowatoa nje ya Bunge kwenye sekta zao.

Pili ningeanzisha mchakato wa katiba mpya haraka.


Tanzania tunahitaji hayo. Big brains lwenye nafasi za juu za maamuzi na Katiba Mpya ambayo ni bora.

Mengine yote ni siasa uchwara tu!
Magufuli aliendesha nchi bila baraza Kwa kipindi kirefu huku akiendelea kusuka baraza lake nje ya bunge. Mwishowe wakaishia kumuabudu na kumuita Mhe. Mungu.

Akina Magiga, Kabudi n wengine ndani baraza lake hawakuwa Wabunge. In short hii nchi Ina watu wenye vichwa vizito.
 
Ningekuwa Rais ningefanya haya!
Ningeunda Baraza dogo ambalo almost robo tatu ya Mawaziri ni big brains niliowatoa nje ya Bunge kwenye sekta zao.

Pili ningeanzisha mchakato wa katiba mpya haraka.


Tanzania tunahitaji hayo. Big brains lwenye nafasi za juu za maamuzi na Katiba Mpya ambayo ni bora.

Mengine yote ni siasa uchwara tu!
Wa kufanya hayo sasa ndio changamoto.
 
Back
Top Bottom